China: Fursa za biashara, usafiri na masoko

China: Fursa za biashara, usafiri na masoko

Nataka vifaa vidogovidogo kama Empty CD, DVD External drive, Flash disk, wino wa photocopy. Kwa vifaa hivi nafikiri naweza nunua alibaba zen nikasafirisha kwa DHL. Mtaji ni Tsh 1M
 
Mimi ni mmoja ya watu wanatoa info za china hapa JF. Sijawahi bana information kama hizo.

Nimekuuliza kwa sababu majibu yako yangerahisisha upatikanaji wa specific procedures za task unayotaka kufanya.

Anyway, ili uweze ku export zingatia yafuatayo
1. Chagua bidhaa unayotaka ku export
2. Cheki soko kupitia mitandao au wadau walioko china wakusaidie kutafuta mteja wa china
3. Utapokea viwango vya bidhaa toka kwa mteja
4. Utampa sample za bidhaa zako
5. Mteja atatupa offer ya bei yake, na wewe utatoa bei yako kama yake haina maslahi, mara nyingi wanataka CIF
4. Mtakubaliana port ya kushusha huo mzigo, mara nyingi mzigo unashushwa Guangzhou, Ningbo au Qingdao port
5. Mteja atakupa terms na kiwango cha mzigo anachotaka kila mwezi, so inabidi ujipime kama unaweza supply kiwango hicho
6. Mtakubaliana na mteja terms za malipo. Alipeje? kiasi cha mwazo ni asilimia ngapi? When alipe? Kiasi cha mwisho alipeje.
7. Itabidi utafute watu wa quality assurance walioko china au hongkong wakupe details za viwango vya nchi yao. Hii huduma lazima ulipie. Watakuelekeza a to z, cha muhimu uwe mkweli. Ukidanganya itakula kwako mzigo ukifika unaweza kuwa blocked bandarini.

Mambo ya msingi
1. Wachina ni wagumu sana ktk kulipa hela, hivyo basi hakikisha mzigo unapokuwa loaded kuondoka tz wawe wameshalipa asilimia fulani ya mzigo. Mara nyingi wanazingua mzigo wako ukishafika bandarini au warehouse wanazungusha kukamilisha malipo. Zipo kesi zishatokea na hadi mahakamani wameenda. Kibaya zaidi communication ni issue.Chinese Chinese everywhere

2. Export kitu chenye quality nzuri. Fuata makubaliano. Usiforge vitu kibongo kibongo. Akisema nyama iwe grade A basi hakikisha inakuwa grade A not B. Hii itaepusha usumbufu bandarini.

3. Katika hatua zoooote, hatua ya kutoa mzigo bandarini china ndiyo nzito. Hata hivyo vishoka wapo. Cha muhimu kujipanga tuu. Lakini quality ya mzigo ikiwa mbovu vishoka ni useless.



Nadhani inatosha kwa leo.

Mkuu nimependa sana maelezo yako...blessings!

Vipi kuhusu soko la ASALI huko likoje? Naweza ku export? Bei kwa lita? Any advice on this?
Natanguliza shukrani.
 
Mkuu kinachofanyika hapa ni sawa tu kununua vitu China na kuuza kwenye masoko makubwa hapa nchini kama Nakumatt, The Game, Pick and Pay, n.k. Tofauti ni kuwa badala ya kuuza hapa nchi unaviuuza kwenye masoko makubwa AmAZON AU eBAY duniani. Tofauti nyingine ni kuwa huendi China wala USA/UK kuuza. Amazon wana mfumo unaokuwezesha kusafirisha vitu kwako mpaka kwao unaitwa FBA-Fulfillment By Amazon. Ukishanunua vitu vyako China wanakusafirishia mpaka Amazon kisha wanavitunza kwenye store yao. Kazi yako wewe nikuvi list kwenye Amzano.com kuonyesha picha na maelezo yake nakuanza kufanya marketing. Kikubwa hapa ni kupata reviews za bidhaa zako ili ziweze ku rank higher na kuanza kupata wateja.

Vintage_Retro_Pu_Leather_Stand_mobile_phone.jpg_220x220.jpg
Mfano hii ni Iphone 6 cover, Alibaba wanauza US $1-5 / Piece( FOB Price) na min order ni 500 negotiable
21MCB6oHOWL.jpg
. Ukienda Amazon.com, cover ile ile
Phone 6 Case, Spigen [HEAVY DUTY] Tough ArmorCase for iPhone 6 (4.7-Inch) - Gunmetal (SGP11022) wanaiuza $ 17. Walichofanya hapa ni wamei brand tu


Unaweza kuona potential iliyopo kwenye masoko haya. Na ukifanya marketing vizuri unaweza kuuza hapa piece 20 kwa siku. Assume una biashara kama hizo 3 au nne hivi. Haya yanafanyika kwenye computer bila hata kunyanyuka nyumbani kwako.

Lakini kama nilivyosema inahitaji kujifunza na watu hasa watumiaji wa mitandao wasitumie kwa kutumiana vichekesho tu ila watumie kwa kufanya biashara za uhakika. Wanachuo na watu wenye muda wa ziada na mtaji kidogo say $ 200 wanaweza kuanza biashara hii.

P.S Watu wanadhani bidhaa za China zina quality ndogo lakini siyo kweli, China wanakuuzia quality unayotaka. Kwa USA na Ulaya huwezi ingiza kama hizi zinazokuja kwetu.

PPS. Watu watafikiri ni mtaji mkubwa, hata unaweza kujaribu kwa kuleta sample na kuuza katika masoko yetu hapa nchini, Nakumatt, The game n.k kuna fursa hiyo ili product yako uijue vizuri.

PPPS. Bandiko hili linaweza kusomwa pamoja na lingine lililoko humu ndani linalosema kununua vitu Amazon. Somo ni refu sana ila inawezekana hakuna pesa rahisi.

Samahani kwa mwandiko mbaya, I am not so much used to the writing stuff.


Mkuu EMI hii hoja yako ni nzuri sana...nitakuPM for more information about this.
Blessings!
 
Last edited by a moderator:
Nimejifunza vingi sana kupitia hii Jf na naendelea kujua mengi .
Asante kwa moyo wa kutoa elimu ili nawengine wanufaike
 
Habari wana jukwaa,

Kumekuwa na ongezeko kubwa la wafanyabishara kutoka Tanzania kwenda China kufanya biashara mbalimbali kama nguo, vipuri vya magari na pikipiki, vifaa vya electronics nk. Najua kuna thread nyingi zimewahi kuzungumzia biashara za China, lakini nimuombe mkuu Invisible aifanye hii iwe sticky thread ili iwe refernce point kwa kila anaehitaji kufanya biashara China.

Nitaeleza KIDOGO Kuhusu biashara za China.
BIASHARA YA NGUO: hii inapendwa sana kufanywa na kina dada japo wanaume pia wapo. Wengi walio wageni na biashara hii wamejikuta wakipata hasara hasa wanapofika tu miji kama Guanzhou na kuanza kununua nguo bila kuangalia hali ya soko Tanzania ikoje.

Hujikuta wakinunua nguo on their perspective and not customers perspective! Kinachowavutia machoni mwao ndicho wanachonunua kwa matarajio watauza tu. Wengine wananunua na wanapofika na mzigo kariakoo wanakuta mzigo kama huo uloshaingia a week/month before hivyo kujikuta wanauza kwa bei ya hasara.

Ushauri: jaribu kutafuta wateja kabla Tanzania , wakupe order na sample kisha ukifika China nunua kile walichokuagiza.Pia jitahidi ujue ni fashion gani bongo iko sokoni na mpaka mzigo umefika bongo,je bado hiyo fashion ulionunua itakuwa inauza? Mind you kwamba biashara ya nguo hasa za WANAWAKE zinaendeshwa kwa nguvu ya soko na fashion hubadilika mara kwa mara!Biashara ya nguo za watoto au wanaume kidogo fashion zake zinakaa muda mrefu ukilinganisha na za wanawake.

BIASHARA YA VIFAA VYA ELEKTRONIKI kama simu na accessories zake, music system n.k
Miji mizuri ya kununua mzigo kwa biashara hii ni Shenzhen na Honkong ,japo mji wa Guanzhou pia ni maarufu isipokuwa fake products kwa Guanzhou ni kubwa zaidi. Changamoto kubwa ya biashara hii ni FAKE PRODUCTS. Angalia wateja wako ni watu wa namna gani. Most low income earners ambao kwa Tanzania ndio wengi, wanapenda cheap price.

Kwahiyo, ukinunua genuine products huwezi kuuza bongo kwa sababu bei itakuwa iko juu na wao watashindwa. Kwa hiyo jua needs and wants za customers wako kabla hujaamua kununua mzigo.Kwa mtu mwenye mtaji mdogo unaweza kuanza na kununua phone acssesories na simu chache tu za bei ya chini, utakuwa unaongeza idadi ya simu kidogo kidogo kadri mtaji unavyokua.Pia kama una mtaji mkubwa unaweza kuingiza used products kama photocopier machines ila jitahidi uwe na orders kabla hujaleta kwa sababu ukija nazo nyingi bila order zinaweza kukaa muda mrefu ukajikuta unaanza kula mtaji.

Wakati unasafirisha photocopier machines jitahidi ununue vitu vidogo vidogo kama vile memory cards, USB cards, power banks nk na uviweke pamoja ndani ili ukija bongo wakati unasubiri kuuza photocopier machines unauza hivyo vitu vidogo vidogo ili kupata faida kidogo kidogo na kuhakikisha huli mtaji.

Kumbuka hapa utasafirisha kwa meli na huwa wanapima CBM na sio uzito kwa hiyo hivyo vitu vidogo vidogo cost yake ya kusafirisha itakuwa imemezwa na hizo machines.Photocopier machines nimetoa kama mfano wa moja ya bidhaa lakini vipo vimashine vingi tu ambavyo unaweza kusafirisha kama:Mashine za juice ya miwa, hizi zimekuwa na demand kubwa sana kwa sasa Tanzania. Wateja wake wapo , kama utakuwa na mtaji mzuri unaweza kununua hizi na kuleta. Nyingi ni portable na modern. Ni kiasi cha kutafuta orders na kisha kuleta.
Kuangalia bei mbalimbali za bidhaa tembelea:
http://www.alibaba.com/

http://m.made-in-china.com/

www.taobao.com (hii ni ua kichina, tumia browser ya google chrome na tumia kitufe cha translation ili ije kwa kingereza)

USAFIRI: Zipo kampuni nyingi zinazosafirisha mizigo kwa njia ya ndege na meli. Kampuni kama THE LAND, SILENT OCEAN ni baadhi tu na hizi zina ofisi zao pale pale Guanzhou na bei zake zinatofautiana kutegemeana unasafirisha kwa njia gani yaani ndege au meli. Na unapolipia wao ndio huhusika na clearance na kila kitu, wewe ukifika bongo unachukua tu mzigo wako kwenye Ghala lao.
Website ya baadhi ya makampuni ni:
http://www.silentoceanlimited.com/

NAULI:nauli zinategemea season na pia unataka kusafiri lini. Kipindi cha high season kama ,july, august bei zinakuwa juu. Kama kwa mfano unatarajia kusafiri July basi ikifika april kata tiketi mapema . Mara nyingi kunakuwa na offer kwenye mashirika ya ndege kwa hiyo pendelea kutembelea website zao.
Pia nauli inategemea na shirika la ndege unalotaka kusafiria na pia daraja unalotaka kukaa.
Kwa wafanyabiashara wengi hutumia ethiopian airline kwa sababu huwa wanatoa kg nyingi kuliko wengine.
Pita kwa mawakala posta na kariakoo au search google kupata bei mbalimbali za nauli. Unaweza kutenga bajeti ya USD 900-1200 Kwa nauli kwa economy class
Angalia bei za NAULI hapa:
http://www.ethiopianairlines.com/en/default.aspx

http://www.qatarairways.com/global/en/homepage.page

https://www.klm.com/?_e_pi_=7,PAGE_ID10,8626374365


MALAZI: Hapa nitazungumzia mji wa Guanzhou ambao ndio wenye wafanyabiashara wengi wa mataifa mbalimbali hasa Afrika. Zipo hoteli za hadhi tofauti, bei kutoka 120 yuan(36,000 Tsh) ikiwa ni bei ya chini labisa na kuendelea kutegemeana na mfuko wako. Maeneo kama "shaobei lu" ni maarufu kwa watu weusi na utakisikia kiswahili kila baada ya hatua kadhaa. Hoteli za pembeni ya mji bei huweza kuwa chini mpaka yuan 100.
Angalia range ya bei za hoteli hapa:
http://www.chinahotelsreservation.com/GuangZhou/


CHAKULA: zipo hoteli nyingi Guanzhou na shenzen zinazomilikiwa na foreigners na wanauza chakula kizuri japo kiko ghali kidogo, ila kama unahitaji chakula cha bei ya chini na ambacho ni HALAL (wengi huhofia kulishwa mbwa,kitimoto,nk) unaweza kula kwenye sehemu nyingi ambazo huuza wachina waislamu wenye asili ya Xinjiang ambao huuza HALAL food kwa bei poa kuanzia Yuan 15(4500 Tsh) na kuendelea kutegemea na aina ya chakula ulichoagiza. Kuwa makini na vyakula mana wale wenzetu huwa wanakula vyakula vingi vya "ajabu ajabu".

LUGHA: wachina hutumia lugha yao kwa kila kitu. Katika miji ya biashara kama Guangzhou wachina wafanyabiashara huongea kingereza cha mawasiliano(kibovu) ila mnawasiliana na kuelewana. Pia lugha ya ishara inatumika pale panapokuwa na language barrier . Hata kama hujui kabisa kingereza unaweza kuchagua bidhaa na kisha mkapatana bei. Wenzetu wana utaratibu wa kutumia calculator kukuandikia bei, hivyo na wewe utaandika ya kwako mpaka mtafikia makubaliano. Nashauri download application yoyote ya TRANSLATION kama pleco nk ili ikusaidie kwenye mawasiliano unapokwama andika neno unslohitaji kwa kingereza kisha tafsiri kwa kichina na muoneshe mchina hilo neno, itasaidia kurahisisha mawasiliano

Nimegusa juu juu vitu vichache mno kuchokoza mada ili wengine waongezee uzoefu na iwe msaada kwa kila anaetaka kufanya biashara China.

Karibuni tujadili na kusaidia wengine

Chief ubarikiwe sana.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu nimependa sana maelezo yako...blessings!

Vipi kuhusu soko la ASALI huko likoje? Naweza ku export? Bei kwa lita? Any advice on this?
Natanguliza shukrani.


Siko la asali sina details za soko lake hapa China.

Natoa wito kwa wengine wanaotaka ku export bidhaa zao nje ya nchi wanitumie majina ya vitu hivyo kisha nitavituma kwa wahusika
 
Kipilipili......very very useful thread, remain blessed dear.
 
Last edited by a moderator:
Habari wana jukwaa,

Kumekuwa na ongezeko kubwa la wafanyabishara kutoka Tanzania kwenda China kufanya biashara mbalimbali kama nguo, vipuri vya magari na pikipiki, vifaa vya electronics nk. Najua kuna thread nyingi zimewahi kuzungumzia biashara za China, lakini nimuombe mkuu Invisible aifanye hii iwe sticky thread ili iwe refernce point kwa kila anaehitaji kufanya biashara China.

Nitaeleza KIDOGO Kuhusu biashara za China.
BIASHARA YA NGUO: hii inapendwa sana kufanywa na kina dada japo wanaume pia wapo. Wengi walio wageni na biashara hii wamejikuta wakipata hasara hasa wanapofika tu miji kama Guanzhou na kuanza kununua nguo bila kuangalia hali ya soko Tanzania ikoje.

Hujikutawakinunua nguo on their perspective and not customers perspective! Kinachowavutia machoni mwao ndicho wanachonunua kwa matarajio watauza tu. Wengine wananunua na wanapofika na mzigo kariakoo wanakuta mzigo kama huo uloshaingia a week/month before hivyo kujikuta wanauza kwa bei ya hasara.

Ushauri: jaribu kutafuta wateja kabla Tanzania , wakupe order na sample kisha ukifika China nunua kile walichokuagiza.Pia jitahidi ujue ni fashion gani bongo iko sokoni na mpaka mzigo umefika bongo,je bado hiyo fashion ulionunua itakuwa inauza? Mind you kwamba biashara ya nguo hasa za WANAWAKE zinaendeshwa kwa nguvu ya soko na fashion hubadilika mara kwa mara!Biashara ya nguo za watoto au wanaume kidogo fashion zake zinakaa muda mrefu ukilinganisha na za wanawake.

BIASHARA YA VIFAA VYA ELEKTRONIKI kama simu na accessories zake, music system n.k
Miji mizuri ya kununua mzigo kwa biashara hii ni Shenzhen na Honkong ,japo mji wa Guanzhou pia ni maarufu isipokuwa fake products kwa Guanzhou ni kubwa zaidi. Changamoto kubwa ya biashara hii ni FAKE PRODUCTS. Angalia wateja wako ni watu wa namna gani. Most low income earners ambao kwa Tanzania ndio wengi, wanapenda cheap price.

Kwahiyo, ukinunua genuine products huwezi kuuza bongo kwa sababu bei itakuwa iko juu na wao watashindwa. Kwa hiyo jua needs and wants za customers wako kabla hujaamua kununua mzigo.Kwa mtu mwenye mtaji mdogo unaweza kuanza na kununua phone acssesories na simu chache tu za bei ya chini, utakuwa unaongeza idadi ya simu kidogo kidogo kadri mtaji unavyokua.Pia kama una mtaji mkubwa unaweza kuingiza used products kama photocopier machines ila jitahidi uwe na orders kabla hujaleta kwa sababu ukija nazo nyingi bila order zinaweza kukaa muda mrefu ukajikuta unaanza kula mtaji.

Wakati unasafirisha photocopier machines jitahidi ununue vitu vidogo vidogo kama vile memory cards, USB cards, power banks nk na uviweke pamoja ndani ili ukija bongo wakati unasubiri kuuza photocopier machines unauza hivyo vitu vidogo vidogo ili kupata faida kidogo kidogo na kuhakikisha huli mtaji.

Kumbuka hapa utasafirisha kwa meli na huwa wanapima CBM na sio uzito kwa hiyo hivyo vitu vidogo vidogo cost yake ya kusafirisha itakuwa imemezwa na hizo machines.Photocopier machines nimetoa kama mfano wa moja ya bidhaa lakini vipo vimashine vingi tu ambavyo unaweza kusafirisha kama:Mashine za juice ya miwa, hizi zimekuwa na demand kubwa sana kwa sasa Tanzania. Wateja wake wapo , kama utakuwa na mtaji mzuri unaweza kununua hizi na kuleta. Nyingi ni portable na modern. Ni kiasi cha kutafuta orders na kisha kuleta.
Kuangalia bei mbalimbali za bidhaa tembelea:
Manufacturers, Suppliers, Exporters & Importers from the world's largest online B2B marketplace-Alibaba.com

Made-in-China.com mobile- Connecting Buyers with China Manufacturers, Suppliers & Products

www.taobao.com (hii ni ua kichina, tumia browser ya google chrome na tumia kitufe cha translation ili ije kwa kingereza)

USAFIRI: Zipo kampuni nyingi zinazosafirisha mizigo kwa njia ya ndege na meli. Kampuni kama THE LAND, SILENT OCEAN ni baadhi tu na hizi zina ofisi zao pale pale Guanzhou na bei zake zinatofautiana kutegemeana unasafirisha kwa njia gani yaani ndege au meli. Na unapolipia wao ndio huhusika na clearance na kila kitu, wewe ukifika bongo unachukua tu mzigo wako kwenye Ghala lao.
Website ya baadhi ya makampuni ni:
http://www.silentoceanlimited.com/

NAULI:nauli zinategemea season na pia unataka kusafiri lini. Kipindi cha high season kama ,july, august bei zinakuwa juu. Kama kwa mfano unatarajia kusafiri July basi ikifika april kata tiketi mapema . Mara nyingi kunakuwa na offer kwenye mashirika ya ndege kwa hiyo pendelea kutembelea website zao.
Pia nauli inategemea na shirika la ndege unalotaka kusafiria na pia daraja unalotaka kukaa.
Kwa wafanyabiashara wengi hutumia ethiopian airline kwa sababu huwa wanatoa kg nyingi kuliko wengine.
Pita kwa mawakala posta na kariakoo au search google kupata bei mbalimbali za nauli. Unaweza kutenga bajeti ya USD 900-1200 Kwa nauli kwa economy class
Angalia bei za NAULI hapa:
http://www.ethiopianairlines.com/en/default.aspx

Qatar Airways | Book Flights with the World's 5 Star Airline

https://www.klm.com/?_e_pi_=7,PAGE_ID10,8626374365


MALAZI: Hapa nitazungumzia mji wa Guanzhou ambao ndio wenye wafanyabiashara wengi wa mataifa mbalimbali hasa Afrika. Zipo hoteli za hadhi tofauti, bei kutoka 120 yuan(36,000 Tsh) ikiwa ni bei ya chini labisa na kuendelea kutegemeana na mfuko wako. Maeneo kama "shaobei lu" ni maarufu kwa watu weusi na utakisikia kiswahili kila baada ya hatua kadhaa. Hoteli za pembeni ya mji bei huweza kuwa chini mpaka yuan 100.
Angalia range ya bei za hoteli hapa:
GuangZhou hotels: cheap rates in GuangZhou by China Hotels Reservation


CHAKULA: zipo hoteli nyingi Guanzhou na shenzen zinazomilikiwa na foreigners na wanauza chakula kizuri japo kiko ghali kidogo, ila kama unahitaji chakula cha bei ya chini na ambacho ni HALAL (wengi huhofia kulishwa mbwa,kitimoto,nk) unaweza kula kwenye sehemu nyingi ambazo huuza wachina waislamu wenye asili ya Xinjiang ambao huuza HALAL food kwa bei poa kuanzia Yuan 15(4500 Tsh) na kuendelea kutegemea na aina ya chakula ulichoagiza. Kuwa makini na vyakula mana wale wenzetu huwa wanakula vyakula vingi vya "ajabu ajabu".

LUGHA: wachina hutumia lugha yao kwa kila kitu. Katika miji ya biashara kama Guangzhou wachina wafanyabiashara huongea kingereza cha mawasiliano(kibovu) ila mnawasiliana na kuelewana. Pia lugha ya ishara inatumika pale panapokuwa na language barrier . Hata kama hujui kabisa kingereza unaweza kuchagua bidhaa na kisha mkapatana bei. Wenzetu wana utaratibu wa kutumia calculator kukuandikia bei, hivyo na wewe utaandika ya kwako mpaka mtafikia makubaliano. Nashauri download application yoyote ya TRANSLATION kama pleco nk ili ikusaidie kwenye mawasiliano unapokwama andika neno unslohitaji kwa kingereza kisha tafsiri kwa kichina na muoneshe mchina hilo neno, itasaidia kurahisisha mawasiliano

Nimegusa juu juu vitu vichache mno kuchokoza mada ili wengine waongezee uzoefu na iwe msaada kwa kila anaetaka kufanya biashara China.

Karibuni tujadili na kusaidia wengine

Kipilipili tafadhali naomba namba yako nataka nikuulizie
 
Habari wana jukwaa,

Kumekuwa na ongezeko kubwa la wafanyabishara kutoka Tanzania kwenda China kufanya biashara mbalimbali kama nguo, vipuri vya magari na pikipiki, vifaa vya electronics nk. Najua kuna thread nyingi zimewahi kuzungumzia biashara za China, lakini nimuombe mkuu Invisible aifanye hii iwe sticky thread ili iwe refernce point kwa kila anaehitaji kufanya biashara China.

Nitaeleza KIDOGO Kuhusu biashara za China.
BIASHARA YA NGUO: hii inapendwa sana kufanywa na kina dada japo wanaume pia wapo. Wengi walio wageni na biashara hii wamejikuta wakipata hasara hasa wanapofika tu miji kama Guanzhou na kuanza kununua nguo bila kuangalia hali ya soko Tanzania ikoje.

Hujikuta wakinunua nguo on their perspective and not customers perspective! Kinachowavutia machoni mwao ndicho wanachonunua kwa matarajio watauza tu. Wengine wananunua na wanapofika na mzigo kariakoo wanakuta mzigo kama huo uloshaingia a week/month before hivyo kujikuta wanauza kwa bei ya hasara.

Ushauri: jaribu kutafuta wateja kabla Tanzania , wakupe order na sample kisha ukifika China nunua kile walichokuagiza.Pia jitahidi ujue ni fashion gani bongo iko sokoni na mpaka mzigo umefika bongo,je bado hiyo fashion ulionunua itakuwa inauza? Mind you kwamba biashara ya nguo hasa za WANAWAKE zinaendeshwa kwa nguvu ya soko na fashion hubadilika mara kwa mara!Biashara ya nguo za watoto au wanaume kidogo fashion zake zinakaa muda mrefu ukilinganisha na za wanawake.

BIASHARA YA VIFAA VYA ELEKTRONIKI kama simu na accessories zake, music system n.k
Miji mizuri ya kununua mzigo kwa biashara hii ni Shenzhen na Honkong ,japo mji wa Guanzhou pia ni maarufu isipokuwa fake products kwa Guanzhou ni kubwa zaidi. Changamoto kubwa ya biashara hii ni FAKE PRODUCTS. Angalia wateja wako ni watu wa namna gani. Most low income earners ambao kwa Tanzania ndio wengi, wanapenda cheap price.

Kwahiyo, ukinunua genuine products huwezi kuuza bongo kwa sababu bei itakuwa iko juu na wao watashindwa. Kwa hiyo jua needs and wants za customers wako kabla hujaamua kununua mzigo.Kwa mtu mwenye mtaji mdogo unaweza kuanza na kununua phone acssesories na simu chache tu za bei ya chini, utakuwa unaongeza idadi ya simu kidogo kidogo kadri mtaji unavyokua.Pia kama una mtaji mkubwa unaweza kuingiza used products kama photocopier machines ila jitahidi uwe na orders kabla hujaleta kwa sababu ukija nazo nyingi bila order zinaweza kukaa muda mrefu ukajikuta unaanza kula mtaji.

Wakati unasafirisha photocopier machines jitahidi ununue vitu vidogo vidogo kama vile memory cards, USB cards, power banks nk na uviweke pamoja ndani ili ukija bongo wakati unasubiri kuuza photocopier machines unauza hivyo vitu vidogo vidogo ili kupata faida kidogo kidogo na kuhakikisha huli mtaji.

Kumbuka hapa utasafirisha kwa meli na huwa wanapima CBM na sio uzito kwa hiyo hivyo vitu vidogo vidogo cost yake ya kusafirisha itakuwa imemezwa na hizo machines.Photocopier machines nimetoa kama mfano wa moja ya bidhaa lakini vipo vimashine vingi tu ambavyo unaweza kusafirisha kama:Mashine za juice ya miwa, hizi zimekuwa na demand kubwa sana kwa sasa Tanzania. Wateja wake wapo , kama utakuwa na mtaji mzuri unaweza kununua hizi na kuleta. Nyingi ni portable na modern. Ni kiasi cha kutafuta orders na kisha kuleta.
Kuangalia bei mbalimbali za bidhaa tembelea:
Manufacturers, Suppliers, Exporters & Importers from the world's largest online B2B marketplace-Alibaba.com

Made-in-China.com mobile- Connecting Buyers with China Manufacturers, Suppliers & Products

www.taobao.com (hii ni ua kichina, tumia browser ya google chrome na tumia kitufe cha translation ili ije kwa kingereza)

USAFIRI: Zipo kampuni nyingi zinazosafirisha mizigo kwa njia ya ndege na meli. Kampuni kama THE LAND, SILENT OCEAN ni baadhi tu na hizi zina ofisi zao pale pale Guanzhou na bei zake zinatofautiana kutegemeana unasafirisha kwa njia gani yaani ndege au meli. Na unapolipia wao ndio huhusika na clearance na kila kitu, wewe ukifika bongo unachukua tu mzigo wako kwenye Ghala lao.
Website ya baadhi ya makampuni ni:
http://www.silentoceanlimited.com/

NAULI:nauli zinategemea season na pia unataka kusafiri lini. Kipindi cha high season kama ,july, august bei zinakuwa juu. Kama kwa mfano unatarajia kusafiri July basi ikifika april kata tiketi mapema . Mara nyingi kunakuwa na offer kwenye mashirika ya ndege kwa hiyo pendelea kutembelea website zao.
Pia nauli inategemea na shirika la ndege unalotaka kusafiria na pia daraja unalotaka kukaa.
Kwa wafanyabiashara wengi hutumia ethiopian airline kwa sababu huwa wanatoa kg nyingi kuliko wengine.
Pita kwa mawakala posta na kariakoo au search google kupata bei mbalimbali za nauli. Unaweza kutenga bajeti ya USD 900-1200 Kwa nauli kwa economy class
Angalia bei za NAULI hapa:
http://www.ethiopianairlines.com/en/default.aspx

Qatar Airways | Book Flights with the World's 5 Star Airline

https://www.klm.com/?_e_pi_=7,PAGE_ID10,8626374365


MALAZI: Hapa nitazungumzia mji wa Guanzhou ambao ndio wenye wafanyabiashara wengi wa mataifa mbalimbali hasa Afrika. Zipo hoteli za hadhi tofauti, bei kutoka 120 yuan(36,000 Tsh) ikiwa ni bei ya chini labisa na kuendelea kutegemeana na mfuko wako. Maeneo kama "shaobei lu" ni maarufu kwa watu weusi na utakisikia kiswahili kila baada ya hatua kadhaa. Hoteli za pembeni ya mji bei huweza kuwa chini mpaka yuan 100.
Angalia range ya bei za hoteli hapa:
GuangZhou hotels: cheap rates in GuangZhou by China Hotels Reservation


CHAKULA: zipo hoteli nyingi Guanzhou na shenzen zinazomilikiwa na foreigners na wanauza chakula kizuri japo kiko ghali kidogo, ila kama unahitaji chakula cha bei ya chini na ambacho ni HALAL (wengi huhofia kulishwa mbwa,kitimoto,nk) unaweza kula kwenye sehemu nyingi ambazo huuza wachina waislamu wenye asili ya Xinjiang ambao huuza HALAL food kwa bei poa kuanzia Yuan 15(4500 Tsh) na kuendelea kutegemea na aina ya chakula ulichoagiza. Kuwa makini na vyakula mana wale wenzetu huwa wanakula vyakula vingi vya "ajabu ajabu".

LUGHA: wachina hutumia lugha yao kwa kila kitu. Katika miji ya biashara kama Guangzhou wachina wafanyabiashara huongea kingereza cha mawasiliano(kibovu) ila mnawasiliana na kuelewana. Pia lugha ya ishara inatumika pale panapokuwa na language barrier . Hata kama hujui kabisa kingereza unaweza kuchagua bidhaa na kisha mkapatana bei. Wenzetu wana utaratibu wa kutumia calculator kukuandikia bei, hivyo na wewe utaandika ya kwako mpaka mtafikia makubaliano. Nashauri download application yoyote ya TRANSLATION kama pleco nk ili ikusaidie kwenye mawasiliano unapokwama andika neno unslohitaji kwa kingereza kisha tafsiri kwa kichina na muoneshe mchina hilo neno, itasaidia kurahisisha mawasiliano

Nimegusa juu juu vitu vichache mno kuchokoza mada ili wengine waongezee uzoefu na iwe msaada kwa kila anaetaka kufanya biashara China.

Karibuni tujadili na kusaidia wengine

kipilipili, hongera sana, makala yako ni nzuri sana, ila hebu zungumza kidogo na opportunities za ku-export. website zipi mtu anaweza kutembelea akapata taarifa hizo?
 
Last edited by a moderator:
Natamani kama tungepata watanzania kumi kama wewe!!!hngera sana sana,huwezi amini my cusine ndo anaanza trip ya china kwa makala yako amebadili mwelekeo wa biashara toka nguo za kike hadi mauwa na phone gadgets na amekwenda tafta ordrs kwanza b4 asafirim!!thanx alot na hotel and other infos kuhusu usafirishaji na mengine!!!!!!
 
Mkuu asante sana, naomba kujua ni mjia gani hasa zinapatikana mashine za - artcutting, artdrawing ambazo kwa mjasiriamali wa kawaida anaejishughulisha na sign industries field..... nawasilisha...
 
ushauri kama huu nchi za wenzetu tulitakiwa tuulipie ila hapa tunapewa bureee. Asante Nyerere kutuletea ujamaa, asante JF kutuletea jukwaa na ubarikiwe mleta uzi na kizazi chako

Nilimwendea mtu 1 nikitaka msaada wa kuanza biashara ya ndizi za kupika. Duh, yule bwana alininanga kwa maneno na kunionesha kuwa thamani na kuwa niwaheshimu na kuwaona miungu watu waote waliotangulia katika biashara!

Huyu mtoa uzi kweli ni mkarimu na ameumbiwa moyo wa utu na kuwajali wengine. Mungu amsaidie zaidi maana inawezekana kuoitia yeye watu wengi wanaweza kutimiza malengo yao!
 
Nataka vifaa vidogovidogo kama Empty CD, DVD External drive, Flash disk, wino wa photocopy. Kwa vifaa hivi nafikiri naweza nunua alibaba zen nikasafirisha kwa DHL. Mtaji ni Tsh 1M

mkuu, siharibu biashara za wengine lakini kiuzoefu DHL wako ghali sana ,japokuwa ni wa uhakika. hebu fanya price comparison na makampuni mengine kama nilivyoorodhesha hapo chini
 
Back
Top Bottom