Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Madogo mna ushabk uchwaraKwanini nchi za NATO zisiishambulie RUSSIA ambayo inaonesha silaha zake hovyo hovyo
Imeivamia UKRAINE imeingia SYRIA iliingilia VENEZUELA
Imefanya majeshi ya FRANCE yasepeshwe kule MALI
taifa pekee lakuivamia RUSSIA ni RUSSIA yenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3]Kesho ndio kesho itakuwa ni tarehe 2 mwezi wa 8, tunasubiri ili tuone hicho kibibi kitatua na kuitia aibu Uchina au wataifyekelea mbali hiyo ndege ya huyo kibibi!
Uchina msijitie aibu kama ndege ya huyo kibibi ikikatiza imalizeni jumla
Nalog off Z
[emoji3][emoji3][emoji3]Bibi katua vip bwashee uko poa
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mkuu tupe updates basi vipi hilo onyo limeendaje na Taiwan imepigwa?
Hahahaaass[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
tupe mrejesho mkuuMimi nilifikiri unakuja na bandiko la kuonyesha uhalali wa umiliki wa hicho kisiwa. Wewe unakuna na blabla ya utaalamu wa kivita wa tandale. China kaishaweka biti hataki spika wa marekani akanyage taiwan. Sasa kama USA ni mbabe na amehaweka kambi akanyake basi huyo spika tuone, naona kibabu kimeshapiga simj ya kuomba poo maana iabu nyingine inakwenda kuikumba USA
Kakimbia
Isubutu Ione moto wa USOyaaa kumekucha tayar china anapeleka moto vibaya mnoo mashariki mwa Taiwan
Naona jamaa yupo kimya wakati alituahidi na kwa msisitizo kabisa kuwa Taiwan itapigwa.. imebidi nimkumbushe[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
embu cha ushabiki maandazi wewe.Biti tuu hilo mama anaenda na hawamfany kitu,China alipigwa biti moja tu ole wake aisaidie Russia mpaka leo mkia makalion ,tuone biti lake,US anawaona kama walevi wa madaraka tuu. Mtu ukikaa sana madarakani unapungukiwa akili
Indeed [emoji106][emoji106][emoji817]Napingana na wewe kabisa.
Wapi umepata hiyo habari kuwa kuna kambi ya jeshi ya Marekani Taiwan na kuwa kuna wanajeshi wa Marekani 20,000?
Hakuna kambi ya jeshi ya Marekani Taiwan. Kuna wanajeshi 31 tu wa Marekani Taiwan. Waliongezeka mwaka jana toka 20.
Na sababu ya Marekani kutaka Taiwan isiwe sehemu ya China ni hili iweze kuweka base pale.
Na sababu pekee Marekani inaitetea Taiwan ni ili kuibana China na kuinyima access ya bahari ili kuidhibiti kiuchumi. Hakuna lingine.
Ukiangalia kwenye ramani, hapo Taiwan ndiyo sehemu pekee iliyobaki ambayo China ina control na kupitisha mizigo yake. Maana upande mwingine ni South Korea na Japan, upande mwingine ni Philippines na visiwa vyake. Taiwan ipo katikati.
Pia ndiyo sababu hiyohiyo Marekani inataka Hong Kong ijitenge Na China. Kwa kuwa ikitoka ina maana Guangzhou litakuwa hatarini kushuka sana kiuchumi.
Hakuna sijui kuitafutia uhuru Taiwan wala nini. Ni propaganda za kipuuzi tu.
Wabongo tutumie muda japo kuidogo kufungua ramani ili uweze kuelewa haya mambo. View attachment 2307744