Raphael Thedomiri
JF-Expert Member
- Sep 1, 2019
- 442
- 729
Marekani akipigana vita, huwa anahakikisha uwanja wa vita usiwe katika eneo lake, anataka akupigie kwako. Marekani anatafuta ushawishi kwenye hiki kisiwa, pamoja na sababu nyingine nyingi ni ili pia kujiimarisha kiusalama dhidi ya ChinaNa sababu pekee Marekani inaitetea Taiwan ni ili kuibana China na kuinyima access ya bahari ili kuidhibiti kiuchumi. Hakuna lingine.
Kule mashariki, mtu anayeweza walau kupumua mbele yq US ktk eneo la Military ni Russia. China mwenyewe huwezi kumuweka meza moja na Mrusi eneo la Vita.Hizo base za US China anazilipua zote kama alivofanyaga Iran afu zinatumwa hypersonic tu uone kama uyo Marekani hakimbii. Unaichukulia poa sana China.
Hawezi ingia vitani China, ameshaona kilichotokea Russia na Ukraine.China hawezi ingia vitani. Akiingia basi anajiharibia Uchumi wake
Kwani Russia na Ukraine kimetokea kitu gani hadi useme China hawezi ingiza vitani?Hawezi ingia vitani China, ameshaona kilichotokea Russia na Ukraine.
Mmeshindwa chukua Kyiv mkarudishwa km 300 kwa Javelin tu...Hizo Mbwembwe na propaganda za USA, Taiwani itapigwa tu..Jana Biden kapewa onyo na Rais wa China
kwamba asichezee moto.
Sidhanii kama UCHINA na UCHINA watachapana
Pia sidhanii kama PELOSI ataenda huko UCHINA
Ila ambalo ninauhakika nalo nikwamba kama itatokea SMO kama ile ya UKRAINE basi hako ka CHINA mtoto katatwangwa haswaa na UCHINA mkubwa na shostito zake hawatakua nazaidi ya VIKWAZO
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongkong UK inajutia maamuzi yake 1997Napingana na wewe kabisa.
Wapi umepata hiyo habari kuwa kuna kambi ya jeshi ya Marekani Taiwan na kuwa kuna wanajeshi wa Marekani 20,000?
Hakuna kambi ya jeshi ya Marekani Taiwan. Kuna wanajeshi 31 tu wa Marekani Taiwan. Waliongezeka mwaka jana toka 20.
Na sababu ya Marekani kutaka Taiwan isiwe sehemu ya China ni hili iweze kuweka base pale.
Na sababu pekee Marekani inaitetea Taiwan ni ili kuibana China na kuinyima access ya bahari ili kuidhibiti kiuchumi. Hakuna lingine.
Ukiangalia kwenye ramani, hapo Taiwan ndiyo sehemu pekee iliyobaki ambayo China ina control na kupitisha mizigo yake. Maana upande mwingine ni South Korea na Japan, upande mwingine ni Philippines na visiwa vyake. Taiwan ipo katikati.
Pia ndiyo sababu hiyohiyo Marekani inataka Hong Kong ijitenge Na China. Kwa kuwa ikitoka ina maana Guangzhou litakuwa hatarini kushuka sana kiuchumi.
Hakuna sijui kuitafutia uhuru Taiwan wala nini. Ni propaganda za kipuuzi tu.
Wabongo tutumie muda japo kuidogo kufungua ramani ili uweze kuelewa haya mambo. View attachment 2307744
Na ndio lengo la Marekani hapo Taiwan anatolewa kafara, mwisho vita itamsumbua China, mwisho wa siku Taiwan inakuwa nchi kamiliChina hawezi ingia vitani. Akiingia basi anajiharibia Uchumi wake
China haijawahi pigana modern war,Unajua ni mara ngapi China ameingia katika Air defense identification zone ya Taiwan? Mwezi January pekee china imeingiza warplanes, including fighters na bombers zaidi ya 30 je unajua why wanafanya hvyo.
Taiwan wamezoea uchokozi huu wa China na siku ya Kushambuliwa wanaweza kujua ni kawaida ya China kupitisha ndege zake katika defense identification zone ya Taiwan kumbe siku hyo China ndo anavamia so wkt mnapambana angani huku kwingine watu wanaingia
Kingine inapotokea katika vita ww ukawa uko kwenye defense mode tofauti na attack mode mwenye defense mode anakuwa na wakt mgumu sana na katika vita nying mara nying alie ktk defense mode wanashandwa vita coz itakulazimu utumie silaha kubwa au gharama kubwa kuliko alie ktk attack mode yeye anatumia silaha kutokana na mahitaji au hali ya uwanja wa vita so ni kichekesho kusema kati ya Taiwan na China , Taiwan atampiga Mchina so automatic Taiwan atakuwa kwenye Defense mode na China Kwenye attack mode
Kingine Base zote za US zinajulikana zilipo pia unatakiwa kujua China ana the Biggest Navy in the world kumshinda US pia hypersonic missiles ambazo kwa technology iliyopo kwa sasa hakuna air defense yeyote yenye uhakika wa kuzizuia
Na wewe unaichukulia poa sana US
Unajua ni mara ngapi China ameingia katika Air defense identification zone ya Taiwan? Mwezi January pekee china imeingiza warplanes, including fighters na bombers zaidi ya 30 je unajua why wanafanya hvyo.
Taiwan wamezoea uchokozi huu wa China na siku ya Kushambuliwa wanaweza kujua ni kawaida ya China kupitisha ndege zake katika defense identification zone ya Taiwan kumbe siku hyo China ndo anavamia so wkt mnapambana angani huku kwingine watu wanaingia
Kingine inapotokea katika vita ww ukawa uko kwenye defense mode tofauti na attack mode mwenye defense mode anakuwa na wakt mgumu sana na katika vita nying mara nying alie ktk defense mode wanashandwa vita coz itakulazimu utumie silaha kubwa au gharama kubwa kuliko alie ktk attack mode yeye anatumia silaha kutokana na mahitaji au hali ya uwanja wa vita so ni kichekesho kusema kati ya Taiwan na China , Taiwan atampiga Mchina so automatic Taiwan atakuwa kwenye Defense mode na China Kwenye attack mode
Kingine Base zote za US zinajulikana zilipo pia unatakiwa kujua China ana the Biggest Navy in the world kumshinda US pia hypersonic missiles ambazo kwa technology iliyopo kwa sasa hakuna air defense yeyote yenye uhakika wa kuzizuia
China hawezi ingia vitani. Akiingia basi anajiharibia Uchumi wake
Kule mashariki, mtu anayeweza walau kupumua mbele yq US ktk eneo la Military ni Russia. China mwenyewe huwezi kumuweka meza moja na Mrusi eneo la Vita.
China ni wa kawaida tu mbele ya wababe kama US, India n.k
chambuzi la masuala ya kijeshi likichambua jeshi la china huku lenyewe likiwa buza kwa mama kibonge likivizia mihogo ya kukaanga.China kwanza wamechelewa sana kuivamia Taiwan ,wamezembea hadi US kajenga base yake pale,US ana marine combat's zaid ya 20,000 ,ndege za kivita zaid ya 200 ,manowari ,pia ana base nyingine kisiwa cha japani ambacho ni karibu sana na Taiwan ,yani kiufupi Taiwani wamejiweka sawa.
Changamoto nyingine ni kwamba kisiwa hicho kipo umbali wa km 175 kutoka China, hivyo China akitaka kukivamia itabidi awe na meli kubwa zenye uwezo wa kubeba vifaa na zana za vita ,na hiz meli zitakua zinatembea taratibu hii itakua rahisi kushambuliwa na morden ant-ship messile ,pia Taiwan wameshatega mabomu ya kwenye maji kuzunguka kisiwa kizima ,mabomu haya yaliyotengenezewa UK yana uwezo wa kuharibu hadi submarine za kisasa.
Changamoto nyingine kuna kakisiwa kadogo ka Taiwan ambacho kiko umbali wa km 70 toka China haka kakisiwa kamejazwa wanajeshi na zana za kivita na ulinzi mkali hivyo kabla China hajafika Taiwan kwenyewe itamgharimu sana hapa.
Changamoto nyingine ni geography ya hichi kisiwa cha Taiwan aisee mji na mji kumetengwa na misitu mikubwa na mabonde mengi hii nayo. changamoto.
Changamoto nyingine ni jinsi ya kufanya uvamizi wa kushtukiza,unjua kwenye vita ukitaka ushindi wa asubuhi kamata anga la mpinzani aisee kwa Taiwan siyo rahisi maana anga lake linaendeshwa kisasa ,sawa na anga la France au German ,siyo choka mbaya Ukraine wasio na hata rada za maana,
Lingine ni kuwa hichi kisiwa sio choka mbaya kama Ukraine wao wamenunua ndege za kisasa,technology zilizoenda shule ,ni wataalamu wa udukuz,wakisaidiwa na japani na US.
Changamoto ya mwisho ni kwamba kisiwa hichi kimeingia makubaliano na US ya kulindana hivyo hapa US anaingia direct, siyo kule kwa zelesky anatumiwa kifaa kimojakimoja tena kwa tabu.
Sitegemei kama China wataivamia Taiwan ,itaishia kupiga mikwara tuu.
Mama anatinga huko next week ngoja tuone ,yajayo yanafurahisha
Mmmh hapana! Ninataka kumaanisha kuwa yaani China isionekane ya kinyonge mzee kwa dunia ya sasa
Aiseee, unasema kat ya china ni nani ana Navy bora?Unajua ni mara ngapi China ameingia katika Air defense identification zone ya Taiwan? Mwezi January pekee china imeingiza warplanes, including fighters na bombers zaidi ya 30 je unajua why wanafanya hvyo.
Taiwan wamezoea uchokozi huu wa China na siku ya Kushambuliwa wanaweza kujua ni kawaida ya China kupitisha ndege zake katika defense identification zone ya Taiwan kumbe siku hyo China ndo anavamia so wkt mnapambana angani huku kwingine watu wanaingia
Kingine inapotokea katika vita ww ukawa uko kwenye defense mode tofauti na attack mode mwenye defense mode anakuwa na wakt mgumu sana na katika vita nying mara nying alie ktk defense mode wanashandwa vita coz itakulazimu utumie silaha kubwa au gharama kubwa kuliko alie ktk attack mode yeye anatumia silaha kutokana na mahitaji au hali ya uwanja wa vita so ni kichekesho kusema kati ya Taiwan na China , Taiwan atampiga Mchina so automatic Taiwan atakuwa kwenye Defense mode na China Kwenye attack mode
Kingine Base zote za US zinajulikana zilipo pia unatakiwa kujua China ana the Biggest Navy in the world kumshinda US pia hypersonic missiles ambazo kwa technology iliyopo kwa sasa hakuna air defense yeyote yenye uhakika wa kuzizuia
Ndio apigwe sasa, Taiwan sio Ukraine 👇Hizo Mbwembwe na propaganda za USA, Taiwani itapigwa tu..Jana Biden kapewa onyo na Rais wa China
kwamba asichezee moto.
Kwani Taiwan hana hizo hypersonic? Keshachekewa.Hizo base za US China anazilipua zote kama alivofanyaga Iran afu zinatumwa hypersonic tu uone kama uyo Marekani hakimbii. Unaichukulia poa sana China.