China hana ubavu wowote mbele ya Marekani makampuni yote ya simu na computer yapo chini ya Marekani

China hana ubavu wowote mbele ya Marekani makampuni yote ya simu na computer yapo chini ya Marekani

Yaani leo nmegundua China hamiliki kampuni yoyote ya simu wala computer kwasababu simu zake ili zifanye kazi lazima zikaruhusiwe na watu wa Google huko Marekani. Yaani Google ndio wadhibiti wa simu za China.

Computer pia lazima aende Marekani kwa watu wa Microsoft Marekani ili waziruhusu kutumia Microsoft.

Mpaka hapo naona kabisa China hawezi kugombana na Marekani kwa upande wa teknolojia.

Najua ni watu wachache sana watanielewa nilicho andika

Lakini ngoja nikufungue akili kile nilicho lenga.

Hakuna binadamu kwasasa anaweza kutumia simu isiyo na Google Play Service hayupo.

Hakuna binadamu anaweza kutumia computer isiyo na Microsoft.
China Kuna cheap labour yaani wafanykazi ujira wao ni kidogo
 
Kasome comment #69, 70, 76, 78

Lakini pia hauwezi kuandika ujinga tukakuacha kukuambia ukweli
This time naona hujafanya utafiti wa kutosha;
Serikali ya china wana Computer operating system Original from China inaitwa "Kylin" na hii inawasaidia kuepuka udukuzi wa kimtandao. Inatumika kwa wingi inchini humo na huwa wanai market kama "OpenKylin"
Hii ndio operating system inayotumika kwa komputer karibia zote za Serikali lakini pia inatumika kwa wingi kwa raia wake japo zipo pia operating system nyingine orginal from china ambazo sio maarufu

Kuhusu Simu; China pia ina operating System orginal from China tena ni nzuri sana ufanyaji kazi wake ni somewhere btn Androd and iOS ambayo ni vigumu sana kuidukua
Inaitwa "Harmony". Nakumbuka mwishoni mwa mwaka jana walitoa latest version yake inaitwa "HarmonyNEXT" hii ni habari nyingine kabisa....

Sijui kama unafaham kuwa China wanazalisha Internet yao wenyewe.....
Lakini pia; Kuna vitu vingi sana vya technologia vipo within china kwa sababu, zaidi ya robo ya watu wa Dunia wapo kule hivyo hawatumii nguvu kubwa kutangaza huku nje....
CHINA IPO MBALI SANA NA NDIO INAWANYIMA USINGIZI WAMAREKANI.....
Hongera kwa kueleza vizuri, niliamua kuiweka mada kama ilivyo kwa makusudi kabisa.

Lakini ngoja nikwambie, simu sio vile vifaa vya nje au jina la simu. Simu ni operating system iliyopo ndani. Simu bila operating system in sawa na kopo. Hali kadhalika computer sio vile vifaa vya nje bali ni operating system iliyopo ndani. Computer bila operating system ni sawa na kopo. Simu zinazo support mfumo wa Google play service ndizo zinazo uzika kwa haraka kwenye soko la kimataifa. Na computer zinazo support mfumo wa Microsoft ndizo zinazo uzika haraka kwenye soko la kimataifa. Huawei wana simu nzuri lakini hazi support Google play service haziwezi kuuzika sana kwenye soko la nje ya China.

Ni kweli kabisa China ina mifumo yake mbadala kama ulivyo eleza na wanaitumia huko China. Lakini kwa biashara ya kimataifa ili makampuni yake ya teknolojia yafanye vizuri kwenye soko la kimataifa, bado yanategemea Google na Microsoft kwa kiwango fulani.

Google Play Store ndio jukwaa kuu la kusambaza programu kwa watumiaji wa Android duniani. Mfano ingawa Huawei imekuja na AppGallery, bado haina idadi kubwa ya programu kama Play Store.​

Huduma kama Google Maps, Gmail, YouTube, na Google Search ni muhimu kwa watumiaji wengi nje ya China. Matokeo yake, simu za Huawei na Xiaomi zinazouzwa nje ya China mara nyingi zinahitajika kuwa na huduma za Google ili kuwavutia wateja.

Windows ndiyo mfumo wa uendeshaji unaotumiwa na 70% ya kompyuta duniani. Microsoft Office ni programu muhimu kwa wafanyabiashara, wanafunzi, na mashirika duniani kote. Hivyo ingawa China ina mifumo mbadala kama NeoKylin, bado haina ushawishi mkubwa nje ya China.​


Lakini sio hivyo tu, seva nyingi zinazoendesha huduma kubwa za kimataifa zinategemea teknolojia za Marekani. Hata kampuni za Kichina, kama TikTok, zimejaribu kuweka data nje ya China ili kuendana na mahitaji ya soko la kimataifa.

Hivyo simu na computer zinazo milikiwa na makamapuni ya kichina zenye mifumo kama HarmonyOS na AppGallery na NeoKylin ili ziweze kushindana na simu na computer zenye mifumo ya Google Play Store na Microsoft Windows, hapo inawahitaji makampuni ya kichina yatengeneze programu itakayo ungwa mkono katika masoko yote ya kimatiafa. Mbali na hivyo lazima waende wakapige magoti kwa Marekani kutumia mifumo yao ya Google play service, apple store, na Microsoft.

Na hiyo sio kazi ya kitoto kwenye biashara Mabadiliko ya tabia za watumiaji huchukua muda, na wengi tayari wamezoea Google, Microsoft na apple.

Hivyo China inaweza kuishi bila Google na Microsoft ndani ya mipaka yake, lakini ili kushindana kimataifa, bado inahitaji kushirikiana na wamarekani. Ikiwa China itafanikiwa kufanya mifumo yake mbadala iwe ya kimataifa, basi inaweza kupunguza utegemezi wake zaidi kwa teknolojia za Marekani. Kwa sasa, ushindani huu unaendelea, lakini Google na Microsoft bado zina ushawishi mkubwa duniani.​


NOTE:
Yaani leo nmegundua China hamiliki kampuni yoyote ya simu wala computer kwasababu simu zake ili zifanye kazi lazima zikaruhusiwe na watu wa Google huko Marekani. Yaani Google ndio wadhibiti wa simu za China.

Computer pia lazima aende Marekani kwa watu wa Microsoft Marekani ili waziruhusu kutumia Microsoft.

Mpaka hapo naona kabisa China hawezi kugombana na Marekani kwa upande wa teknolojia.

Najua ni watu wachache sana watanielewa nilicho andika

Lakini ngoja nikufungue akili kile nilicho lenga.

Hakuna binadamu kwasasa anaweza kutumia simu isiyo na Google Play Service hayupo.

Hakuna binadamu anaweza kutumia computer isiyo na Microsoft
.
 
Hongera kwa kueleza vizuri, niliamua kuiweka mada kama ilivyo kwa makusudi kabisa.

Lakini ngoja nikwambie, simu sio vile vifaa vya nje au jina la simu. Simu ni operating system iliyopo ndani. Simu bila operating system in sawa na kopo. Hali kadhalika computer sio vile vifaa vya nje bali ni operating system iliyopo ndani. Computer bila operating system ni sawa na kopo. Simu zinazo support mfumo wa Google play service ndizo zinazo uzika kwa haraka kwenye soko la kimataifa. Na computer zinazo support mfumo wa Microsoft ndizo zinazo uzika haraka kwenye soko la kimatifa. Huawei wana simu nzuri lakini hazi support Google play service haziwezi kuuzika sana kwenye soko la nje ya China.

Ni kweli kabisa China ina mifumo yake mbadala kama ulivyo eleza na wanaitumia huko China. Lakini kwa biashara ya kimataifa ili makampuni yake ya teknolojia yafanye vizuri kwenye soko la kimataifa, bado yanategemea Google na Microsoft kwa kiwango fulani.

Google Play Store ndio jukwaa kuu la kusambaza programu kwa watumiaji wa Android duniani. Mfano ingawa Huawei imekuja na AppGallery, bado haina idadi kubwa ya programu kama Play Store.​

Huduma kama Google Maps, Gmail, YouTube, na Google Search ni muhimu kwa watumiaji wengi nje ya China. Matokeo yake, simu za Huawei na Xiaomi zinazouzwa nje ya China mara nyingi zinahitajika kuwa na huduma za Google ili kuwavutia wateja.

Windows ndiyo mfumo wa uendeshaji unaotumiwa na 70% ya kompyuta duniani. Microsoft Office ni programu muhimu kwa wafanyabiashara, wanafunzi, na mashirika duniani kote. Hivyo ingawa China ina mifumo mbadala kama NeoKylin, bado haina ushawishi mkubwa nje ya China.​


Lakini sio hivyo tu, seva nyingi zinazoendesha huduma kubwa za kimataifa zinategemea teknolojia za Marekani. Hata kampuni za Kichina, kama TikTok, zimejaribu kuweka data nje ya China ili kuendana na mahitaji ya soko la kimataifa.

Hivyo simu na computer zinazo milikiwa na makamapuni ya kichina zenye mifumo kama HarmonyOS na AppGallery na NeoKylin ili ziweze kushindana na simu na computer zenye mifumo ya Google Play Store na Microsoft Windows, hapo inawahitaji makampuni ya kichina yatengeneze programu itakayo ungwa mkono katika masoko yote ya kimatiafa. Mbali na hivyo lazima waende wakapige magoti kwa Marekani kutumia mifumo yao ya Google play service, apple store, na Microsoft.

Na hiyo sio kazi ya kitoto kwenye biashara Mabadiliko ya tabia za watumiaji huchukua muda, na wengi tayari wamezoea Google, Microsoft na apple.

Hivyo China inaweza kuishi bila Google na Microsoft ndani ya mipaka yake, lakini ili kushindana kimataifa, bado inahitaji kushirikiana na wamarekani. Ikiwa China itafanikiwa kufanya mifumo yake mbadala iwe ya kimataifa, basi inaweza kupunguza utegemezi wake zaidi kwa teknolojia za Marekani. Kwa sasa, ushindani huu unaendelea, lakini Google na Microsoft bado zina ushawishi mkubwa duniani.​


NOTE:
Yaani leo nmegundua China hamiliki kampuni yoyote ya simu wala computer kwasababu simu zake ili zifanye kazi lazima zikaruhusiwe na watu wa Google huko Marekani. Yaani Google ndio wadhibiti wa simu za China.

Computer pia lazima aende Marekani kwa watu wa Microsoft Marekani ili waziruhusu kutumia Microsoft.

Mpaka hapo naona kabisa China hawezi kugombana na Marekani kwa upande wa teknolojia.

Najua ni watu wachache sana watanielewa nilicho andika

Lakini ngoja nikufungue akili kile nilicho lenga.

Hakuna binadamu kwasasa anaweza kutumia simu isiyo na Google Play Service hayupo.

Hakuna binadamu anaweza kutumia computer isiyo na Microsoft
.

Naomba utambue kuwa, Trump anaichukia China kuliko Nchi yoyote Duniani;
Hata ukiona anafuta michango ya WHO nk nk vyote hivyo ni kutaka kuibana China......sisi wengine huku Africa ni nyasi tu (mafahali wawili wakipigana, nyasi huadhirika)
Sasa kama ulichokiandika kingekuwa na uhalisia (hata kwa 50%), naamini kabisa TRUMP angetumia kama njia ya kumshinikiza Mchina afuate masharti yake kitu ambacho KIMEMSHINDA!

Jipe muda kidogo China itazindua ndege yake ya kivita "Next Generation Air Dominance" (NGAD) ambayo itaiacha mbaaali ile ndege wanayojisifia Wamarekani "Lockheed Martin's F-35"

Kumbuka tu kuwa, Wachina hawana kelele za kujitangaza saaana kwa kuwa soko lake la ndani pekee ni kubwa sana (robo ya watu wa Dunia wapo china) NAAMINI ITAFIKA MUDA MTAWAELEWA TU!
 
Yaani leo nmegundua China hamiliki kampuni yoyote ya simu wala computer kwasababu simu zake ili zifanye kazi lazima zikaruhusiwe na watu wa Google huko Marekani. Yaani Google ndio wadhibiti wa simu za China.

Computer pia lazima aende Marekani kwa watu wa Microsoft Marekani ili waziruhusu kutumia Microsoft.

Mpaka hapo naona kabisa China hawezi kugombana na Marekani kwa upande wa teknolojia.

Najua ni watu wachache sana watanielewa nilicho andika

Lakini ngoja nikufungue akili kile nilicho lenga.

Hakuna binadamu kwasasa anaweza kutumia simu isiyo na Google Play Service hayupo.

Hakuna binadamu anaweza kutumia computer isiyo na Microsoft.
Kuna mengi kwenye Tech industry.
Ni kweli watuweng duniani wanatumia microsoft na google play store.

Ila manufacturing hub ipo china.
Processor zinazitumika sana duniani za apple na samsung wanatengenez Taiwan. Na madini yanayotumika kutengenezea yanachimbw congo ( cobalt) hadi bettry za devicess . Kafatilie kuhus Glenco na congo

Marekan waliamua devices zao zitengenezw china kw sabab y cheap labour ndogo iliopo china ila baada y covid waliona n hatar kw bidhaa zao kutengenezw sehem moj kwa sabab y lockdown hvyo wakahamishia na india
NI vita za kibiashara na usalama wa kimtandao unaofany marekan wasitumie software za china na china wasitumie za marekani. Ndo maana unaona vitkwazo kweny Ticktock na depseek . Ata sakat la huawei ilikua hatar kw marekan kwan huawei walizidisha innovation kweny device zao ndo maan wakawekew vikwazo kweny google playstore ndo wakaamua kutengenez operation system yao. Imagine io huawei fold ingekua inatumia playstore au ios amabvyo ingekua hasara kwa brand za simu kama samsung...nk

Asilimia kubwa y processr na batri za simu zinatola Taiwan wana assemble tu nchi nyng.. No maan ulisikia mzozo wa vhina na marekan kuhus kisiwa icho kijitegemee na sio kumilikiw na china ( unawajua chinese communist party?)
Hizi intel, quadrom, snapdran. Apple 17..nk production hub n china
 
Kuna mengi kwenye Tech industry.
Ni kweli watuweng duniani wanatumia microsoft na google play store.

Ila manufacturing hub ipo china.
Processor zinazitumika sana duniani za apple na samsung wanatengenez Taiwan. Na madini yanayotumika kutengenezea yanachimbw congo ( cobalt) hadi bettry za devicess . Kafatilie kuhus Glenco na congo

Marekan waliamua devices zao zitengenezw china kw sabab y cheap labour ndogo iliopo china ila baada y covid waliona n hatar kw bidhaa zao kutengenezw sehem moj kwa sabab y lockdown hvyo wakahamishia na india
NI vita za kibiashara na usalama wa kimtandao unaofany marekan wasitumie software za china na china wasitumie za marekani. Ndo maana unaona vitkwazo kweny Ticktock na depseek . Ata sakat la huawei ilikua hatar kw marekan kwan huawei walizidisha innovation kweny device zao ndo maan wakawekew vikwazo kweny google playstore ndo wakaamua kutengenez operation system yao. Imagine io huawei fold ingekua inatumia playstore au ios amabvyo ingekua hasara kwa brand za simu kama samsung...nk

Asilimia kubwa y processr na batri za simu zinatola Taiwan wana assemble tu nchi nyng.. No maan ulisikia mzozo wa vhina na marekan kuhus kisiwa icho kijitegemee na sio kumilikiw na china ( unawajua chinese communist party?)
Hizi intel, quadrom, snapdran. Apple 17..nk production hub n china
Hongera sana mkuu maelezo yameshiba yamejaa maarifa ya mambo ya Technology Industry, manufacturing, mining wakati huohuo kuna chemistry kwa mbali. Mungu akubariki.
 
Hongera sana mkuu maelezo yameshiba yamejaa maarifa ya mambo ya Technology Industry, manufacturing, mining wakati huohuo kuna chemistry kwa mbali. Mungu akubariki.
Ni mengi yamejificha

Ukinunua simu na ukaamua kuitumia umekubali term na condition za simu iyo. Hivyo ili kulinda afya yako na mionzi/ Radio frequency simu husika inaeleza ni umbali gani ukae kutoka kwenye hio device. Ndo maana apple kuna kipindi alifunguliwa kesi huko nyuma kisa device zake kutoa mionzi ilio zidi kwa watumiaji wake.

Inaitwa laptop yaan 'Lap' kweny mapaja. Sasa ukiweka PC kwenye mapaja unaji expose na mionzi na umekubaliana na hivyo vigezo kwa sababu umeinunua device iyo.

Ili kuona ni umbali gani ukae kitoka keny device yke nenda

Settings> > kisha tafta sehemu ya legal information> kisha nenda health and safety
 
Back
Top Bottom