China hana ubavu wowote mbele ya Marekani makampuni yote ya simu na computer yapo chini ya Marekani

China hana ubavu wowote mbele ya Marekani makampuni yote ya simu na computer yapo chini ya Marekani

Yaani leo nmegundua China hamiliki kampuni yoyote ya simu wala computer kwasababu simu zake ili zifanye kazi lazima zikaruhusiwe na watu wa Google huko Marekani. Yaani Google ndio wadhibiti wa simu za China.

Computer pia lazima aende Marekani kwa watu wa Microsoft Marekani ili waziruhusu kutumia Microsoft.

Mpaka hapo naona kabisa China hawezi kugombana na Marekani kwa upande wa teknolojia.

Najua ni watu wachache sana watanielewa nilicho andika

Lakini ngoja nikufungue akili kile nilicho lenga.

Hakuna binadamu kwasasa anaweza kutumia simu isiyo na Google Play Service hayupo.

Hakuna binadamu anaweza kutumia computer isiyo na Microsoft.
Umekula lakini?
 
Yaani leo nmegundua China hamiliki kampuni yoyote ya simu wala computer kwasababu simu zake ili zifanye kazi lazima zikaruhusiwe na watu wa Google huko Marekani. Yaani Google ndio wadhibiti wa simu za China.

Computer pia lazima aende Marekani kwa watu wa Microsoft Marekani ili waziruhusu kutumia Microsoft.

Mpaka hapo naona kabisa China hawezi kugombana na Marekani kwa upande wa teknolojia.

Najua ni watu wachache sana watanielewa nilicho andika

Lakini ngoja nikufungue akili kile nilicho lenga.

Hakuna binadamu kwasasa anaweza kutumia simu isiyo na Google Play Service hayupo.

Hakuna binadamu anaweza kutumia computer isiyo na Microsoft.
Deepseek AI hebu itafute hii, sasa hivi US vichwa vinawauma.
 
China wana software zao pia,

Kwenye simu Kuna Harmony os ya Huawei na Computer wanatumia Linux, wana Distro zao red os na Kylin/Open Kylin.

Pia China na Asia nchi nyingi tu hawatumii playstore, Hata kabla ya vikwazo ni theluthi mbili tu ya simu za Android zilikua na playstore, kuna watu wengi tu wanatumia simu bila playstore.

Na hata Computer kuna watu wengi tu wanatumia bila Microsoft, kuna Macbook, Chromebook na Computer nyingi za Linux. Siku hizi valve wana Steam os na Distro zinazoshabihiana kama Bazzite zinafanya vizuri sana hata layman anatumia Linux bila tatizo.
Wabongo exposure ni sifuri anaju play store ni universal na kuwa kila nchi inatumia play store na microsoft mtu wa aina hiyo lazima amuona usa kama mungu hivi maana hana alijualo
 
China ingekuwa Tech Giant tungeamini angekuwa wa kwanza kuleta hizi AI chating ...badala yake tumeona wameanza US na Chat GPT, Google Gemini, Grok AI, Meta AI.. kisha na yeye baadae kuja na hiyo DeepSeek .. km siyo ku-copy ni nini ?
Sawa wao sio wa kwanza ila kilicho washangaza ni Deepseek ambayo imetumia USD 5.6m na inauwezo mkubwa sawa na za kwao na mpaka sasa imeivurunga industry ya maswala ya AI wamepoteza zaidi ya USD Trilioni 1 (Nazani unaijua Trilioni na tena USD).Hata Chips imetumia chip za kwaida ambazo uwezo wake sio sawa na za Chati GPT.

Kinacho wavuruga US.
1.DeepSeek imetumia 5.6m Usd,wakati ametumia billions of USD dollars.
2.Imetumia Chips ambazo si powerful ukilinganisha na zao,ila output yake ni bora sawa na zao.

Yaani mpaka hapo ukiangalia,vichwa vinawauma,wafanyeje ili kuwatuliza wawekezaji. Huu mjadala wa DeepSeek ni mkubwa na hata juzi Trump aliuzungumzia. Ila ninacho tegemea Deepseek kupigwa ban US kama ilivyo kwa Tiktok, japo washachelewa maana ndani ya wiki hii DeepSeek kwa App za AI ndio inayo ongozwa kupakuliwa.
 
China ingekuwa Tech Giant tungeamini angekuwa wa kwanza kuleta hizi AI chating ...badala yake tumeona wameanza US na Chat GPT, Google Gemini, Grok AI, Meta AI.. kisha na yeye baadae kuja na hiyo DeepSeek .. km siyo ku-copy ni nini ?
hebu uwe unafatilia vitu kabla ya kuja kuandika humu, mgunduzi wa AI ni muhindi. Marekani anaishi Tu.
 
China ingekuwa Tech Giant tungeamini angekuwa wa kwanza kuleta hizi AI chating ...badala yake tumeona wameanza US na Chat GPT, Google Gemini, Grok AI, Meta AI.. kisha na yeye baadae kuja na hiyo DeepSeek .. km siyo ku-copy ni nini ?
Kila siku tunasema humu ndani, Mchina ni muendelezaji wa kile ambacho mzungu kaanzisha. Kufananisha hawa watu ni makosa makubwa sana.

Tukianza hapa kutaja vitu ambavyo vimeanzishwa na US hapatatosha.
 
Hakuna binadamu kwasasa anaweza kutumia simu isiyo na Google Play Service hayupo.

Hakuna binadamu anaweza kutumia computer isiyo na Microsoft.
Nadhani mada za hivi zingekuwa zinakwenda ChitChat na sio sehemu ambazo watu wanaweza kuongea issue za maana.., Unajua Linux ?!!!!; "With World without Fences and Windows who needs Gates ?

Unajua Open Source na Unajua power ya Open Source ?, Ulizia watu wakwambie kwanini VLC au Blender katika 3D imechukua strides....

Pili hizi Corporations sio wajinga wala mashabiki kama vile Simba na Yanga wenyewe wanachoelewa ni Profits, na profits kwenye karne hii na vitu kama hivi inakuja na users... Kwahio hizo ndoto zako kwamba Kampuni fulani haiwezi kufanya hiki au kile kwenye Kampuni nyingine ipo misguided (ndio maana hata apple hapo kabla alikuwa anatumia chips za Samsung); Kuna Kampuni / Corporations hata wakati wa Vita vya dunia waliweza kufanya kazi na Mjerumani.., hata Kanisa Katoliki lilitumika kuficha pesa za Hiltler... ; Rothschild ingawa alikuwa afilliated na UK wala hakuona shida kufanya betting against UK dhidi ya Napoleon au vice versa...;

Kwahio nachotaka kukwambia huu upuuzi wa nani zaidi upo mtaani huko juu kinachoangaliwa ni Profits, Convenience and winning the war na sio battles...
 
Kila siku tunasema humu ndani, Mchina ni muendelezaji wa kile ambacho mzungu kaanzisha. Kufananisha hawa watu ni makosa makubwa sana.

Tukianza hapa kutaja vitu ambavyo vimeanzishwa na US hapatatosha.
Hivi wewe unaijua China au unaisikia ?!!!; Unaongelea Mzungu ? Hata unajua Civilization ilianzia wapi ? Unaongelea Taifa changa la juzi unalinganisha na Taifa lililokuwepo tangia ancient times ? Wakati watu wanajisaidia barabarani kuna watu walikuwa wanajenga / wamejenga the great wall of China...

Mkuu acheni kuleta utani.., hata hio Computer na Theories unadhani zilianzia USA...,

If I have Seen further than others is by standing on the Shoulder of the Giants..., Dunia hii the greats wanafanya hivyo kwa kushirikiana na sio kuendeleza ligi za matope; Unadhani hata isingekuwa Russia kuweka chombo kwenye Space USA angeinvest massively kwenye issue ya NASA kwenye mwezini (jambo ambalo mpaka leo hatujui kama kweli walikwenda au walikuwa hollywood wanaonyesha movie)
 
Back
Top Bottom