China itapata wakati mgumu sana kwa Taiwan kuliko Russia kwa Ukraine

China itapata wakati mgumu sana kwa Taiwan kuliko Russia kwa Ukraine

Na sababu pekee Marekani inaitetea Taiwan ni ili kuibana China na kuinyima access ya bahari ili kuidhibiti kiuchumi. Hakuna lingine.
Marekani akipigana vita, huwa anahakikisha uwanja wa vita usiwe katika eneo lake, anataka akupigie kwako. Marekani anatafuta ushawishi kwenye hiki kisiwa, pamoja na sababu nyingine nyingi ni ili pia kujiimarisha kiusalama dhidi ya China
 
Hizo base za US China anazilipua zote kama alivofanyaga Iran afu zinatumwa hypersonic tu uone kama uyo Marekani hakimbii. Unaichukulia poa sana China.
Kule mashariki, mtu anayeweza walau kupumua mbele yq US ktk eneo la Military ni Russia. China mwenyewe huwezi kumuweka meza moja na Mrusi eneo la Vita.

China ni wa kawaida tu mbele ya wababe kama US, India n.k
 
Sidhanii kama UCHINA na UCHINA watachapana
Pia sidhanii kama PELOSI ataenda huko UCHINA
Ila ambalo ninauhakika nalo nikwamba kama itatokea SMO kama ile ya UKRAINE basi hako ka CHINA mtoto katatwangwa haswaa na UCHINA mkubwa na shostito zake hawatakua nazaidi ya VIKWAZO

Sent using Jamii Forums mobile app

Kuna vitu ambavyo sijui mkiongea mnatoa waap yaaan US hawa hawa kabisaaa waambiewe Pelosi asiende nao watii hawa hawa kabisa??
 
Napingana na wewe kabisa.
Wapi umepata hiyo habari kuwa kuna kambi ya jeshi ya Marekani Taiwan na kuwa kuna wanajeshi wa Marekani 20,000?

Hakuna kambi ya jeshi ya Marekani Taiwan. Kuna wanajeshi 31 tu wa Marekani Taiwan. Waliongezeka mwaka jana toka 20.

Na sababu ya Marekani kutaka Taiwan isiwe sehemu ya China ni hili iweze kuweka base pale.

Na sababu pekee Marekani inaitetea Taiwan ni ili kuibana China na kuinyima access ya bahari ili kuidhibiti kiuchumi. Hakuna lingine.

Ukiangalia kwenye ramani, hapo Taiwan ndiyo sehemu pekee iliyobaki ambayo China ina control na kupitisha mizigo yake. Maana upande mwingine ni South Korea na Japan, upande mwingine ni Philippines na visiwa vyake. Taiwan ipo katikati.

Pia ndiyo sababu hiyohiyo Marekani inataka Hong Kong ijitenge Na China. Kwa kuwa ikitoka ina maana Guangzhou litakuwa hatarini kushuka sana kiuchumi.

Hakuna sijui kuitafutia uhuru Taiwan wala nini. Ni propaganda za kipuuzi tu.

Wabongo tutumie muda japo kuidogo kufungua ramani ili uweze kuelewa haya mambo. View attachment 2307744
Hongkong UK inajutia maamuzi yake 1997
 
Unajua ni mara ngapi China ameingia katika Air defense identification zone ya Taiwan? Mwezi January pekee china imeingiza warplanes, including fighters na bombers zaidi ya 30 je unajua why wanafanya hvyo.


Taiwan wamezoea uchokozi huu wa China na siku ya Kushambuliwa wanaweza kujua ni kawaida ya China kupitisha ndege zake katika defense identification zone ya Taiwan kumbe siku hyo China ndo anavamia so wkt mnapambana angani huku kwingine watu wanaingia

Kingine inapotokea katika vita ww ukawa uko kwenye defense mode tofauti na attack mode mwenye defense mode anakuwa na wakt mgumu sana na katika vita nying mara nying alie ktk defense mode wanashandwa vita coz itakulazimu utumie silaha kubwa au gharama kubwa kuliko alie ktk attack mode yeye anatumia silaha kutokana na mahitaji au hali ya uwanja wa vita so ni kichekesho kusema kati ya Taiwan na China , Taiwan atampiga Mchina so automatic Taiwan atakuwa kwenye Defense mode na China Kwenye attack mode

Kingine Base zote za US zinajulikana zilipo pia unatakiwa kujua China ana the Biggest Navy in the world kumshinda US pia hypersonic missiles ambazo kwa technology iliyopo kwa sasa hakuna air defense yeyote yenye uhakika wa kuzizuia
China haijawahi pigana modern war,
 
Kwamba China ina biggest navy in the world uwongo uliotukuka,mpe ban huyu
Unajua ni mara ngapi China ameingia katika Air defense identification zone ya Taiwan? Mwezi January pekee china imeingiza warplanes, including fighters na bombers zaidi ya 30 je unajua why wanafanya hvyo.


Taiwan wamezoea uchokozi huu wa China na siku ya Kushambuliwa wanaweza kujua ni kawaida ya China kupitisha ndege zake katika defense identification zone ya Taiwan kumbe siku hyo China ndo anavamia so wkt mnapambana angani huku kwingine watu wanaingia

Kingine inapotokea katika vita ww ukawa uko kwenye defense mode tofauti na attack mode mwenye defense mode anakuwa na wakt mgumu sana na katika vita nying mara nying alie ktk defense mode wanashandwa vita coz itakulazimu utumie silaha kubwa au gharama kubwa kuliko alie ktk attack mode yeye anatumia silaha kutokana na mahitaji au hali ya uwanja wa vita so ni kichekesho kusema kati ya Taiwan na China , Taiwan atampiga Mchina so automatic Taiwan atakuwa kwenye Defense mode na China Kwenye attack mode

Kingine Base zote za US zinajulikana zilipo pia unatakiwa kujua China ana the Biggest Navy in the world kumshinda US pia hypersonic missiles ambazo kwa technology iliyopo kwa sasa hakuna air defense yeyote yenye uhakika wa kuzizuia
 
China kwanza wamechelewa sana kuivamia Taiwan ,wamezembea hadi US kajenga base yake pale,US ana marine combat's zaid ya 20,000 ,ndege za kivita zaid ya 200 ,manowari ,pia ana base nyingine kisiwa cha japani ambacho ni karibu sana na Taiwan ,yani kiufupi Taiwani wamejiweka sawa.
Changamoto nyingine ni kwamba kisiwa hicho kipo umbali wa km 175 kutoka China, hivyo China akitaka kukivamia itabidi awe na meli kubwa zenye uwezo wa kubeba vifaa na zana za vita ,na hiz meli zitakua zinatembea taratibu hii itakua rahisi kushambuliwa na morden ant-ship messile ,pia Taiwan wameshatega mabomu ya kwenye maji kuzunguka kisiwa kizima ,mabomu haya yaliyotengenezewa UK yana uwezo wa kuharibu hadi submarine za kisasa.
Changamoto nyingine kuna kakisiwa kadogo ka Taiwan ambacho kiko umbali wa km 70 toka China haka kakisiwa kamejazwa wanajeshi na zana za kivita na ulinzi mkali hivyo kabla China hajafika Taiwan kwenyewe itamgharimu sana hapa.
Changamoto nyingine ni geography ya hichi kisiwa cha Taiwan aisee mji na mji kumetengwa na misitu mikubwa na mabonde mengi hii nayo. changamoto.
Changamoto nyingine ni jinsi ya kufanya uvamizi wa kushtukiza,unjua kwenye vita ukitaka ushindi wa asubuhi kamata anga la mpinzani aisee kwa Taiwan siyo rahisi maana anga lake linaendeshwa kisasa ,sawa na anga la France au German ,siyo choka mbaya Ukraine wasio na hata rada za maana,
Lingine ni kuwa hichi kisiwa sio choka mbaya kama Ukraine wao wamenunua ndege za kisasa,technology zilizoenda shule ,ni wataalamu wa udukuz,wakisaidiwa na japani na US.
Changamoto ya mwisho ni kwamba kisiwa hichi kimeingia makubaliano na US ya kulindana hivyo hapa US anaingia direct, siyo kule kwa zelesky anatumiwa kifaa kimojakimoja tena kwa tabu.
Sitegemei kama China wataivamia Taiwan ,itaishia kupiga mikwara tuu.
Mama anatinga huko next week ngoja tuone ,yajayo yanafurahisha
chambuzi la masuala ya kijeshi likichambua jeshi la china huku lenyewe likiwa buza kwa mama kibonge likivizia mihogo ya kukaanga.
 
Nadhani vijana wengi tuna ongelea uwezo wa nchi kwenye vita kwa ushabiki na siyo kwa data. China ni ya 3 duniani kwa uwezo wa kivita. Top 5 ni
1. Marekani
2. Russia
3. China
4. Japan
5. India

Marekani amemzidi China kwenye vifaa kama Ndege, Airline Carrier, Budget ya Jeshi (ambayo siitegemei sana maana Marekani vitu vyao ni bei sana kwa hiyo wanatumia hela nyingi sana.) Ila china pia anavitu vingi kamzidi Marekani, hasa kwenye makombora na watu.

Mfano;
  1. Ndege za Jeshi - Marekani (13,247) - China (3,285)
  2. Ndege za Attack (fighet Jets) - Marekani (1,957 kati ya 13,247) - China (1,200 kati ya 3,285)
  3. Helicopters - Marekani (5,463) - China (912)
  4. Helicopters za Attack - Marekani (910 kati ya 5,463) - China (281 kati ya 912)
  5. Tanks - Marekani (6,612) - China (5,250)
  6. Submarines - Marekani (68) - China (79)
  7. Aircraft Carrier - Marekani (11) - China (3) Wameongeza nyingine moja mwezi wa 6
  8. Armored Vehicles - Marekani (45,193) - China (35,000)
  9. Self- Propelled Artillery - Marekani (1,498) - China (4,120)
  10. Towed Artillery - Marekani (1,339) - China (1,734)
  11. Mobile Rocket - Marekani (1,366) - China (3,160)
  12. Idadi ya Watu (Jumla) - Marekani (334,998,398) - China (1,397,897,720)
  13. Nguvu kazi watu - Marekani (147,399,295) - China (754,864,769)
  14. Idadi ya watu walio fit kupambana - Marekani (122,274,415) - China (619,268,690)
Kama unanyoona. Mtanange ukitokea kati ya Marekani na China, nadhani uwezo wa nchi moja kutoboa ni asilimia 50% kwa 50%. Na nchi zote mbili, zitashuka kiuchumi vibaya mno.

Kama ni kubet, hela yangu naweka kwa Mchina.

Kwa maelezo zaidi tembelea Comparison of United States and China Military Strengths (2022)
 
Unajua ni mara ngapi China ameingia katika Air defense identification zone ya Taiwan? Mwezi January pekee china imeingiza warplanes, including fighters na bombers zaidi ya 30 je unajua why wanafanya hvyo.


Taiwan wamezoea uchokozi huu wa China na siku ya Kushambuliwa wanaweza kujua ni kawaida ya China kupitisha ndege zake katika defense identification zone ya Taiwan kumbe siku hyo China ndo anavamia so wkt mnapambana angani huku kwingine watu wanaingia

Kingine inapotokea katika vita ww ukawa uko kwenye defense mode tofauti na attack mode mwenye defense mode anakuwa na wakt mgumu sana na katika vita nying mara nying alie ktk defense mode wanashandwa vita coz itakulazimu utumie silaha kubwa au gharama kubwa kuliko alie ktk attack mode yeye anatumia silaha kutokana na mahitaji au hali ya uwanja wa vita so ni kichekesho kusema kati ya Taiwan na China , Taiwan atampiga Mchina so automatic Taiwan atakuwa kwenye Defense mode na China Kwenye attack mode

Kingine Base zote za US zinajulikana zilipo pia unatakiwa kujua China ana the Biggest Navy in the world kumshinda US pia hypersonic missiles ambazo kwa technology iliyopo kwa sasa hakuna air defense yeyote yenye uhakika wa kuzizuia
Aiseee, unasema kat ya china ni nani ana Navy bora?
 
Hizo Mbwembwe na propaganda za USA, Taiwani itapigwa tu..Jana Biden kapewa onyo na Rais wa China
kwamba asichezee moto.
Ndio apigwe sasa, Taiwan sio Ukraine 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220729-110041.png
    Screenshot_20220729-110041.png
    95.4 KB · Views: 10
Back
Top Bottom