China hana ubavu wowote mbele ya Marekani makampuni yote ya simu na computer yapo chini ya Marekani

China hana ubavu wowote mbele ya Marekani makampuni yote ya simu na computer yapo chini ya Marekani

Mtoa mada unajua kweli unachokiongelea?

Umeongelea Google, Google Playstore na Microsoft. Unaelewa hivyo ni vitu gani na vinafanya nini kwenye dunia ya ICT?

Umefikiaje hiyo conclusion?
 
Mbona kupata app zipo njia nyingi zaidi ya google play..kwenye simu yangu nina googleplay na huawei app gallery
Hata kabla ya ujio wa Android kulikuwa na Apps store nyingi tu km vile Blackberry apps store, Ovi store na Nokia store kwenye Symbian os
 
Yaani leo nmegundua China hamiliki kampuni yoyote ya simu wala computer kwasababu simu zake ili zifanye kazi lazima zikaruhusiwe na watu wa Google huko Marekani. Yaani Google ndio wadhibiti wa simu za China.

Computer pia lazima aende Marekani kwa watu wa Microsoft Marekani ili waziruhusu kutumia Microsoft.

Mpaka hapo naona kabisa China hawezi kugombana na Marekani kwa upande wa teknolojia.

Najua ni watu wachache sana watanielewa nilicho andika

Lakini ngoja nikufungue akili kile nilicho lenga.

Hakuna binadamu kwasasa anaweza kutumia simu isiyo na Google Play Service hayupo.

Hakuna binadamu anaweza kutumia computer isiyo na Microsoft.
Huawei inatumia Google?
 
Unaitumia hiyo Baidu na hiyo Microsoft ya wachina? Nitajie mataifa yanayo tumia hiyo Baidu ya wachina na Microsoft ya wachina hapa duniani?
China wana software zao pia,

Kwenye simu Kuna Harmony os ya Huawei na Computer wanatumia Linux, wana Distro zao red os na Kylin/Open Kylin.

Pia China na Asia nchi nyingi tu hawatumii playstore, Hata kabla ya vikwazo ni theluthi mbili tu ya simu za Android zilikua na playstore, kuna watu wengi tu wanatumia simu bila playstore.

Na hata Computer kuna watu wengi tu wanatumia bila Microsoft, kuna Macbook, Chromebook na Computer nyingi za Linux. Siku hizi valve wana Steam os na Distro zinazoshabihiana kama Bazzite zinafanya vizuri sana hata layman anatumia Linux bila tatizo.
Hebu mwambie huyo jamaa hajui kitu anakuja kuandika utumbo
 
Unaitumia hiyo Baidu na hiyo Microsoft ya wachina? Nitajie mataifa yanayo tumia hiyo Baidu ya wachina na Microsoft ya wachina hapa duniani?
Suala ni kutumia kwa wingi au ni uwezo wa kutengeneza.Ukiongelea kutumia kwa wingi kuna issues nyingi nyingine marketing, utamaduni, expose n.k
Lkn kwani wewe ni mchina au mmarekani mwenzetu - manake ulivyoongea kishabiki si mchezo.
Wewe Mchina akiwa juu ya Marekani au Marekani akiwa juu ya Mchina wewe unafaidika nini?? Au ndo unaogopa Marekani akizidiwa na Mchina watakata misaada ya ARvs..watu wafe..maana Mchina hatou misaada kizembe.
Tupambane na njaa zetu..tusipoteze muda kuwajadili kishabiki watu ambao hata vizazi vya 10,000 havitawafikia
 
China wana software zao pia,

Kwenye simu Kuna Harmony os ya Huawei na Computer wanatumia Linux, wana Distro zao red os na Kylin/Open Kylin.

Pia China na Asia nchi nyingi tu hawatumii playstore, Hata kabla ya vikwazo ni theluthi mbili tu ya simu za Android zilikua na playstore, kuna watu wengi tu wanatumia simu bila playstore.

Na hata Computer kuna watu wengi tu wanatumia bila Microsoft, kuna Macbook, Chromebook na Computer nyingi za Linux. Siku hizi valve wana Steam os na Distro zinazoshabihiana kama Bazzite zinafanya vizuri sana hata layman anatumia Linux bila tatizo.
Afadhari mekuja kusawazisha uwanja Kuna watu wana mahaba na Marekani, wanafikiri kilakitu kizuri Ina Toka Marekani
 
Hivi wewe unaijua China au unaisikia ?!!!; Unaongelea Mzungu ? Hata unajua Civilization ilianzia wapi ? Unaongelea Taifa changa la juzi unalinganisha na Taifa lililokuwepo tangia ancient times ? Wakati watu wanajisaidia barabarani kuna watu walikuwa wanajenga / wamejenga the great wall of China...

Mkuu acheni kuleta utani.., hata hio Computer na Theories unadhani zilianzia USA...,

If I have Seen further than others is by standing on the Shoulder of the Giants..., Dunia hii the greats wanafanya hivyo kwa kushirikiana na sio kuendeleza ligi za matope; Unadhani hata isingekuwa Russia kuweka chombo kwenye Space USA angeinvest massively kwenye issue ya NASA kwenye mwezini (jambo ambalo mpaka leo hatujui kama kweli walikwenda au walikuwa hollywood wanaonyesha movie)
Uyo mchina unayemmwagia sifa hapa kama angekuwa na hizo akili kama unavyomnadi basi ktk History tungemsoma. Mchina mpaka miaka ya 1960 alikuwa wa kawaida tu wakati miaka hiyo ya 60 Ulaya ilikuwa mbali sana.
 
Hebu mwambie huyo jamaa hajui kitu anakuja kuandika utumbo
Hiyo simu ya Huawei anayo isema imesha jifia kwenye soko la kimataifa kwasababu haina Google Play service. Huawei zinatumiwa na wachina tu. Huwezi kuta waafrika na mataifa mengine wanatumia Huawei.
 
Yaani leo nmegundua China hamiliki kampuni yoyote ya simu wala computer kwasababu simu zake ili zifanye kazi lazima zikaruhusiwe na watu wa Google huko Marekani. Yaani Google ndio wadhibiti wa simu za China.

Computer pia lazima aende Marekani kwa watu wa Microsoft Marekani ili waziruhusu kutumia Microsoft.

Mpaka hapo naona kabisa China hawezi kugombana na Marekani kwa upande wa teknolojia.

Najua ni watu wachache sana watanielewa nilicho andika

Lakini ngoja nikufungue akili kile nilicho lenga.

Hakuna binadamu kwasasa anaweza kutumia simu isiyo na Google Play Service hayupo.

Hakuna binadamu anaweza kutumia computer isiyo na Microsoft.

Safari hii hujafanya utafiti wa kutosha;
Serikali ya china wana Computer operating system Original from China inaitwa "Kylin" na hii inawasaidia kuepuka udukuzi wa kimtandao. Inatumika kwa wingi inchini humo na huwa wanai market kama "OpenKylin"
Hii ndio operating system inayotumika kwa komputer karibia zote za Serikali lakini pia inatumika kwa wingi kwa raia wake japo zipo pia operating system nyingine orginal from china ambazo sio maarufu

Kuhusu Simu; China pia ina operating System orginal from China tena ni nzuri sana ufanyaji kazi wake ni somewhere btn Androd and iOS ambayo ni vigumu sana kuidukua
Inaitwa "Harmony". Nakumbuka mwishoni mwa mwaka jana walitoa latest version yake inaitwa "HarmonyNEXT" hii ni habari nyingine kabisa....

Sijui kama unafaham kuwa China wanazalisha Internet yao wenyewe.....
Lakini pia; Kuna vitu vingi sana vya technologia vipo within china kwa sababu, zaidi ya robo ya watu wa Dunia wapo kule hivyo hawatumii nguvu kubwa kutangaza huku nje....
CHINA IPO MBALI SANA NA NDIO INAWANYIMA USINGIZI WAMAREKANI.....
 
Suala ni kutumia kwa wingi au ni uwezo wa kutengeneza.Ukiongelea kutumia kwa wingi kuna issues nyingi nyingine marketing, utamaduni, expose n.k
Lkn kwani wewe ni mchina au mmarekani mwenzetu - manake ulivyoongea kishabiki si mchezo.
Wewe Mchina akiwa juu ya Marekani au Marekani akiwa juu ya Mchina wewe unafaidika nini?? Au ndo unaogopa Marekani akizidiwa na Mchina watakata misaada ya ARvs..watu wafe..maana Mchina hatou misaada kizembe.
Tupambane na njaa zetu..tusipoteze muda kuwajadili kishabiki watu ambao hata vizazi vya 10,000 havitawafikia
Hii ni mada muhimu sana tunapima uelewa wawana jamii forum.
 
This time naona hujafanya utafiti wa kutosha;
Serikali ya china wana Computer operating system Original from China inaitwa "Kylin" na hii inawasaidia kuepuka udukuzi wa kimtandao. Inatumika kwa wingi inchini humo na huwa wanai market kama "OpenKylin"
Hii ndio operating system inayotumika kwa komputer karibia zote za Serikali lakini pia inatumika kwa wingi kwa raia wake japo zipo pia operating system nyingine orginal from china ambazo sio maarufu

Kuhusu Simu; China pia ina operating System orginal from China tena ni nzuri sana ufanyaji kazi wake ni somewhere btn Androd and iOS ambayo ni vigumu sana kuidukua
Inaitwa "Harmony". Nakumbuka mwishoni mwa mwaka jana walitoa latest version yake inaitwa "HarmonyNEXT" hii ni habari nyingine kabisa....

Sijui kama unafaham kuwa China wanazalisha Internet yao wenyewe.....
Lakini pia; Kuna vitu vingi sana vya technologia vipo within china kwa sababu, zaidi ya robo ya watu wa Dunia wapo kule hivyo hawatumii nguvu kubwa kutangaza huku nje....
CHINA IPO MBALI SANA NA NDIO INAWANYIMA USINGIZI WAMAREKANI.....
Hongera kwa kueleza vizuri, niliamua kuiweka mada kama ilivyo kwa makusudi kabisa.

Lakini ngoja nikwambie, simu sio vile vifaa vya nje au jina la simu. Simu ni operating system iliyopo ndani. Simu bila operating system in sawa na kopo. Hali kadhalika computer sio vile vifaa vya nje bali ni operating system iliyopo ndani. Computer bila operating system ni sawa na kopo. Simu zinazo support mfumo wa Google play service ndizo zinazo uzika kwa haraka kwenye soko la kimataifa. Na computer zinazo support mfumo wa Microsoft ndizo zinazo uzika haraka kwenye soko la kimataifa. Huawei wana simu nzuri lakini hazi support Google play service haziwezi kuuzika sana kwenye soko la nje ya China.

Ni kweli kabisa China ina mifumo yake mbadala kama ulivyo eleza na wanaitumia huko China. Lakini kwa biashara ya kimataifa ili makampuni yake ya teknolojia yafanye vizuri kwenye soko la kimataifa, bado yanategemea Google na Microsoft kwa kiwango fulani.

Google Play Store ndio jukwaa kuu la kusambaza programu kwa watumiaji wa Android duniani. Mfano ingawa Huawei imekuja na AppGallery, bado haina idadi kubwa ya programu kama Play Store.​

Huduma kama Google Maps, Gmail, YouTube, na Google Search ni muhimu kwa watumiaji wengi nje ya China. Matokeo yake, simu za Huawei na Xiaomi zinazouzwa nje ya China mara nyingi zinahitajika kuwa na huduma za Google ili kuwavutia wateja.

Windows ndiyo mfumo wa uendeshaji unaotumiwa na 70% ya kompyuta duniani. Microsoft Office ni programu muhimu kwa wafanyabiashara, wanafunzi, na mashirika duniani kote. Hivyo ingawa China ina mifumo mbadala kama NeoKylin, bado haina ushawishi mkubwa nje ya China.​


Lakini sio hivyo tu, seva nyingi zinazoendesha huduma kubwa za kimataifa zinategemea teknolojia za Marekani. Hata kampuni za Kichina, kama TikTok, zimejaribu kuweka data nje ya China ili kuendana na mahitaji ya soko la kimataifa.

Hivyo simu na computer zinazo milikiwa na makamapuni ya kichina zenye mifumo kama HarmonyOS na AppGallery na NeoKylin ili ziweze kushindana na simu na computer zenye mifumo ya Google Play Store na Microsoft Windows, hapo inawahitaji makampuni ya kichina yatengeneze programu itakayo ungwa mkono katika masoko yote ya kimatiafa. Mbali na hivyo lazima waende wakapige magoti kwa Marekani kutumia mifumo yao ya Google play service, apple store, na Microsoft.

Na hiyo sio kazi ya kitoto kwenye biashara Mabadiliko ya tabia za watumiaji huchukua muda, na wengi tayari wamezoea Google, Microsoft na apple.

Hivyo China inaweza kuishi bila Google na Microsoft ndani ya mipaka yake, lakini ili kushindana kimataifa, bado inahitaji kushirikiana na wamarekani. Ikiwa China itafanikiwa kufanya mifumo yake mbadala iwe ya kimataifa, basi inaweza kupunguza utegemezi wake zaidi kwa teknolojia za Marekani. Kwa sasa, ushindani huu unaendelea, lakini Google na Microsoft bado zina ushawishi mkubwa duniani.​


NOTE:
Yaani leo nmegundua China hamiliki kampuni yoyote ya simu wala computer kwasababu simu zake ili zifanye kazi lazima zikaruhusiwe na watu wa Google huko Marekani. Yaani Google ndio wadhibiti wa simu za China.

Computer pia lazima aende Marekani kwa watu wa Microsoft Marekani ili waziruhusu kutumia Microsoft.

Mpaka hapo naona kabisa China hawezi kugombana na Marekani kwa upande wa teknolojia.

Najua ni watu wachache sana watanielewa nilicho andika

Lakini ngoja nikufungue akili kile nilicho lenga.

Hakuna binadamu kwasasa anaweza kutumia simu isiyo na Google Play Service hayupo.

Hakuna binadamu anaweza kutumia computer isiyo na Microsoft
.
 
Unasema hayupo binadamu anaweza kutumia simu bila google play?
My friend, upo nyuma ya wakati
China hawatumii Google Play, badala yake hutumia Tencent App Store ambayo hujulikana pia kama "Tencent MyApp
Nyingine wanazo tumia ni;
• Huawei App Gallery
• OPPO Software Store
• VIVO App Store
• Xiaomi App Store
Hizo zote unazozisema wanatumia wachina wenyewe sio nje ya soko la kimataifa mkuu. Kwenye soko la kimataifa wateja wanataka simu inayo support Google Playstore au Apple Store. Wewe mwenyewe hapo unatumia Google play store. Je upo tayari kutumia simu isiyo na Google Playstore au apple store?
 
Uyo mchina unayemmwagia sifa hapa kama angekuwa na hizo akili kama unavyomnadi basi ktk History tungemsoma. Mchina mpaka miaka ya 1960 alikuwa wa kawaida tu wakati miaka hiyo ya 60 Ulaya ilikuwa mbali sana.
Dogo hujui historia kabisa kaa kimya maana unaandika upumbavu tena kwa kujiamini.
 
Hizo zote unazozisema wanatumia wachina wenyewe sio nje ya soko la kimataifa mkuu. Kwenye soko la kimataifa wateja wanataka simu inayo support Google Playstore au Apple Store. Wewe mwenyewe hapo unatumia Google play store. Je upo tayari kutumia simu isiyo na Google Playstore au apple store?
Wee nae ni mpuuzi unaandika vitu kijinga kijinga tu wala hata hauna uelewa navyo zaidi ya ushabiki wa kijinga uliojaa utoto.
 
Back
Top Bottom