Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heko sana,japo threat ya kitambo,vipi kuhusu kuagiza loosed cargo Kwa njia ya posts?
Naomba nisaidie link za wasafirishaji wa meliInawezekana. Japo posta mizigo huchelewa sana, na ni kwa vitu vidogo vidogo. Kama ni vitu vikubwa au mzigo mkubwa, tumia wasafirishaji wa meli.
mku tunashukulu sana kwa ushauli wako maana umetuelewesha kwa uzoefu mkubwa wa hali ya juu , me nilikuwa naomba msaada wa kupata au kufahamu kampuni ambayo inaweza kununua na kusafirisha bidhaa kutoka china mpka tanzania, maana kuna wengine hatuna ndugu , rafiki, wanaokaa china na je, hayo makampuni ya hayana wizi au utapeli wa aina yyte.natanguliza shukrani zangu za dhati mkuu.
asante🙏🙏,
Ninafahamu ABCs za hili zikiwemo shipping lines reliable kabisa. So ukipata muda tuwasiliane mkuu.
mku tunashukulu sana kwa ushauli wako maana umetuelewesha kwa uzoefu mkubwa wa hali ya juu , me nilikuwa naomba msaada wa kupata au kufahamu kampuni ambayo inaweza kununua na kusafirisha bidhaa kutoka china mpka tanzania, maana kuna wengine hatuna ndugu , rafiki, wanaokaa china na je, hayo makampuni ya hayana wizi au utapeli wa aina yyte.natanguliza shukrani zangu za dhati mkuu.
asante[emoji120][emoji120],
brother nata niuze simu kutoka china naeza anza na mtaji wa bei ganiHuko China. Hao wachinese wana demand nini kipo Tz kwa wingi kama electronics zilivyo nyingi kwao.