mtoto mdogo
JF-Expert Member
- Aug 6, 2014
- 501
- 130
Nafahamu, ila nimeshasogea sana namalizia miaka michache iliyobaki ndio nistaafu. Naskilizia hili zuio la kusafiri kwa watumishi kama ndio limetukumba wote na tunaosafiri kwa gharama zetu wenyewe wakati wa likizo zetu maana ndio huwa muda wangu wa kufuata mzigo.
Mimi ninampango wa kwenda China kununua Spares za piki piki na kuja kuuza jumla na reja reja dukani kwangu nani anauzoefu na biashara hii haswa anayeenda china
Nashukuru Mkuu; Kwanza uaminifu wa wauza hizo bidhaa upoje? wanaweza wakakupa bidhaa fake bila wewe kutaka?
Mfano nikija nanunua dukani moja kwa moha au naweka order kwanza?
Nikitaka order yangu ya ubora zaidi inawezekana na gharama inakua nafuu?
Suala la wizi au ujambazi utapeli huko likoje?
Unafahamu cbm moja ni bei gani?
Ni rahisi kumtumia mtu order akaitekeleza bila mimi kuja china?
aksante sana, 300 - 400 ni uad au yuen?
itabidi nifanye sharing
thanks kwa uzoefu wako kwa ndugu zako with 10m naweza kuanza hiyo business wth profit
nakupata mkuu, naomba kama una sample price list ya bei za.huko.