projectman
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 349
- 486
Najiulizaga sana US wanajiamini nini kumnyooshea kidole kila mtu.
USA ana confidence power,,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Najiulizaga sana US wanajiamini nini kumnyooshea kidole kila mtu.
Vyovyote iwavyo hataziba pengo la ulaya, ulaya na marekani ndio iliyokuwa inaipa utajiri Russia sasa India yenyew taaban china pia, tutegemee anguko la urusi kubwa la kiuchumi🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Anakopesha au anauza kwa discount, tofautisha hayo mawili.
We tegemea hilo tu. Yajayo yanafurahisha.Vyovyote iwavyo hataziba pengo la ulaya, ulaya na marekani ndio iliyokuwa inaipa utajiri Russia sasa India yenyew taaban china pia, tutegemee anguko la urusi kubwa la kiuchumi
Ukiona superpower ndani ya mwaka mmoja hana tena silaha zaidi ya kujilinda yeye mwenyewe jua hilo Taifa walipiga mdomo mwingi sana kujipaisha hawana kitu russia.,Sasa silaha zako utatumia zote kabla ya vita halafu vita ikianza utumie nini? 🤣 Urusi sio mjinga kama unavyofikiri. Anapoomba silaha maana yake hataki bank yake ya masilaha iende chini ya kiwango. Kuna level ambayo unatakiwa ku maintain mda wote kwa ajili ya kujiandaa na vita.
Heheheh sasa hao majirani zao sindio NATO. Wewe silaha combined za nchi 30 utafananisha na silaha za nchi 5?Ukiona superpower ndani ya mwaka mmoja hana tena silaha zaidi ya kujilinda yeye mwenyewe jua hilo Taifa walipiga mdomo mwingi sana kujipaisha hawana kitu russia.,
Mkuu NATO wana uwezo kupigana hata kwa miaka 30 none stop na hutawasikiapo wakilalamika na kukopa silaha kwa jirani
Power ya kutegemea TAG ila pekeyake hawezi simama na mrusi.USA ana confidence power,,
Mkuu vita kamili urusi ameshindwa mwenyeweHeheheh sasa hao majirani zao sindio NATO. Wewe silaha combined za nchi 30 utafananisha na silaha za nchi 5?
All in all NATO watapigwa kama ngoma. Mi nataka wamuanzishie Mrusi kwamba vita inakuwa rasmi halafu tuone show.
Bila US Russia angeshaivamia PolandBila USA hakuna NATO sasa, hiyo NATO ni kwa ajili ya Ulaya kujilinda isivamiwe na Urusi.
Supa pawa anasaidiwa tena? Au maji shingoni?Kama nchi za Magharibi zimeamuwa kupigana vita ya mawakala na Urusi kupitia Ukraine basi washirika wa Urusi wana haki ya kumsaidia mshirika wao.
Utakuwa umezaliwa jana wewe sio Bure. Misaada ya kijeshi kwa wapinzani Kati ya Hao jamaa haijaanza Leo. Vita vya Korea (1950-1953) nchi za Magharibi ziliisaidia Korea kusini kijeshi huku USSR, China ziliisaidia Korea kaskazini. Vita vya Vietnam mpaka Warusi na WA China waliingiza wanajeshi wao kuisaidia Serikali ya Viet Congo. Kwahiyo sioni jipya hata China ikipeleka Silaha kuisaidia Urusi.Kugawanyika kiitikadi ni jambo la kawaida sana. Lakini kupambana waziwazi kivita kwa kugawa silaha maeneo ya vita na katika kipindi cha vita kwa makundi hasimu ni jambo jipya.
Aiiise hizi taarifa zako unapata wapi ?China na India nchi ambazo zinapata msaada sana kutoka US kuanzia wataalamu wa kiuchumi, viwanda, silaha lakini na kila kitu ndio maana China akijaribu kutaka kujiengua na US huwa anashindwa, Marekani aliitawala dunia muda mrefu sana ni shida sana taifa kama Marekani kulipigia mahesabu ya kuliangusha kama alivyojaribu putin
Sio kweli*Kama vile China aliposema kiongozi wa Marekani Pelosi akijaribu kwenda Taiwan ataishambulia Taiwan lakini yule mama alienda mchana kweupe kwa Air Force One ya Marekani na akaweka mkutano wa wazi zaidi China hakufanya chochote.
Sapoti ipi hiyo? Leta facts!Mbona wamagharibi hawakuona aibu kuisapoti Marekani alipo kuwa ana zivamia nchi nyingine?
Ulienda wewe bas Taiwan ndotoniSio kweli