Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Mh bora ningezaliwa kipindi cha zama za mawe za kati, huu wakati sio kabisaHatari sana.
Nimeonaa huyu jamaa akichutama ili kupata wanachotaka wataalamu kwa ajili ya test 👇🏿.
View attachment 1688366
Doohhhhh!!!Mdomoni to puani, now to matakoni
Hatari sana mkuu, baada ya mda ukitaka kuvuka mipaka ya nchi unakutana na kipimo cha Mchina.Daah sasa tunafirishwa kwanguvu walahi mabeberu hawana maana.
Wachina nao ni mabeberu? Sio ndugu zetu wa damu wametujengea hadi reli ya Tazara. Utakuta washatuma msaada wa vipimo tayari.Daah sasa tunafirishwa kwanguvu walahi mabeberu hawana maana.
Muambie huyo, tena atataka fasta na kwa umakini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ujaumwa ww tena utawahimiza wachukue sampo mapema sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahInabidi tuendelee kuunga mkono msimamo wa JPM kuwa hakuna corona hapa kwetu maana hao wachina huwa tunawaita ndugu sijui rafiki zetu kwa hiyo ni rahisi kutupa hivyo vifaa kule maabara ya taifa halafu iwe kizaazaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani hao wa huko China sio wanaume? Bado homa haijashka penyewe, mbna muhusika ataenda mwenyewe na kuchojoa nguo bila hata kuambiwa.Vipi mrembo, ungekuwa ni wewe ungekubali tu bila hiyana? Majibu ni muhimu sana tafadhali.