Ndo nachokwambia hao hawatafuti wanachokitafuta wamagharibi,,,,,wamashariki wana ideology tofauti kabisa,,,wangekua wanataka hayo hadi sasa na wao wangeanza kupeleka upepo kwenye sarafu zao, mchina angekua ana force yuan na mrusi rubble, ila hawa wanachokipambania kinaonekana ,kila nchi ifanye biashara kwa sarafu yake., kitu ambacho mabepari wakimagharibi hawataki sababu wanajua wanavyoinyonya dunia na sarafu zao,, huku Africa ni muda tu na kuna nchi zinaonyesha muamko taratibu ,,,,,hao jamaa hawana haja ya kupiga kelele sababu lengo lao ni tofauti na wamagharibi,,,........wamagharibi ndo waliowekeza sana kwenye propaganda tena zile hasi na vyombo vyao, ....narudia tena mrusi na mchina hawautafuti usuper power wao wanachotafuta ni uhuru wa kufanya mambo yao bila kuingiliwa bas,,huku magharibi wanasaka na kutaka ku maintain usuper power ili waingilie nchi nyingine na kuzipelekesha watakavyo