China kazi anayo dhidi ya Mmarekani, Biden aweka vikwazo maradufu

China kazi anayo dhidi ya Mmarekani, Biden aweka vikwazo maradufu

Nafikiri kwenye semiconductor marekani na washirika wake wafanya vizuri hapa na ndipo panapo mpa tabu China hasa kwenye critical technology ya utengenezaji wa semiconductor ila aki pakamata kazi kubwa watakuwa nayo washirika wake maana wame invest a lot of money
Wachina wameanza kuwa watamu kwenye semiconductor

Makampuni ya Kichina kama SMEE na Naura wameanza kutengeneza DUV machines

HUAWEI na Tsinghua University nao they are working on EUV machines

DUV na EUV ni mashine muhimu sana kwenye semiconductor production

Matoleo mapya ya simu za HUAWEI yanatumia 7nm chip, hii inaonyesha kuwa kwa sasa China wameweza kutengeneza chip za 7nm na kufanya mass production

Kuna uwezekano mkubwa kuwa SMIC, HUAWEI, Naura, SiCarrier wameweza kutengeneza 5nm chip nafikiri kilichobaki ni kutangazwa official

Chip zilizotumika kwenye HUAWEI Pura 70 toleo la mwaka huu zinatumia 7nm chip (N+2) ambazo basically ufanyaji kazi wake yaani core functionality ni sawa na chip za 5nm

Kilichobaki kwa sasa ni kampuni za China kuanza rasmi mass production ya chip za 5nm

SMIC wamewekeza billions of money kwenye R&D kuanza kuunda 3nm au 2nm kufikia mwaka 2026/27 nazo waanze mass production

Marekani alifikiri chip ban anazofanya zitamwacha China kwenye chip za 28nm ila revolution wanazofanya China hawaamini macho yao
 
Market size ya marekani ni ndogo sana 300m population, 1 8bn pple china 2bn pple Africa 1bn pple, kwahiyo hilo ni dogo sanaa aliwezi ku affect uchumi wake.
Soko sio watu. Soko ni uwezo wa kununua ndanu ya nchi. Hadi sasa Marekani ndio soko kubwa, kisha EU yenye watu milioni 500 hivi.
Africa nzima sii soko kuu kutokana na umaskini uliotopea wa kipato. Mfano Tanzania ina watu milioni 61 lakini inazidiwa kwa mbali sana na vinchi vyenye watu wasiozidi milioni 10 kama Belgium, Denmark nk.
 
Tusubiri tuone ila wazungu kwenye maslahi yao wapo serious sana in short hawana utani hata kidogo
Ni sahihi ila kwa jinsi walivyokua wanamiminika Beijing aisee sidhani kama watafuata anachofanya USA.
Na bora wangekua viongozi wa mataifa madogo ila mataifa kama Italy,Germany,France,Belgium n.k ni makubwa.
 
GDP-PPP per capita ya wamerekani ni kubwa mara 100 ya wachina na mara 1000 ya waafrika. Kwa hiyo mchina kukosa soka la US ni pigo kubwa kwa uchumi wa china.
Purchasing power parity ya China inalingana na USA.
Nenda kafuatilie,ndio maana kuna mwaka walikua wanalazimisha China iingie mataifa ya ulimwengu wa kwanza ila China alikataa.
Hayo mahesabu ulopiga unatudanganya mkuu.
Na 2018 China aliongoza kuwa na purchasing power parity kubwa duniani.
Sijui hizi taarifa mnaokoteza wapi!?
 
Kuna tofauti ya soko huria na soko holela.
Free market economy ni ndani ya nchi ila unapotoka kushindana na wengine lazima ulinde maslahi ya nchi yako kwanza ndio maana miaka yote Marekani inatoa ruzuku za mabilioni kwa wakulima wake na kuwafanya kuwa na ushindani zaidi kuliko wakulima wengine duniani.
Sasa China ndio anaongoza kwa government subsidies.
Yani makampuni karibuni yote China yana gov subsidies.
 
GDP-PPP per capita ya wamerekani ni kubwa mara 100 ya wachina na mara 1000 ya waafrika. Kwa hiyo mchina kukosa soka la US ni pigo kubwa kwa uchumi wa china.

Kwa sasa China ndio taifa linaloongoza duniani kwenye GDP per capita on Purchasing Power Parity likifuatiwa na Marekani.

Kampuni zote zenye brand kubwa duniani zinajua umuhimu wa soko la China kwa sababu ya purchasing power yao

Ndio maana hata makampuni ya West yameaingia joint ventures na ya China ili kulinda soko la China na mengine yamefanya FDI
 
EVs za kutoka China
●Soko la Ulaya: 50.27%
●Developing countries: 48.76%
●Marekani: 0.97%

China inaongoza kwa export ya EVs duniani ila soko la Marekani halichangii hata 1% ya mauzo EVs za China

Ila ndio Wamarekani haohao wameongeza tariffs 😅😅😅
 
Wachina wameanza kuwa watamu kwenye semiconductor

Makampuni ya Kichina kama SMEE na Naura wameanza kutengeneza DUV machines

HUAWEI na Tsinghua University nao they are working on EUV machines

DUV na EUV ni mashine muhimu sana kwenye semiconductor production

Matoleo ya simu mpya za HUAWEI yanatumia 7nm chip, hii inaonyesha kuwa kwa sasa China wameweza kutengeneza chip za 7nm na kufanya mass production

Kuna uwezekano mkubwa kuwa SMIC, HUAWEI, Naura, SiCarrier wameweza kutengeneza 5nm chip nafikiri kilichobaki ni kutangazwa official

Chip zilizotumika kwenye HUAWEI Pura 70 toleo la mwaka huu zinatumia 7nm chip (N+2) ambazo ambazo basically ufanyaji kazi wake yaani core functionality ni sawa na chip za 5nm

Kilichobaki kwa sasa ni kampuni za China kuanza rasmi mass production ya chip za 5nm

SMIC wamewekeza billions of money kwenye R&D kuanza kuunda 3nm au 2nm kufikia mwaka 2026/27 nazo waanze mass production

Marekani alifikiri chip ban anazofanya zitamwacha China kwenye chip za 28nm ila revolution wanazofanya China hawaamini macho yao
Inaonekana SMIC imeanza kuuunda na kufanya mass production ya 5nm

Na itaanza kutengeneza chip za 5nm kwa ajili ya simu za HUAWEI
 
EVs za kutoka China
●Soko la Ulaya: 50.27%
●Developing countries: 48.76%
●Marekani: 0.97%

China inaongoza kwa export ya EVs duniani ila soko la Marekani halichangii hata 1% ya mauzo EVs za China

Ila ndio Wamarekani haohao wameongeza tariffs 😅😅😅
Duuh! Hatari wenda marekani wana hofu kubwa sana kuhusu kupinduliwa na wachina acha tuone namna sokombingo zitakavyoenda
 
Ni sahihi ila kwa jinsi walivyokua wanamiminika Beijing aisee sidhani kama watafuata anachofanya USA.
Na bora wangekua viongozi wa mataifa madogo ila mataifa kama Italy,Germany,France,Belgium n.k ni makubwa.
Ila hii ni vita dhidi ya western empire haya mafuriko ya mchina sidhani kama wao wataweza kuyakwepa.

Na wazungu wa magharibi wakina western empire inatikiswa hawashindwi kushirikiana kupambana na adui si uona wanavyo pambana na mrusi sidhani kama mchina watamuacha.

Na nafikiri serikali ya Beijing inatambua hilo ukikumbuka lile sokombingo la Huawei alilopigwa na western empire ila serikali ya Beijing ilisimama naye.

Sema nini hawa wachina, marekani na washirika wake wanavyo pambana inafikirisha sana na inaonesha umuhimu wa kuwa na serikali makini zilizo na viongozi makini ili sisi tusonge mbele.
 
Wachina wameanza kuwa watamu kwenye semiconductor

Makampuni ya Kichina kama SMEE na Naura wameanza kutengeneza DUV machines

HUAWEI na Tsinghua University nao they are working on EUV machines

DUV na EUV ni mashine muhimu sana kwenye semiconductor production

Matoleo ya simu mpya za HUAWEI yanatumia 7nm chip, hii inaonyesha kuwa kwa sasa China wameweza kutengeneza chip za 7nm na kufanya mass production

Kuna uwezekano mkubwa kuwa SMIC, HUAWEI, Naura, SiCarrier wameweza kutengeneza 5nm chip nafikiri kilichobaki ni kutangazwa official

Chip zilizotumika kwenye HUAWEI Pura 70 toleo la mwaka huu zinatumia 7nm chip (N+2) ambazo ambazo basically ufanyaji kazi wake yaani core functionality ni sawa na chip za 5nm

Kilichobaki kwa sasa ni kampuni za China kuanza rasmi mass production ya chip za 5nm

SMIC wamewekeza billions of money kwenye R&D kuanza kuunda 3nm au 2nm kufikia mwaka 2026/27 nazo waanze mass production

Marekani alifikiri chip ban anazofanya zitamwacha China kwenye chip za 28nm ila revolution wanazofanya China hawaamini macho yao
Asante kwa elimu hii
 
Sanctions on china zinawafanya wawe wabunifu na wainnovate zaidi, hizi zinawork kwetu tu si wao.
Mfano sanctions za huawei zimeifanya comeback ya huawei iwe tishio kwa iphones na mauzo yao yameshuka sana. Evs zao zimefanya tesla ishuke thamani. Wamarekani wawaze jambo lingine kama hadi social media ya wachina imewabamba wamarekani wenyewe ujue ngoma inogile
Ni kweli sanctions zinakomaza akili kwa wale wanao jitambua ila kwa wengine hugeuka maumivu yenye laana kubwa
 
Market size ya marekani ni ndogo sana 300m population, 1 8bn pple china 2bn pple Africa 1bn pple, kwahiyo hilo ni dogo sanaa aliwezi ku affect uchumi wake.
😂😂😂😂😂😂 hao watu million 300 hapo Marekani 50% yao wanaweza kuilisha Africa hadi Yesu ataporudi kupitia Donations mbali mbali😁😁😁 ila 50% ya waafrika wanaishi kwa misaada ya hao 300M mzee..

Mchina kazi anayo haswaa!!!
 
Mchina ana kazi nzito haswa dhidi ya marekani.

Hapa ni Biden amepitisha furushi hili.

View attachment 2990276
I just imposed a series of tariffs on goods made in China:

25% on steel and aluminum,
50% on semiconductors,
100% on EVs,
And 50% on solar panels.


China is determined to dominate these industries.

I'm determined to ensure America leads the world in them.


Trump naye amesema akipita atapiga ban kabisa EVs za China zinazo tengenezewa China na Mexico zisikanyange U.S

Ila China akitoboa hapa litakuwa pigo kubwa kwa U.S
Tanzania tuchukue fursa hii,tumwaalike mchina atengenezee kwetu,kisha tuziuze marekani🤣
 
Back
Top Bottom