China hana ubavu wowote mbele ya Marekani makampuni yote ya simu na computer yapo chini ya Marekani

China hana ubavu wowote mbele ya Marekani makampuni yote ya simu na computer yapo chini ya Marekani

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
Yaani leo nmegundua China hamiliki kampuni yoyote ya simu wala computer kwasababu simu zake ili zifanye kazi lazima zikaruhusiwe na watu wa Google huko Marekani. Yaani Google ndio wadhibiti wa simu za China.

Computer pia lazima aende Marekani kwa watu wa Microsoft Marekani ili waziruhusu kutumia Microsoft.

Mpaka hapo naona kabisa China hawezi kugombana na Marekani kwa upande wa teknolojia.

Najua ni watu wachache sana watanielewa nilicho andika

Lakini ngoja nikufungue akili kile nilicho lenga.

Hakuna binadamu kwasasa anaweza kutumia simu isiyo na Google Play Service hayupo.

Hakuna binadamu anaweza kutumia computer isiyo na Microsoft.
 
Yaani leo nmegundua China hamiliki kampuni yoyote ya simu wala computer kwasababu simu zake ili zifanye kazi lazima zikaruhusiwe na watu wa Google huko Marekani. Yaani Google ndio wadhibiti wa simu za China. Computer pia lazima aende Marekani kwa watu wa Microsoft Marekani ili waziruhusu kutumia Microsoft.

Mpaka hapo naona kabisa China hawezi kugombana na Marekani kwa upande wa teknolojia.

Najua ni watu wachache sana watanielewa nilicho andika

Lakini ngoja nikufungue akili kile nilicho lenga.

Hakuna binadamu kwasasa anaweza kutumia simu isiyo na Google Play Service hayupo.

Hakuna binadamu anaweza kutumia computer isiyo na Microsoft.
China na marekani kwenye suala la technology ni wanategemeana,
Japo sio popular sana ila mchina ana search engine yake kule i think wanaiita baidu, Microsoft kule ipo yao wenyewe ya huawei so wewe ndo mchovu ila sio mchina.
 
China na marekani kwenye suala la technology ni wanategemeana,
Japo sio popular sana ila mchina ana search engine yake kule i think wanaiita baidu, Microsoft kule ipo yao wenyewe ya huawei so wewe ndo mchovu ila sio mchina.
Unaitumia hiyo Baidu na hiyo Microsoft ya wachina? Nitajie mataifa yanayo tumia hiyo Baidu ya wachina na Microsoft ya wachina hapa duniani?
 
Sasa ndugu, unaamini hapa TZ kuna viwanda, na bidhaa zake haziuzwi Tanzania?
Je, unajua kwa nini makampuni makubwa yapo strict kwenye sheria!? Bidhaa nyingi zinazouzwa zimetengenezwa kwa mkataba. Pili, utakuta mfano simu, waliounda vifaa ni tofauti, na anaeunganisha ni mwingine. Hivyo,ukijichanganya ukauza tofauti na makubaliano, una kesi ya kujibu. Kina Nokia na Blackberry zilikufaje!?
Mchina unaempinga, ni kwa sababu ya hizi Tecno na Itel unazoziona. Bidhaa orijino za mchina, zinauzwa kwa wenye hela. Laptop ya mchina si kila mtu anaweza kumudu bei yake. Sijafika, ila madukani kwao nasikia ukienda kutafuta mzigo, lazima wajue unaenda wapi. Pili, bidhaa zao zinaendana na bei yako. Mbongo anachukuwa mzigo kwa dola 10, anauza dola 100, mzigo unaenda, unategemea nini!?
 
Sasa ndugu, unaamini hapa TZ kuna viwanda, na bidhaa zake haziuzwi Tanzania?
Je, unajua kwa nini makampuni makubwa yapo strict kwenye sheria!? Bidhaa nyingi zinazouzwa zimetengenezwa kwa mkataba. Pili, utakuta mfano simu, waliounda vifaa ni tofauti, na anaeunganisha ni mwingine. Hivyo,ukijichanganya ukauza tofauti na makubaliano, una kesi ya kujibu. Kina Nokia na Blackberry zilikufaje!?
Mchina unaempinga, ni kwa sababu ya hizi Tecno na Itel unazoziona. Bidhaa orijino za mchina, zinauzwa kwa wenye hela. Laptop ya mchina si kila mtu anaweza kumudu bei yake. Sijafika, ila madukani kwao nasikia ukienda kutafuta mzigo, lazima wajue unaenda wapi. Pili, bidhaa zao zinaendana na bei yako. Mbongo anachukuwa mzigo kwa dola 10, anauza dola 100, mzigo unaenda, unategemea nini!?
Nipo pamoja nawewe mkuu, upo sawa kabisa kwenye manufacturing mchina anavipiga vita mwendo anaumaliza ila kwenye ile mada niliyo zungumzia hapo hatapaweza.
 
Yaani leo nmegundua China hamiliki kampuni yoyote ya simu wala computer kwasababu simu zake ili zifanye kazi lazima zikaruhusiwe na watu wa Google huko Marekani. Yaani Google ndio wadhibiti wa simu za China.

Computer pia lazima aende Marekani kwa watu wa Microsoft Marekani ili waziruhusu kutumia Microsoft.

Mpaka hapo naona kabisa China hawezi kugombana na Marekani kwa upande wa teknolojia.

Najua ni watu wachache sana watanielewa nilicho andika

Lakini ngoja nikufungue akili kile nilicho lenga.

Hakuna binadamu kwasasa anaweza kutumia simu isiyo na Google Play Service hayupo.

Hakuna binadamu anaweza kutumia computer isiyo na Microsoft.
China wana software zao pia,

Kwenye simu Kuna Harmony os ya Huawei na Computer wanatumia Linux, wana Distro zao red os na Kylin/Open Kylin.

Pia China na Asia nchi nyingi tu hawatumii playstore, Hata kabla ya vikwazo ni theluthi mbili tu ya simu za Android zilikua na playstore, kuna watu wengi tu wanatumia simu bila playstore.

Na hata Computer kuna watu wengi tu wanatumia bila Microsoft, kuna Macbook, Chromebook na Computer nyingi za Linux. Siku hizi valve wana Steam os na Distro zinazoshabihiana kama Bazzite zinafanya vizuri sana hata layman anatumia Linux bila tatizo.
 
Haiwezi kuwatesa wakiamua kuifungia kwenye Google play services nani ataweza kuitumia hiyo Tiktok?


Haiwezi kuwatesa wakiamua kuifungia kwenye Google play services nani ataweza kuitumia hiyo Ti

Haiwezi kuwatesa wakiamua kuifungia kwenye Google play services nani ataweza kuitumia hiyo Tiktok?

Walitaka kuifungia Trump kakataa.. sababu wapiga kura wake wanaipenda
 
Yaani leo nmegundua China hamiliki kampuni yoyote ya simu wala computer kwasababu simu zake ili zifanye kazi lazima zikaruhusiwe na watu wa Google huko Marekani. Yaani Google ndio wadhibiti wa simu za China.

Computer pia lazima aende Marekani kwa watu wa Microsoft Marekani ili waziruhusu kutumia Microsoft.
ngoja nilifanyie kazi hili
 
Yaani leo nmegundua China hamiliki kampuni yoyote ya simu wala computer kwasababu simu zake ili zifanye kazi lazima zikaruhusiwe na watu wa Google huko Marekani. Yaani Google ndio wadhibiti wa simu za China.

Computer pia lazima aende Marekani kwa watu wa Microsoft Marekani ili waziruhusu kutumia Microsoft.

Mpaka hapo naona kabisa China hawezi kugombana na Marekani kwa upande wa teknolojia.

Najua ni watu wachache sana watanielewa nilicho andika

Lakini ngoja nikufungue akili kile nilicho lenga.

Hakuna binadamu kwasasa anaweza kutumia simu isiyo na Google Play Service hayupo.

Hakuna binadamu anaweza kutumia computer isiyo na Microsoft.
Duh... Si KWELI. Kuna simu ya Kichina ilipigwa marufuku USA lakini hadi leo inadunda. Huawei Technologies
 
Hakuna binadamu anaweza kutumia computer isiyo na Microsoft.
Yaani naachaje kutumia kitu ninachoweza kukitune mwenyewe na wala hakuna kununua au hakuna copy feki za mitandaoni zenye virus ya kutosha

1738194186448.png
 
Yaani leo nmegundua China hamiliki kampuni yoyote ya simu wala computer kwasababu simu zake ili zifanye kazi lazima zikaruhusiwe na watu wa Google huko Marekani. Yaani Google ndio wadhibiti wa simu za China.

Computer pia lazima aende Marekani kwa watu wa Microsoft Marekani ili waziruhusu kutumia Microsoft.

Mpaka hapo naona kabisa China hawezi kugombana na Marekani kwa upande wa teknolojia.

Najua ni watu wachache sana watanielewa nilicho andika

Lakini ngoja nikufungue akili kile nilicho lenga.

Hakuna binadamu kwasasa anaweza kutumia simu isiyo na Google Play Service hayupo.

Hakuna binadamu anaweza kutumia computer isiyo na Microsoft.
Nini hiki ?

Maadui wakuu wa taifa ni ujinga,maradhi,umasikini.

Nakazia ujinga
 
Back
Top Bottom