China itapata wakati mgumu sana kwa Taiwan kuliko Russia kwa Ukraine

Kesho ndio kesho itakuwa ni tarehe 2 mwezi wa 8, tunasubiri ili tuone hicho kibibi kitatua na kuitia aibu Uchina au wataifyekelea mbali hiyo ndege ya huyo kibibi!
Uchina msijitie aibu kama ndege ya huyo kibibi ikikatiza imalizeni jumla
Nalog off  Z
 
Hiyo vita na Nato itaanza lini na nani wa kuianzisha au na wewe unaropoka tu ukishalewa vodka.
 
Hizo Mbwembwe na propaganda za USA, Taiwani itapigwa tu..Jana Biden kapewa onyo na Rais wa China
kwamba asichezee moto.
Bwashee uhalighan mama keshatua VP mbona kimya mnamwachaje aisee?
 
hatimaye yametimia kibibi kiko ndani mchina ameishia kudukua tu na sio government ni chinese activist hacker
 
Paaaaah
 
Biti tuu hilo mama anaenda na hawamfany kitu,China alipigwa biti moja tu ole wake aisaidie Russia mpaka leo mkia makalion ,tuone biti lake,US anawaona kama walevi wa madaraka tuu. Mtu ukikaa sana madarakani unapungukiwa akili
Kama nakumbuka vizuri amekuwa akihimizwa sana aicondemn Russia na aipige vikwazo lakini alikataa na sources zipo waziwazi, sasa hilo la kusema alipigwa biti kuwa ole wake aisaidie Russia na kafyata naona imekaa kiuongo zaidi

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Mmmh!! Mmh!.
 
Yaaan!! 🙁
 
Deal done Mama ameondoka salama, amewaacha China wanaendelea kubweka tuuh
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…