China kazi anayo dhidi ya Mmarekani, Biden aweka vikwazo maradufu

China kazi anayo dhidi ya Mmarekani, Biden aweka vikwazo maradufu

Kumbe free market iliyokuwa championed na US zilikuwa sanaa tu kwa kuwa yeye ndo alikuwa mzalishaji mkubwa ili a control soko la bidhaa na huduma kwa maslahi yake! Leo macho madogo kapindua meza US anapigania protectionism😀😀. Kwa kweli kama kuna mtu bado anawaamini wamarekani na sera zao basi anastahili kupimwa akili. Mzungu kawa exposed time hii
Mfumo ni ule ule tu kama CCM. Hakunaga haki kwenye vita vya maslahi ya kiuchumi.

Mnataka tume huru ya uchaguzi huru na wa haki jina la tume limeeditiwa 😂
 
Mkuu usiogope kwenye uchumi ukimpiga mtu ngumi ya jicho yeye atakupiga ya sikio."ukiuliza umeonaje naye anakuambia umesikije".

China anao uwezo wa kulipiza kwa kuwekea kodi kwa ukubwa huo huo baadhi ya bdhaa zitokazo marekani.

Kikubwa ni kwamba mareķani kazidiwa kwenye balance of trade na payment hivyo analazimisha kupunuza imports.

Hizi pia kuna njia mbili ya kukabiliana nazo punguza bei ili kupunguza makali ya kodi zilizowekwa. Pili serikali inatoa subsidy kwa expot companies
china aangalie tu nchi zingine za kuuza, kama ulaya, africa, uarabuni, south america na asia.
 
Huyo babu anasemaje? Eti Marekani ije kuongoza kwenye hizo sekta. Anaota ndoto za mchana

Kwa gap hili ni lini Marekani atampiga gap China? kama ameongea kisiasa sawa

●Steel:
China 54% global market share, vs US 4.3%

●Aluminum:
China 55%
share, vs US 1.5%

●EVs:
China 60%
share, vs US 8%

●Solar panels:
China 78%
share, vs US 2%
Mkuu kuna sehemu Babu amesema kuwa Marekani anataka kuja kuongoza kwenye uzalishaji wa hizo bidhaa?
 
WWaafrica hawaendi Mpaka Fimbo na Viboko Na Viongozi Wao ndo Mambumbumbu Kabisa Mtu akishapata Hela anawaza kuongeza Mke Tuu
Inawezekana wewe ukikabidhiwa nchi hali ikawa mbaya zaidi ya hii.
Ukumbuke viongozi wetu ni zao la jamii yetu, nawe ni mwana jamii kwahiyo huna tofauti kubwa Sana ya kiakili na hao viongozi.

Vile vile tambua ya kwamba mwelevu hawezi ongozwa na mjinga,kama tumekubali basi sisi ni wajinga zaidi ya hao wanaotuongoza.
 
Mchina ana kazi nzito haswa dhidi ya marekani.

Hapa ni Biden amepitisha furushi hili.

View attachment 2990276
I just imposed a series of tariffs on goods made in China:

25% on steel and aluminum,
50% on semiconductors,
100% on EVs,
And 50% on solar panels.


China is determined to dominate these industries.

I'm determined to ensure America leads the world in them.


Trump naye amesema akipita atapiga ban kabisa EVs za China zinazo tengenezewa China na Mexico zisikanyange U.S

Ila China akitoboa hapa litakuwa pigo kubwa kwa U.S
Uzuri Marekani kwenye hili yuko wazi sio unafiki


Hongera China wewe ni next super power
 
China ni taifa lenye influence kibiashara na kidiplomasia.
USA alishaachwa mbali sana.
Pia China ina purchasing power kubwa.
Pia Afrika ni miongoni mwa masoko makubwa na muhimu duniani maana unao uwezo wa kupata wateja aina zote.
Hukukaa ufuatilie mkuu,China is giant in every aspect surpassing USA.
Sio kweli
 
Nikabidh
Inawezekana wewe ukikabidhiwa nchi hali ikawa mbaya zaidi ya hii.
Ukumbuke viongozi wetu ni zao la jamii yetu, nawe ni mwana jamii kwahiyo huna tofauti kubwa Sana ya kiakili na hao viongozi.

Vile vile tambua ya kwamba mwelevu hawezi ongozwa na mjinga,kama tumekubali basi sisi ni wajinga zaidi ya hao wanaotuongoza.
i Uone Hali Itakuwaje kwani Mifano Si Ipo Kwa Viongozi Vilaza na Viongozi majembe Mimi Ntafata Ntaongoza Kwa Mifano Ya Viongozi Majembe Na Najua Sio Wote Watakao nipenda Ila Wengi Ntawagusa Maisha Yao na kufurahia uongozi Wangu (Lete Jingine
 
Market size ya marekani ni ndogo sana 300m population, 1 8bn pple china 2bn pple Africa 1bn pple, kwahiyo hilo ni dogo sanaa aliwezi ku affect uchumi wake.
Hahahaha Mzee gharama ya maisha ya tajiri mmoja ni sawa na gharama za maisha ya watu laki moja. Nilijifunza miaka ile American inapitia kwenye msukosuko wa uchumi kipind cha Bush kuja obama. Mchina ilibid akawape hela za kununulia mizigo bila riba kule marekan ili waendelee kununua mizigo kwake ili viwanda vyake viendelee kufanya kaz na kulinda ajira. Kule viwandan Fujian mmarekan mmoja order yake ni sawa na order ya bidhaa hiyo hiyo kwa Afrika nzima. Ogopa nguvu ya hela na Market Mzee.
 
Back
Top Bottom