#COVID19 China: Kipimo cha corona kupitia haja kubwa kina ufanisi zaidi

Kakifaa kakigoma kutoka unatembea nako.
Ni bora nife kiume ila kamwe haitatokea et nainama kifaa kinapita kwa an.... aseeeeeee hapana kwakweli, washindwe na macorona yao.
 
Huelewi kinachoendelea weye! Sina chuki na mashoga bali huzuni tu! Nakasirishwa na tabia zao za kutaka ku'romote' ushoga hata kwa watu wasio na mpango nao! Hicho tu! Badala ya kuwasaidia waache vitendo na mtazamo wao, wao wanapenyeza agenda hizo hata kwa watoto wadogo! Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza!
Nimeandika nachokifahamu ndugu sijakurupuka! Mashoga, ktk ku'promote' hiyo tabia wako ladhi kumwaga mahela kama yote aisee! Ndio maana nikasema " ukifuatilia chanzo cha fedha ya utafiti huo utakuta ni mashoga! Badala ya kukurupuka na kunizodoa ungeenda kufanya ufuatiliaji husika uone juu ya ukweli au uongo wa 'concern' yangu!
Logically, koo ndio mahali sahihi kuchukua sampuli...huko walikoelekea unaona ni agenda husika bila chenga!
 
Hicho kipimo tunawapeleka washirika wao kimaendeleo wanalumumba wafanyiwe kwanza wao,au naseme uwongo ndgu zangu
 
Hicho kipamba kinatiwa dawa ambayo ikiingia basi km mwanamme ndo tumekukosa.. km wakike atakuwa anagawa tigo tu
 
Wadada wenye misambwanda wangekutana na
anasbo yeye ndy mpimaji wangetia akili
[emoji23][emoji23][emoji23]
East Wind

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…