Hawawezi wakishusha hawatapata faida
China ina advantages nyingi sana inapohusu manufacturing kuanzia upatikanaji wa materials, R&D centres, skilled personel, supply chain n.k
Mfano magari ya Tesla 95% ya components zimetengenezwa China. Well Marekani amepiga ban China-based EVs, ila EVs za Tesla kutoka China zinaingia Marekani zikiwa zimetengenezwa kwa vifaa 95% kutoka China sio mbaya kwa uchumi wa China
Ilikuwa Tesla wafungue kiwanda India ila Elon Musk baada ya kupima kaona bora aongeze cha pili China. Kashapewa eneo lingine Shanghai aanze ujenzi mara moja