3 Angels message
JF-Expert Member
- Aug 3, 2017
- 5,350
- 15,426
Inabidi tuendelee kuunga mkono msimamo wa JPM kuwa hakuna corona hapa kwetu maana hao wachina huwa tunawaita ndugu sijui rafiki zetu kwa hiyo ni rahisi kutupa hivyo vifaa kule maabara ya taifa halafu iwe kizaazaa.