Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi inapokuwa na share kubwa katika global economy growth ni indicator ya kuwa taifa hilo lina economic powerKipi kikuu economic growth au economic share
Bidhaa gani China walikuwa wanauza Marekani miaka ya 1970?Huyo china alipewa na Marekani status ya most favoured nation ambapo ilimruhusu kuuza bidhaa zake nyingi kwa kulipia ushuru kidogo tangu miaka ya mwishoni ya 1970 na ni factor mojawapo iliyomsaidia china kukua
Miongoni mwa hiyo MIJITU YA HOVYO na wewe umo maana uko hapa hapa barani Afrika!! Ili usiwe jitu; hamia bara jingine na usirudi tena hapa.Huku Tanganyika , viongozi wanapambana kuhakikisha hakuna kiongozi anayepewa sifa nyingi kuzidi Samia Hassan.
Sijui kwanini hili bara lina majitu ya hovyo hovyo duniani with zero focus.
Volkswagen waliondoka china lakini sasa ivi nasikia wanalia wanaomba kurudi kwenye soko na kuwekeza china ..Narudia tena hakuna kampuni yoyote unayoijua wewe siyo USA wala Europe isiyolitaka soko la china na kuwekeza China .. makampuni ya magari ulaya yanayotumia umeme yanaemea mipira... Anakutengenezea gari lenye Ubora kama lile la kwenu alafu kwa bei chee lazima akutoe kwenye soko..
Wew ukiachana na technologies za android iPhone kitu gani baic unaweza kununua usKipon
Kipi kikuu economic growth au economic share? Hata mambo hayataki ushabic ni facts kwa kwenda mbele. Karibia uzalishaji wote duniani marekani pekee anashikilia almost 1/3 .
Marekani ndio nchi pekee duniani inayoweza kuiwekea vikwazo nchi nyingine na nchi hiyo nyingine ikaathirika. Hiyo ni indicator ya nguvu ya kiuchumi. Pili elewa Marekani na EU countries wanacoordinate mambo yao nengi pamoja. Huyo china alipewa na Marekani status ya most favoured nation ambapo ilimruhusu kuuza bidhaa zake nyingi kwa kulipia ushuru kidogo tangu miaka ya mwishoni ya 1970 na ni factor mojawapo iliyomsaidia china kukua. Na sasa Marekani wameanza kubadilisha status hiyo.
Huko china viwanda vingi vya Marekani, Eu na Japan viliwekeza huko nfano Elon Musk ana kiwanda cha EV huko China.
Marekani bado anaongoza katika naeneo mengi ya uzalishaji na uuzaji nje ingawa nakubali yapo maeneo china inaongoza.
Google utaona Marekanii anaexport nini. Kukusaudia tu anaexoirt na kuongoza aina nyingi za vitu kuanzia silaha, petroli na mazao yake, liquified gas, mashine za kilimo, mazao ya shambani kqdhaa nk.Us.a kwa sasa anajimaliza kwa sheria zake .hamna mtu atakayeweza kuwekwza marekani halafu azalisha bidhaa itakayoleta ushindani sokoni labda apate ruzuku
Wew ukiachana na technologies za android iPhone kitu gani baic unaweza kununua us
Fuatlia kwa karibu wanavyosema huko dunian.mchina kakaa kimya hajasema chochot kile,sionkwqmba hajui ila usikute anajopanga nayeye atoe kitu,naona yupo na zianra ya putin leo,iizo Ev za byd aisee gar kali halafu bei rahis na ina qualityKumbe free market iliyokuwa championed na US zilikuwa sanaa tu kwa kuwa yeye ndo alikuwa mzalishaji mkubwa ili a control soko la bidhaa na huduma kwa maslahi yake! Leo macho madogo kapindua meza US anapigania protectionism😀😀. Kwa kweli kama kuna mtu bado anawaamini wamarekani na sera zao basi anastahili kupimwa akili. Mzungu kawa exposed time hii
Una uhakika gani mimi nipo kwenye bara la majitu ya hovyo ?Miongoni mwa hiyo MIJITU YA HOVYO na wewe umo maana uko hapa hapa barani Afrika!! Ili usiwe jitu; hamia bara jingine na usirudi tena hapa.
Africa umeenda mbali, mkuu sema tu Tanzania bara inatosha tu 😀😀Inabidi Africa bala la Giza litawaliwe Upya na fimbo na viboko
Kwani huelewi nini?kinachomuuma ni kuona watu wanafanya mambo makubwa na mazuri Ila kwao wanafanya ujinga kwenye uongozi.Hv umesoma kilichoandikwa au umekimbilia tu ku comments hili jukwaa sasa hv naona mpk wenye matatizo ya akili wanajiunga