China kazi anayo dhidi ya Mmarekani, Biden aweka vikwazo maradufu

China kazi anayo dhidi ya Mmarekani, Biden aweka vikwazo maradufu

China ni tofauti sana na Russia,
China ni global economy wakati Russia ni regional economy.
Na kuna tofauti pia ya sanctions na tarrifs, msikaririr mambo kama Kasuku.
China ni almost monopoly kwenye manufacturing sector in global market ila Russia ni powerhouse ya energy kwa dunia nzima for decades hadi sasa. Russia akiungana n mchina official against USA, basi yanayoongelewa *anguko la USA ndio litakuwa limetimia rasmi
 
UsA ana muhofia sana, china, china ana lengo la kuwa world center of manufacturing, china ndio inaongoza kwa kuzalisha EVs(electrical vehicles) duniani, tena kwa gharama nafuu, sasa USA na Ulaya wanashindwa kushindana na bidhaa kutoka china, maana, za, china ni nafuu,
Zikiingia soko la ulaya, watu watakimbilia kununua za china, na, za, viwanda vya ulaya, Vita kuwa na wakati mgumu kupata mapato, na ajira zinakuwa mashakani!
Nikiona kenge wa ccm wanqjivunia lile gulio linqlojengwa pale ubungo, nasikitika sana, lile litakuwa soko la bidhaa kutoka china, mchina anakuja kuuza bidhaa zake pale! Hqkuna bidhaa kutoka TZ itauzwa pale, maana hazipo! Sie tutatoa huduma tu za vyoo,parking, ulinzi, hatuna hi tech goods za, kuuza pale,
Ndio maana kuna mifumo ya kodi na tarrif mbalimbali kazi yake licha ya kuwa source ya mapato kwa serikali pia inadhibiti bidhaa toka nje kwa kuzifanya ziwe ghali.
 
China ni almost monopoly kwenye manufacturing sector in global market ila Russia ni powerhouse ya energy kwa dunia nzima for decades hadi sasa. Russia akiungana n mchina official against USA, basi yanayoongelewa *anguko la USA ndio litakuwa limetimia rasmi
Usijidanganye kinachofanya nchi ipige hatua au kuongoza ni maendeleo ya teknolojia sio miungano pekee.
Marekani bado sana ataendelea kuwa mwenye uchumi mkubwa duniani. Kwa takwimu za IMF katika GDP ya dunia Marekani share yake ni 26.3% akifuatiwa na EU 17.3% China ni ya tatu 16.9% Japan 3.8%, India 3.6% na Uingereza 3.2%.
Kwa hiyo katika mambo ya uchumi ushabiki wa simba ma yanga haufanyi kazi. Data ndio zinazungumza.
 
Usijidanganye kinachofanya nchi ipige hatua au kuongoza ni maendeleo ya teknolojia sio miungano pekee.
Marekani bado sana ataendelea kuwa mwenye uchumi mkubwa duniani. Kwa takwimu za IMF katika GDP ya dunia Marekani share yake ni 26.3% akifuatiwa na EU 17.3% China ni ya tatu 16.9% Japan 3.8%, India 3.6% na Uingereza 3.2%.
Kwa hiyo katika mambo ya uchumi ushabiki wa simba ma yanga haufanyi kazi. Data ndio zinazungumza.
Nchi kuwa kubwa kiuchumi *gdp haimaanishi inafanya vzuri kiuchumi. Mmarekani wamevioverlook vipaumbele vya kuuchochea uchumi wake ukue na kujikita zaidi kwenye wold politics. Ninachomaanisha, currently, kuanzia mwaka jana America wametoka pesa nyingi kuliko pesa inayoingiza. Imekuwa ikitoa mabilioni kwa mabilioni kama msaada kwa vipigwaji Ukrainians na genocidists wa kiisraeki. Kwa upande mungine, Russia is almost self dependant. Mchina ni tajiri mkubwa sana wa raw materials, so bila China viwanda vingi vya USA vitaanguka. USA anamtegemea mchina kuliko mchina anavyomtegemea, haswa kwenye raw materials. So kama China n russia wakiungana, USA ataumia zaidi ya hao wa2. Pia, nchi nyingi ckuiz zimegoma kuendelea kuuza nishati kutumia dollar, na nyingi saivi hazitaki kutumia dollar kwenye biashara zao. Kwa urefu, USA kwa sasa inatumia reserves nyingi kuliko kusave, so yupo vbaya sana kiuchumi. Kinachomsaidia ni akiba nono ambayo anaimega kila kukicha. Yani USA awe mpole tu, ila hawezi kuipoteza China kama trading partner wake. Hana nguvu kama awali, anguko lake ndio kwanzaaaa limeanza n tumepata nafusi ya kulishuhudia hili ndani ya hii era
 
Marekani bado sana ataendelea kuwa mwenye uchumi mkubwa duniani. Kwa takwimu za IMF katika GDP ya dunia Marekani share yake ni 26.3% akifuatiwa na EU 17.3% China ni ya tatu 16.9% Japan 3.8%, India 3.6% na Uingereza 3.2%.
Hivi unajua according to IMF mwaka jana China ilichangia 32% ya global economic growth?

Na Marekani ilichangia 11% tu

China is the economic power-house of the world.
 
Usijidanganye kinachofanya nchi ipige hatua au kuongoza ni maendeleo ya teknolojia sio miungano pekee.
Kasome huu uzi uone Marekani alivyopigwa gap na China kwenye critical technology

 
Volkswagen waliondoka china lakini sasa ivi nasikia wanalia wanaomba kurudi kwenye soko na kuwekeza china ..Narudia tena hakuna kampuni yoyote unayoijua wewe siyo USA wala Europe isiyolitaka soko la china na kuwekeza China .. makampuni ya magari ulaya yanayotumia umeme yanaemea mipira... Anakutengenezea gari lenye Ubora kama lile la kwenu alafu kwa bei chee lazima akutoe kwenye soko..
 
Mchina ana ushindani huru gani?!! Wa kuyapa pesa makapuni yao, ili waweze kupunguza bei za huduma/bidhaa, kuwashinda wengine?!!!
Hivi unajua kuwa serikali za nchi za Ulaya na Marekani ndio zinazotoa ruzuku nyingi sana kwa mfano kwenye EVs kuliko China. Kwa nini hazifanyi kazi Marekani na Ulaya?

China's advantage is built on innovation, not subsidies. Hizi blaah blaah sijui serikali ya China inatoa ruzuku, industrial overcapacity, cheap labour zimeanza kuja baada ya nchi za Magharibi kuzidiwa

20240515_214854.jpg
 
Volkswagen waliondoka china lakini sasa ivi nasikia wanalia wanaomba kurudi kwenye soko na kuwekeza china ..Narudia tena hakuna kampuni yoyote unayoijua wewe siyo USA wala Europe isiyolitaka soko la china na kuwekeza China .. makampuni ya magari ulaya yanayotumia umeme yanaemea mipira... Anakutengenezea gari lenye Ubora kama lile la kwenu alafu kwa bei chee lazima akutoe kwenye soko..
Umesema vyema

CEO wa Mercedes Benz alikuwa analaumu nchi za Magharibi kufikiria kuzuia EVs kutoka China

Unajua kwa nini?

CEO anajua China nao wakilipiza inakula kwao maana China ni mojawapo ya soko kubwa la luxury autos kutoka nchi za Magharibi
 
Usijidanganye kinachofanya nchi ipige hatua au kuongoza ni maendeleo ya teknolojia sio miungano pekee.
Marekani bado sana ataendelea kuwa mwenye uchumi mkubwa duniani. Kwa takwimu za IMF katika GDP ya dunia Marekani share yake ni 26.3% akifuatiwa na EU 17.3% China ni ya tatu 16.9% Japan 3.8%, India 3.6% na Uingereza 3.2%.
Kwa hiyo katika mambo ya uchumi ushabiki wa simba ma yanga haufanyi kazi. Data ndio zinazungumza.
Unazungumzia market shear ya kitu gani
 
Umesema vyema

CEO wa Mercedes Benz alikuwa analaumu nchi za Magharibi kuzuia EV kutoka China

Unajua kwa nini?

CEO anajua China nao wakilipiza inakula kwao maana China ni mojawapo ya soko kubwa la luxury autos kutoka nchi za Magharibi
Ni chizi pekee ambae atalikataa soko la china lenye watu zaidi ya Bilioni 1 ..Apple si mnawaona wenyewe wamekomaa Trump kajaribu weee warudi Home kufanyia Assembly ya device zao lakini mpaka anatoka madarakani ameshindwa...
 
Kipon
Hivi unajua according to IMF mwaka jana China ilichangia 32% ya global economic growth?

Na Marekani ilichangia 11% tu

China is the economic power-house of the world.
Kipi kikuu economic growth au economic share? Hata mambo hayataki ushabic ni facts kwa kwenda mbele. Karibia uzalishaji wote duniani marekani pekee anashikilia almost 1/3 .

Marekani ndio nchi pekee duniani inayoweza kuiwekea vikwazo nchi nyingine na nchi hiyo nyingine ikaathirika. Hiyo ni indicator ya nguvu ya kiuchumi. Pili elewa Marekani na EU countries wanacoordinate mambo yao nengi pamoja. Huyo china alipewa na Marekani status ya most favoured nation ambapo ilimruhusu kuuza bidhaa zake nyingi kwa kulipia ushuru kidogo tangu miaka ya mwishoni ya 1970 na ni factor mojawapo iliyomsaidia china kukua. Na sasa Marekani wameanza kubadilisha status hiyo.
Huko china viwanda vingi vya Marekani, Eu na Japan viliwekeza huko nfano Elon Musk ana kiwanda cha EV huko China.

Marekani bado anaongoza katika naeneo mengi ya uzalishaji na uuzaji nje ingawa nakubali yapo maeneo china inaongoza.
 
Ni chizi pekee ambae atalikataa soko la china lenye watu zaidi ya Bilioni 1 ..Apple si mnawaona wenyewe wamekomaa Trump kajaribu weee warudi Home kufanyia Assembly ya device zao lakini mpaka anatoka madarakani ameshindwa...
Tatizo watu wengi wanawasikiliza wanasiasa wa Marekani ila kinachofanywa na CEOs wa kampuni kubwa za Marekani na Ulaya ni tofauti na wanachosema wanasiasa

Mwaka jana Apple waliuza iPhone nyingi China kuliko Marekani

Utamshawishi vipi CEO wa Apple Mr Tim Cook eti wahamishe production facilites China

Unaanzaje kumshawishi Elon Musk afunge kiwanda cha Tesla nchini China ambapo ni Tesla's second-biggest market behind USA

Au McDonald, KFC na Starbucks wafunge migahawa yao China?
 
Back
Top Bottom