cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Kwa lipi la ajabu? Mbna jeshini kuna kukaguliwa? Unafiki tyuuuhWe najua hata hushtuki au sio? [emoji3][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa lipi la ajabu? Mbna jeshini kuna kukaguliwa? Unafiki tyuuuhWe najua hata hushtuki au sio? [emoji3][emoji3]
Kuna point hapa.Isije ikawa wanaotafutwa ni wale wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja. Ila naomba watakapo wagundua wapenzi wa jinsia moja wasiwadhuru.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tobaaaaaah lolHatari sana.
Nimeonaa huyu jamaa akichutama ili kupata wanachotaka wataalamu kwa ajili ya test [emoji1541].
View attachment 1688366
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wachina nao ni mabeberu? Sio ndugu zetu wa damu wametujengea hadi reli ya Tazara. Utakuta washatuma msaada wa vipimo tayari
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahWatashangaa mashoga wanajazana vituo vya upimaji.
Una hasira sana wee vipi hebu kuwa mpole, LGBT hapa inahusila vipi? Deal na WHO, ndo wanaoratibu suala la afya, punguza muhemko.Ukifuatilia sana utakuta huo utafiti unagharamiwa na mashoga! Route of infection inajulikana ni pua na mdomo, au macho! Sasa mkun.d..ni wanatafuta nini! Wanataka kwa kisingizio cha kuchukua sampuli wawe wanaweka vitu kwenye njia ya haja kubwa (mikund.ni) itakayosababisha miwasho ili watu wepende kukunwa huko! Mijitu mingine mipuuzi kweli kweli! Mwisho wa siku kuongeza mashoga kwa kisingizio cha kuchukua sampuli! Sampuli waziache kooni afu wajifanye wanatafuta kwenye mkund.! Upuuzi kabisa!
Actually ni pamba stick tu, watafanya anal swab!Hicho kifaa kina unene kiasi gaini, tuanzie hapo kwanza.
Nani?Hapo kiongozi unaingizwa kifaa tu, acheni woga jitokezeni kupima tafadhali.
Hapa una comment kama demu mkuu...???..nyuzi zingine naonaga unakomenti kama dume!!!!...or unspecified gender...???Wanaume sasa zamu yenu kutolewa bikra kwa lazma.
Kweli mkuu umejitahidi sana hapo kwenye tafsida. Hongera sana [emoji38][emoji38][emoji38]Mzuka wanajamvi!
Ukistaajabu Wengi wanaogopa kupimwa kupitia puani. Sasa hivi China wataanza kupima Corona kupitia nyuma 'choo'. Ni kijiti kinasimikwa na kuzungushwa mara kadhaa na kunyofoa kimba.
Halafu ni daktari ama mpimaji anayepaswa kukupima siyo unafanya kivyako na kuleta 'choo'.
Wanadai ndio njia inayotoa majibu sahihi kabisa ya upimaji.
My take:
Nimejitahidi sana kutumia tafsida.
![]()
China begins using anal swabs to test for Covid in Beijing
Beijing is using anal swabs to test its residents for coronavirus - a method some experts say is more accurate. Swabs are inserted about an inch and rotated several times.www.dailymail.co.uk
Kama ni hivi hapana aisee [emoji849][emoji849][emoji849] [emoji119][emoji119][emoji119] bora nipambane na nyungu tuHatari sana.
Nimeonaa huyu jamaa akichutama ili kupata wanachotaka wataalamu kwa ajili ya test [emoji1541].
View attachment 1688366
Kama hujui muelekeo wa dunia hii kwa sasa kaa kimya utazame tu! Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza! Hao WHO ndia wameshikwa na wavuta bange na mashoga kama hujui! Ndio maana hata bangi wanaruhusu!Una hasira sana wee vipi hebu kuwa mpole, LGBT hapa inahusila vipi? Deal na WHO, ndo wanaoratibu suala la afya,
Punguza muhemko.
watu wanaojifanya straight wana shida San, jambo lolote kinzani kuhusu matumizi ya mwili hata ktk faida bas LGBT inahusika lol,Kama hujui muelekeo wa dunia hii kwa sasa kaa kimya utazame tu! Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza! Hao WHO ndia wameshikwa na wavuta bange na mashoga kama hujui! Ndio maana hata bangi wanaruhusu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na ivi ndo vile Vidole vya mpima Corona VairasiView attachment 1688661