China imeufunga huu mwaka kwa kishindo kikubwa imekuwa nightmare kwa watengeneza silaha wa Marekani na dalali wao Pentagon

Kuhusu AWACS, Marekani hawana drone AWACS na sioni kama inawezekana.
China ndio kwaza wanafanya testing ya AWACS yao ya kwanza, nyingine zote walikuwa wananunua airframes Urusi. US kwenye submarine hunting, AWACS na reconn wako vizuri.
Marekani hawana drone AWACS so it means wamepigwa gap na China katika hilo

Na sio tu wamefanya testing ni successful testing hiyo ni green light kuwa inaingia mzigoni
 
Pia Marekani ina total displacement kubwa kuliko China. Ila China ina meli nyingi kuliko Marekani, maana yake China ina meli ndogo nyingi. Alafu Marekani ina presence kila bahari kuu duniani kasoro kusini mwa Afrika
China hana haja ya kuwa na presence kila bahari kuu yeye anaangalia China seas na Pacific. Marekani ana maadui wengi analazimika kufanya hivyo

Upande wa active sea going ships China imeipiga gap Marekani pakubwa

Mameli mengi ya Marekani mabovu yako docks yanasubiri marekebisho yamepata kutu ma kuoza na imekuwa changamoto kwa Marekani kwa sababu ship building industry yao imepwaya sana na budget ni kubwa sana yanaoza docks

Imefikia hatua Marekani anategemea Japan na South Korea ili wazirekebishe meli zake
 
WS-15 engine imeanza kuruka mwaka jana, hata 2025 bado haitokuwa kwenye matumizi.

Ni squadron gani umeona ina J-20 yenye WS-15. Au unasema test bed moja, sasa nani anaenda vitani na test bed (demo)?
Kwa hiyo tunakubaliana kuwa zinatumia engine iliyotengenezwa China?
 
Nimesema naona maana ya kuwa sina uhakika ndio maaana nikahitaji ufafanuzi zaidi maana utaalamu wa hivi vitu wala chembe yake sina utaalamu navyo zaidi ya kuangalia maumbo yake tu ndugu, nafikiri sikufafanua vyema.
Ukisema uangalie maumbo utasema hivyo lakini kuna specifications na features nyingi sana za ndani zinatofautiana kwa mbali
 
WEWE BWEGE SANA NA ANALYSIS YAKO ISIYO NA KICHWA WALA MIGUU NAONA UMEINGIA KWENYE PAYROLL YA PRC USIJE KUSAHAU KUWA SIKIO HALIJAWAHI ZIDI KICHWA KUMBUKUKA HUU USEMI HAO MBWA ZAKO WACHINA KILA KITU WAMECOPY HAPA DUNIANI NINI WANAWEZA KULETA KIPYA KUWA MAKINI WASIJE KUKETEA MBOO ZA KUPASTE ZIKAKURARUA MAKALIO YAKO
 
Unawadanganya wasiojua J-20 inatumia WS-15 engine zinazotengenezwa na Shenyang kampuni ya China

F-35 mpaka leo engine zina hitilafu na hakuna marekebisho ya engine yamefanywa
Nimekuuliza ni J-20 gani iliyo kwenye PLAAF inatumia WS-15 engine. Ni squadron gani?

Jeshi la anga la China halijawahi kuiona WS-15 wala haliijui. Ni engine ya kampuni, haijawa certified kutumika na J-20.
 
Hii bado ni ndogo hata kwa toleo la China lililopita la type 075, za China zina uwezo wa kubeba zaidi ya hii na ni modern za Marekani hazijadizainiwa kubeba drones
America class inabeba ndege na helicopters 20 hadi 25. Type 075 inabeba ngapi?
 
Kwa hiyo tunakubaliana kuwa zinatumia engine iliyotengenezwa China?
Hata WS-10 ni ya China na ina poor performance. Ikaja WS-10B bado. Sasa WS-15 ndio kwanza Shenyang wanaiunda unasemaje inatumika. Wapi?

Injini imeruka mara ya kwanza mwaka jana leo unadai inatumika. Hujui Wachina kati ya vitu wapo nyuma ni jet engines. Nina imani WS-15 hata 2027 bado hutoiona kwenye squadron yoyote.
 
Poor performance yake ni ipi?
 
Unaelewa maana ya copy and paste?

Kwa mfano gari la kwanza duniani kubuniwa (invention) lilitengenezwa na Benz Patent Motor Car mwaka 1886.

Kwa hiyo unataka kusema makampuni yote duniani ya kutengeneza magari yamecopy na kupaste kutoka kwa Benz Patent Motor Car?

Au yamefanya innovation kutoka kwenye invention iliyofanywa na Benz?
 
America class inabeba ndege na helicopters 20 hadi 25. Type 075 inabeba ngapi?
Hilo nalo ni swali maana kinachoamua uwezo wa kubeba ni ukubwa wa flight deck

Inaweza kubeba ndege na helicopters zaidi ya 30, armored fighting vehicles hadi 60 na crew 1100, troops 800 hadi 1600, landing craft hadi 4
 
Poor perfomance iliyoko kwenye engine ya F-35 kumbuka ina miaka zaidi ya 10 na bado defense contractor aliyepewa kazi ya kuirekebisha mpaka leo ameshindwa unafikiri shida iko wapi hasa?
 
Blah blah kibao mchina hajawai kuwa serious na kazi zake.hizo ndege zinaweza kushindwa kutoa matairi zikitaka kutua.
 
Blah blah kibao mchina hajawai kuwa serious na kazi zake.hizo ndege zinaweza kushindwa kutoa matairi zikitaka kutua.
Unafikiri hizo ndege zimetengenezwa na Boeing chinja chinja zenye shida ya landing gear
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…