China kuipatia silaha Russia dhidi ya Ukraine

China kuipatia silaha Russia dhidi ya Ukraine

Safi sana .
China moja peke yake inaweza kuwakalisha ulaya wote.
Halafu Mzee mzima Russia anakula sahani moja na Marekani.
Sioni mahali Marekani atatokea.
Bado vichwa ngumu akina Korea Kaskazini na Iran wakifanya Yao.
Huku Urusi akiwatuliza maswahiba wake wa east akina Tajikisatan, Beralus, na wenzao.

The Collective Security Treaty Organization (CSTO) is an intergovernmental military alliance in Eurasia consisting of six post-Soviet states: Armenia, Belarus, Kazakhstan, Kyrgyzstan, Russia, and Tajikistan.
ACHANA NA MATUMIZI YA BANGI
 
Kumbe na Marekani ambaye hawezi kwenda vitani msaada na rundo la washirika wake naye sio super power?
NATO literally ni marekani, hivyo vi nchi vingine ni bendera tu, kama haufikirii sawasawa hauwezi kuelewa hilo.
 
Tofauti ambayo pengine huijui ama umeisahau ni kuwa, Urusi ni mvamizi na Ukraine ni mhanga wa uvamizi wa Urusi.

Washirika wakubwa wa Urusi wamekosa ujasiri wa kuiunga mkono Urusi waziwazi kutokana na fact hiyo moja ukiacha sababu nyingine za kimaslahi. Kuiunga mkono Urusi kwenye hii vita moja kwa moja ni kuunga mkono uvamizi kwa nchi nyingine yeyote ile duniani zikiwemo nchi za hao washirika wenyewe.
Mbona wamagharibi hawakuona aibu kuisapoti Marekani alipo kuwa ana zivamia nchi nyingine?
 
Ni suala la muda tu! Je umeifuatilia leo hotuba ya putin?ki ukweli anatia huruma yaani hakutegemea hichi kilichotokea,na huko mbeleni muda c mrefu utamsikia CHINA,anataka awempatanishi ili vita iishe!!na ndicho kilichompeleka FM,wa china huko urusi juzi!!je NATO watakubali?!!
Ni suala la muda mpaka lini? Tayari ametangaza donbase kua ni ardhi ya urusi. Na leo kwenye mkutano wake ameweka wazi kua watajenga bandari za kimkakati kwe black sea, azov nk... maana yake urusi anaenda kujenga miundombinu ya biashara kwenye ardi yake mpya.

Hivi unajua utajiri wa hayo majimbo mawili? Embu google hapo yalikua yanachangia asilimia ngapi ya pato la Ukraine.

Ukiwa Ukraine watashindwa kurudisha ardhi hii na vita bado vinaendelea... Ukraine itawakuta yale ya korea... nchi yao itagawanywa kwa wakubwa. Ila kusema Ukraine atashinda vita dhid ya urusi huu ujinga hata kichaa hawez kuamini.
 
NIMEELEWA KWANINI MRUSI ANATUMIA WAKABAJI NA WEZI, KUMBE ALIKUWA ANAVIZIA WAMAGHARIBI WAINGIE MAZIMA ATIE MEDANI RASMI.KWA CHINA NADHANI BAADA YA KUSUMBULIWA TAIWAN ANATAKA KUMUINESHA AMERIKA KWAMBA WEWE NI MSICHANA KAMA WASICHANA WENGINE.Utofauti upo kwamba wewe emerika ni shangingi.ngoma inogile.
 
Tuliza mzuka mkuu China alitaka kujaribu kabla akashindwa, kumbuka mshirika wa Urusi nchi 2 au 3 hivi wakati NATO ni zaidi ya mataifa 30 yenye nguvu duniani, China hawawezi ata kujamba, Taiwan tu imewatoa kamasi hadi sasa wanapita tu hukoo pembeni pembeni
Kariri.HUKUONA PUTO KWA KAKA MKUBWA NI KAWAIDA KWA WATANZANIA KURAHISISHA MAMBO SABABU YA UKARIRIFU.
 
Mafuta wamejipangia wenyewe wa magharibi na wafanyabiashara wao.....mrusi anaendelea kuuza mafuta kwa bei zake na tena soko lake limekua sana hasa china na india.......ndo maana kwa sasa ana jeuri ya kuagiza silaha nje badala ya kuzalisha mwenyewe ndani, pesa anapata na anaenda kuchukua silaha kwa wale ambao anawauzia mafuta kwa bei ya chini, kwahio upande mmoja unafanya production upande mmoja unanunua vita inaendelea,,,,,shida kwa nato gharama za uzalishaji zimeshakua kubwa ulaya nzima nafuu ipo marekani tu vita ikiendelea stock zao kuzirudishia itakua ngumu ndo maana mjerumani alikua anajikuna kichwa kwenye vifaru,,,kuzalisha silaha zinazotoka ulaya kwa rate ya kuendana na vita ukraine kwa sasa ni ngumu, tena wakihamia kwenye hizi silaha modern shida itakua kubwa zaidi gharama za uzalishaji zinaenda kua chini india na china sababu wanauziwa mafuta na gesi kwa bei ndogo sana kulinganisha masoko mengine, mrusi anajua anachofanya.........................na ujinga mwingine india na china wananunua mafuta bei chee urusi halafu na wao wanakuja tena kuwauzia ulaya kwa gharama kubwa anaeumia anajulikana ila bado anajikazaView attachment 2524334View attachment 2524336
Hapa kitufe cha like kiko kimoja ila kimoyoni nimekupa likes 1000.
 
Kwaiyo India na Brazil wameziba pengo la uchumi wa urusi lilokuwa ulaya na US? mnadanganyana sana, putin aliomba apeleke mafuta soko la dunia kutokana na hali yake mbaya akapangiwa bei ya hasara sasa anatapatapa tu hoi bin taaban ata mwaka tu wa vita, unadhan China na India ni watu wa Putin? hizo zoote uchumi wao unaburuzwa ni US ndio maana China alipoulizwa kama ana mpango kuisaidia Urusi jibu lake likawa hajawahi na hatawahi anaogopa kama mdudu vile vile India walimpa masharti putin aache vita wafanye biashara, putin hana rafiki anaenda na maji
Sio lazima wazibe, usahihi ni kwamba anauza na anapo pakufanyia biashara.MBONA MAPAMBANO BADO YANAENDELEA.TUANGALIE NA KUUSUBIRIA WAKATI.Kama kubishana tushabishana sana.Wengine toka wadogo Ussr amerika.tutulie tucheki mtanange.
 
Ni lini Baraza LA Usalama LA umoja WA mataifa lilishawahi kuwa kitu kimoja? Balaza hilo Lina wanachama 5 WA kudumu:
1.Marekani
2.China
3.Uingereza
4.Ufaransa
5.Urusi.

Balaza hilo limegawanyika sehemu 2 kimlengo na kula zao zinagawanyika hivyo. Urusi na Uchina wao Lao moja huku Marekani, Uingereza na Ufaransa Lao likiwa moja.

Kugawanyika kiitikadi ni jambo la kawaida sana. Lakini kupambana waziwazi kivita kwa kugawa silaha maeneo ya vita na katika kipindi cha vita kwa makundi hasimu ni jambo jipya.
 
NIMEELEWA KWANINI MRUSI ANATUMIA WAKABAJI NA WEZI, KUMBE ALIKUWA ANAVIZIA WAMAGHARIBI WAINGIE MAZIMA ATIE MEDANI RASMI.KWA CHINA NADHANI BAADA YA KUSUMBULIWA TAIWAN ANATAKA KUMUINESHA AMERIKA KWAMBA WEWE NI MSICHANA KAMA WASICHANA WENGINE.Utofauti upo kwamba wewe emerika ni shangingi.ngoma inogile.
Umeandika kama mtu mwenye uwezo mdogo sana kiakili.
 
Biden yupo Ukraine. Ampige bomu tuone kweli yupo vizuri.
Russia anaomba msaada wa silaha China na North Korea. Huoni kama hapa Putin ameshafeli tayari?

Kuomba misaada ya silaha ni jambo la kawaida. Hata Marekani anaomba misaada kwa kujificha kwa nato.
 
Back
Top Bottom