China kuipatia silaha Russia dhidi ya Ukraine

China kuipatia silaha Russia dhidi ya Ukraine

China kama haitaki kupigana kwa ajili ya Taiwan yake unaanzaje kuamini iko tiyari kupigana kwa ajili ya Putin.
Vita ni mipango ya muda mfupi na muda mrefu, sikweli kuwa China haitaki kupigana kwa ajili ya Taiwan.
 
Biden yupo Ukraine huku Russia akiomba msaada wa kijeshi kwa China na North Korea.
Russia kwa aibu aliyopata na kushindwa akaona aite operesheni ya kijeshi kuficha aibu.
USA habari nyingine. Ampige bomu Biden si yupo Ukraine na Russia anaipiga Ukraine?
🤣🤣🤣Elimu yako please
 
Biden yupo Ukraine huku Russia akiomba msaada wa kijeshi kwa China na North Korea.
Russia kwa aibu aliyopata na kushindwa akaona aite operesheni ya kijeshi kuficha aibu.
USA habari nyingine. Ampige bomu Biden si yupo Ukraine na Russia anaipiga Ukraine?
JF imevamiwa na vitoto vingi, vinachukuwa stories za vijiweni na kuja kulopoka huku
 
Mafuta wamejipangia wenyewe wa magharibi na wafanyabiashara wao.....mrusi anaendelea kuuza mafuta kwa bei zake na tena soko lake limekua sana hasa china na india.......ndo maana kwa sasa ana jeuri ya kuagiza silaha nje badala ya kuzalisha mwenyewe ndani, pesa anapata na anaenda kuchukua silaha kwa wale ambao anawauzia mafuta kwa bei ya chini, kwahio upande mmoja unafanya production upande mmoja unanunua vita inaendelea,,,,,shida kwa nato gharama za uzalishaji zimeshakua kubwa ulaya nzima nafuu ipo marekani tu vita ikiendelea stock zao kuzirudishia itakua ngumu ndo maana mjerumani alikua anajikuna kichwa kwenye vifaru,,,kuzalisha silaha zinazotoka ulaya kwa rate ya kuendana na vita ukraine kwa sasa ni ngumu, tena wakihamia kwenye hizi silaha modern shida itakua kubwa zaidi gharama za uzalishaji zinaenda kua chini india na china sababu wanauziwa mafuta na gesi kwa bei ndogo sana kulinganisha masoko mengine, mrusi anajua anachofanya.........................na ujinga mwingine india na china wananunua mafuta bei chee urusi halafu na wao wanakuja tena kuwauzia ulaya kwa gharama kubwa anaeumia anajulikana ila bado anajikazaView attachment 2524334View attachment 2524336
Unaweza kukuta iyo bei juu wanayouziwa ulaya russia ana kijiperceeeee chake
 
China hajawahi kumkubali mrusi. China wana akili zao nyingi sana. Walishawasoma warusi kama hamnazo. Toka enzi za vita baridi. Wanaenda nao kimtindomtindo
 
Tunapoelekea PUT IN
Screenshot_20230221-160251_Facebook.jpg
 
JF imevamiwa na vitoto vingi, vinachukuwa stories za vijiweni na kuja kulopoka huku
Pole sana. Inaonekana ulikimbia shule hata kuandika hujui.
Jifunze kuandika vizuri halafu uje ujibizane na mimi.
JF imevamiwa na wazee wapumbavu wanaojiona wanajua kila kitu.
 
China lazima iingie kati vinginevyo nchi za NATO zikiishinda Russia(ingawa haiwezekani)ndoto za China kukitwaa kisiwa cha Tawain zitakuwa zimefika mwisho.
 
China hajawahi kumkubali mrusi. China wana akili zao nyingi sana. Walishawasoma warusi kama hamnazo. Toka enzi za vita baridi. Wanaenda nao kimtindomtindo
Sio kweli kuwa China hawajawahi kumkubali Russia licha ya kuwa wana migogoro ya hapa na pale.
 
China lazima iingie kati vinginevyo nchi za NATO zikiishinda Russia(ingawa haziwezekani)ndoto za China kukitwaa kisiwa cha Tawain zitakuwa zimefika mwisho.
Anhaa sawa, wacha tuone yatayo jiri.
 
Back
Top Bottom