China kuipatia silaha Russia dhidi ya Ukraine

China kuipatia silaha Russia dhidi ya Ukraine

Unachokisema sio kweli bado mbabe ni mmoja tu dunia hii na ataendelea kuwa yeye kwa musa mrefu sana,ndio maana hao wanao msapoti PUTIN hawawezi kujitokeza hadharani!!juzi china ameambiwa kuwa ana mpango wa kupeleka silaha urusi umemsikia alivyojitetea?na jana waziri wake wa mambo ya nje amekwenda urusi,.USA na kundi lake la NATO, ndio dunia.hiyo option haipo kwani mbambe wao (IRAN,CHINA,N.KOREA,VENEZUELA,SYRIA)ambaye ni urus wameshaona kumbe hamna kitu mle!!jamaa amechoka NATO ndio kwanza wameanza kupeleka silaha nzito!!Tuwe wakweli tu hivi putin kwenye vita hii kuna faida atakayo ipata?kwani uwezekano wa kushinda hakuna
Faida sie tunaiona ,,nyie kwa mahaba yenu na nyie mnaona yenu...........upepo ulivyokua miaka 2 nyuma ni tofauti na sasa,,,,,,China hawezi akaenda kichwakichwa ila lengo lange linaeleweka,,,, hadi kumsumbua mmarekani kiuchumi pia hakwenda kichwa kichwa kama ingekua hivyo wangeshamminya mapema kabla hata hajafikia level za kuwasumbua......mambo bado aisee kuna kama miaka 7 -10 mbele......
 
Kama nchi za Magharibi zimeamuwa kupigana vita ya mawakala na Urusi kupitia Ukraine basi washirika wa Urusi wana haki ya kumsaidia mshirika wao.
Pole. Tusubirie china ijichanganye mifumo Yao ifungwe duniani na walivyotawanyika sijui wataishi vipi
 
Sasa si wajitokeze wazi kumsaidia?!!kama nchi za ulaya zinavyofanya?!!wanaogopa nini?
Huo ni mtizamo wenu na hio ni jadi ya wamagharibi kuonyesha kila wafanyacho aidha kwa kujaza watu hofu au kupitisha propaganda za uongo ,,,,watu wanakimbiza mwizi kimyakimya kwa sasa japo ujumbe unasomeka huu upande mwingine hawataki kujijenga kama walivyojijenga wamagharibi kwa showoff za kijinga na ubabe wa kigoroko
 
Faida sie tunaiona ,,nyie kwa mahaba yenu na nyie mnaona yenu...........upepo ulivyokua miaka 2 nyuma ni tofauti na sasa,,,,,,China hawezi akaenda kichwakichwa ila lengo lange linaeleweka,,,, hadi kumsumbua mmarekani kiuchumi pia hakwenda kichwa kichwa kama ingekua hivyo wangeshamminya mapema kabla hata hajafikia level za kuwasumbua......mambo bado aisee kuna kama miaka 7 -10 mbele......
Mkuu hizo faida unazoziona wewe na putin tu ni zipi?!!china hawezi kuwa superpower kwa miongo hii ya karibuni,
 
Taarifa inasema kuwa China ina mpango wa kumpatia msaada wa kisilaha Russia dhidi ya Ukraine.
Taarifa:
- China is considering giving Russia weapons and ammunition for the Ukraine war, US secretary of state Anthony Blinken has said.

Mr Blinken told CBS News that Chinese companies were already providing "non-lethal support" to Russia- and new information suggested Beijing could provide" lethal support".

This escalation would mean"serious consequences " for China, he warned.


Taarifa zaidi pitia BBC News/CBS News


View attachment 2523878
Nyie si mlilipasua lile puto lao angani sasa subirini na wao wafanye yao msiwaingilie na msiwapangie cha kufanya kila nchi Ina maamuzi binafsi
 
Ni Sawa tu,
Bado KK nayo itaipa Urusi silaha,Iran tayari.
Hii maana yake Kila mtu na maswahiba wake.
N ndivyo hata NATO wakiingiza majeshi kamili nao wachina watatia timu uwanjani,bila kumsahau kiduku na marafiki wengine.
Patamu sana hapo... Ngoja tusubiri inyeshe tuone panapovuja
 
Mkuu hizo faida unazoziona wewe na putin tu ni zipi?!!china hawezi kuwa superpower kwa miongo hii ya karibuni,
Na hawajasema wanataka kua superpower shida mnaenda na akili za kimagharibi,,hao hawataki kua superpower na kuonyesha mabavu kwa wengine, wao lengo lao kila mtu awe huru na mambo yake, na ndo inapokuja hio multipolar world, hawatafuti u superpower kama akili za wamagharibi zinavyofikiria,,,,hao wanachotaka kila nchi iheshimu mipaka ya wenzie na nchi zisiingilie maamuzi ya wengine,,, na hilo ndo wanalolipika huko brics na kwenye miungani yao mengine , ndo maana mrusi au mchina haitaji resource nyingi kua superpower kwasababu hilo sio lengo lao , lengo watu waheshimiane baaas.............hizi mambo za usuper power ni ideology za kimagharibi
 
Huo ni mtizamo wenu na hio ni jadi ya wamagharibi kuonyesha kila wafanyacho aidha kwa kujaza watu hofu au kupitisha propaganda za uongo ,,,,watu wanakimbiza mwizi kimyakimya kwa sasa japo ujumbe unasomeka huu upande mwingine hawataki kujijenga kama walivyojijenga wamagharibi kwa showoff za kijinga na ubabe wa kigoroko
Huo sio uchawi!!unadhania kuwa taifa kubwa duniani,kiuchumi na kisiasa utaweza kwa kuwa eti kimya kimya?!?Mfano china ki uchumi yupo juu ila nguvu ya kisiasa duniani hana!! Huyo putin sasa ndio anatafuta ushawishi wa kisiasa huko W.Africa.
Propaganda?!!lnenda baharini huko ndipo utaona kweli kumbe hii dunia bila USA kuweka ulinzi sijui ingekuwaje!??
 
Huo sio uchawi!!unadhania kuwa taifa kubwa duniani,kiuchumi na kisiasa utaweza kwa kuwa eti kimya kimya?!?Mfano china ki uchumi yupo juu ila nguvu ya kisiasa duniani hana!! Huyo putin sasa ndio anatafuta ushawishi wa kisiasa huko W.Africa.
Propaganda?!!lnenda baharini huko ndipo utaona kweli kumbe hii dunia bila USA kuweka ulinzi sijui ingekuwaje!??
Ndo nachokwambia hao hawatafuti wanachokitafuta wamagharibi,,,,,wamashariki wana ideology tofauti kabisa,,,wangekua wanataka hayo hadi sasa na wao wangeanza kupeleka upepo kwenye sarafu zao, mchina angekua ana force yuan na mrusi rubble, ila hawa wanachokipambania kinaonekana ,kila nchi ifanye biashara kwa sarafu yake., kitu ambacho mabepari wakimagharibi hawataki sababu wanajua wanavyoinyonya dunia na sarafu zao,, huku Africa ni muda tu na kuna nchi zinaonyesha muamko taratibu ,,,,,hao jamaa hawana haja ya kupiga kelele sababu lengo lao ni tofauti na wamagharibi,,,........wamagharibi ndo waliowekeza sana kwenye propaganda tena zile hasi na vyombo vyao, ....narudia tena mrusi na mchina hawautafuti usuper power wao wanachotafuta ni uhuru wa kufanya mambo yao bila kuingiliwa bas,,huku magharibi wanasaka na kutaka ku maintain usuper power ili waingilie nchi nyingine na kuzipelekesha watakavyo
 
Na hawajasema wanataka kua superpower shida mnaenda na akili za kimagharibi,,hao hawataki kua superpower na kuonyesha mabavu kwa wengine, wao lengo lao kila mtu awe huru na mambo yake, na ndo inapokuja hio multipolar world, hawatafuti u superpower kama akili za wamagharibi zinavyofikiria,,,,hao wanachotaka kila nchi iheshimu mipaka ya wenzie na nchi zisiingilie maamuzi ya wengine,,, na hilo ndo wanalolipika huko brics na kwenye miungani yao mengine , ndo maana mrusi au mchina haitaji resource nyingi kua superpower kwasababu hilo sio lengo lao , lengo watu waheshimiane baaas.............hizi mambo za usuper power ni ideology za kimagharibi
Sasa hiyo bricks nayo ina impact gani toka iundwe?!!lazima dunia iwe na kilanja mkuu wa kuweka mambo sawa!!hao china,urusi,iran,n.korea wao kitu demokrasia na uhuru wa watu kwao sio kipaumbele.kwakuwa UN imeshindwa kufanya majukumu yake ipasavyo ndio maana US anakuwa ndio kama UN!!Na hii dunia kama putin ndio angekuwa kilanja wa dunia kusingekuwa kuwa na dunia tena
 
Sasa hiyo bricks nayo ina impact gani toka iundwe?!!lazima dunia iwe na kilanja mkuu wa kuweka mambo sawa!!hao china,urusi,iran,n.korea wao kitu demokrasia na uhuru wa watu kwao sio kipaumbele.kwakuwa UN imeshindwa kufanya majukumu yake ipasavyo ndio maana US anakuwa ndio kama UN!!Na hii dunia kama putin ndio angekuwa kilanja wa dunia kusingekuwa kuwa na dunia tena
Toka iundwe imefanya nini hadi sasa? Ina memba wangapi?? Ndo kwanza inafufuka we unataka ikuonyeshe lipi la ajabu.....hio UN yenyewe hadi kupata nguvu si hadi watu waliposhikishana adabu kwani waliamka tu leo UN ikawa na nguvu,,,,,,,,kikubwa wanaonyesha njia na wanachokipigania kinaonekana tena bora kwa miaka hii kuliko huko nyuma ndo ilikua giza kabisa.....leo Mali anaweza mkoromea mfaransa kisa urusi je miaka 5 nyuma huko aliweza??? Nchi za afrika kwa sasa zinaweza kupelekana puta na wamagharibi sababu wanajua option nyingine zipo.......mambo taraatiiiiibu yente yente......... ....nyie bakini na usuper power wa dunia yenu tu hata mkiwa nchi 20 na superpower wenu fresh hamna atakaewaingilia na mambo yenu, kikubwa msifosi mambo yenu kwa wengine
 
Ndo nachokwambia hao hawatafuti wanachokitafuta wamagharibi,,,,,wamashariki wana ideology tofauti kabisa,,,wangekua wanataka hayo hadi sasa na wao wangeanza kupeleka upepo kwenye sarafu zao, mchina angekua ana force yuan na mrusi rubble, ila hawa wanachokipambania kinaonekana ,kila nchi ifanye biashara kwa sarafu yake., kitu ambacho mabepari wakimagharibi hawataki sababu wanajua wanavyoinyonya dunia na sarafu zao,, huku Africa ni muda tu na kuna nchi zinaonyesha muamko taratibu ,,,,,hao jamaa hawana haja ya kupiga kelele sababu lengo lao ni tofauti na wamagharibi,,,........wamagharibi ndo waliowekeza sana kwenye propaganda tena zile hasi na vyombo vyao, ....narudia tena mrusi na mchina hawautafuti usuper power wao wanachotafuta ni uhuru wa kufanya mambo yao bila kuingiliwa bas,,huku magharibi wanasaka na kutaka ku maintain usuper power ili waingilie nchi nyingine na kuzipelekesha watakavyo
Huo umoja wao BRICS sasa ni miaka 22 toka wauunde kuna nini wamekifanya ili kujinusuru na hali hiyo?!!kwani wengi waliamini kuwa huo umoja ndio mwisho wa ubabe wa magharibi?sio jambo rahisi hivyo kusema kuwa eti dolar isitumike kwenye biashara za kimataifa?!!huyo mrusi wakati vita inaanza akatoa amri watumiaji wote wa gesi yake walipe kwa rubble,nchi za ulaya zikalataa alifanya nini?
 
Huo umoja wao BRICS sasa ni miaka 22 toka wauunde kuna nini wamekifanya ili kujinusuru na hali hiyo?!!kwani wengi waliamini kuwa huo umoja ndio mwisho wa ubabe wa magharibi?sio jambo rahisi hivyo kusema kuwa eti dolar isitumike kwenye biashara za kimataifa?!!huyo mrusi wakati vita inaanza akatoa amri watumiaji wote wa gesi yake walipe kwa rubble,nchi za ulaya zikalataa alifanya nini?
Nchi za ulaya bado zinachukua gesi ya mrusi?? Na kawabembeleza??hadi bwana yao akaamua kulipua bomba kwani mrusi alijikomba kwao............ndo hivyo watu wanapiga biashara sasa bila hata ya dola national currency kwa national currency mambo yanaenda......brics miaka 22 ina member wangapi??? Na hao waliopo umeona wanapelekeshwa na ushoga wa wamagharibi?
 
Population ya china, india na Brazil ni robo tatu ya dunia na ndiko huko Russia anafanya biashara
Wewe mwehu kumbe hauna hata akili. Ukubwa WA soko sio Population. Ingelikuwa hivyo basi Tanzania Ingelikuwa na soko kubwa (Watu 61M) kuliko Israel (watu 7M). Licha ya India kuwa na watu 1300M lakini zaidi ya watu 900M ni makapuku ambao hawamdu milo 3 kwa siku. Sasa wewe hiyo biashara ya Urusi inayokwenda India anagawa Bure au?
 
Maswali:
1. Je, ni yapi matokeo ya uamuzi huu anao tegemea kufanya China ?

2. Je, zipi ni athari za misaada hii ya kisilaha wanayo toa haya mataifa makubwa kwa Russia na kwa Ukraine katika muelekeo wa vita ?

3. Je, tutegemee kuona vita hii ikichukua muda mrefu zaidi au muda mfupi kutoka sasa kutokana na misaada hii ya mataifa makubwa kwenda kwa Russia na Ukraine ?

4. Je, kuna nafasi yoyote ya matumizi ya mazungumzo ya amani katika kutamatisha mgogoro huu ?

5. Je, ipi ni hatima ya Ukraine na Russia kwa sasa na baada ya mgogoro huu kuisha

Madhara ni kwamba baraza la kudumu la usalama la Umoja wa Mataifa litagawanyika.
 
Back
Top Bottom