Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa, wacha tuupe muda nafasi.Ni Sawa tu,
Bado KK nayo itaipa Urusi silaha,Iran tayari.
Hii maana yake Kila mtu na maswahiba wake.
N ndivyo hata NATO wakiingiza majeshi kamili nao wachina watatia timu uwanjani,bila kumsahau kiduku na marafiki wengine.
Hatari sanaSafi sana .
China moja peke yake inaweza kuwakalisha ulaya wote.
Halafu Mzee mzima Russia anakula sahani moja na Marekani.
Sioni mahali Marekani atatokea.
Bado vichwa ngumu akina Korea Kaskazini na Iran wakifanya Yao.
Huku Urusi akiwatuliza maswahiba wake wa east akina Tajikisatan, Beralus, na wenzao.
The Collective Security Treaty Organization (CSTO) is an intergovernmental military alliance in Eurasia consisting of six post-Soviet states: Armenia, Belarus, Kazakhstan, Kyrgyzstan, Russia, and Tajikistan.
Wacha tuupe muda nafasi tuone kama hayo yatatokea hapo Ukraine.Kuna taarifa kuwa trh 24 mwezi huu wa 2 Dunia inaenda kushuhudia maajabu ya vita kati ya Ukraine na Russia. It means vita rasmi inaanza trh hiyo, kwa sasa ni trela tu. Let's wait.
Hawa China toka vita imeanza walisema watampa msaada Urusi lakini ikashindwa walipoona vikwazo vyaja wakaona bora yaisheTaarifa inasema kuwa China ina mpango wa kumpatia msaada wa kisilaha Russia dhidi ya Ukraine.
Taarifa:
- China is considering giving Russia weapons and ammunition for the Ukraine war, US secretary of state Anthony Blinken has said.
Mr Blinken told CBS News that Chinese companies were already providing "non-lethal support" to Russia- and new information suggested Beijing could provide" lethal support".
This escalation would mean"serious consequences " for China, he warned.
Taarifa zaidi pitia BBC News/CBS News
View attachment 2523878
Duh!..hii Vita inazidi kuchukua hatua mpya.Taarifa inasema kuwa China ina mpango wa kumpatia msaada wa kisilaha Russia dhidi ya Ukraine.
Taarifa:
- China is considering giving Russia weapons and ammunition for the Ukraine war, US secretary of state Anthony Blinken has said.
Mr Blinken told CBS News that Chinese companies were already providing "non-lethal support" to Russia- and new information suggested Beijing could provide" lethal support".
This escalation would mean"serious consequences " for China, he warned.
Taarifa zaidi pitia BBC News/CBS News
View attachment 2523878
Urusi anaihitaji sana China wakati huu hasa kupata nafuu ya vikwazo na silaha ikibidi.Kama nchi za Magharibi zimeamuwa kupigana vita ya mawakala na Urusi kupitia Ukraine basi washirika wa Urusi wana haki ya kumsaidia mshirika wao.
Kama china anamsaidia Urusi ndio mwisho wa china. Trust meKama hilo litafanikiwa Itakuwa Jambo Zuri na Jema
West Wanashirikiana Kutwa Kumuangusha Mrusi ili Upuuzi wao wakuifanya Dunia wanavyo taka Uendelee
Sasa Zamu ya Wanao Shirikiana na Urusi nao wakasaidia kama Wanavyo fanya West.
Lazima Watambue Zama zao Zinakwisha kama Mbwai na Iwe Mbwai
China Ulichelewa saana
Tuliza mzuka mkuu China alitaka kujaribu kabla akashindwa, kumbuka mshirika wa Urusi nchi 2 au 3 hivi wakati NATO ni zaidi ya mataifa 30 yenye nguvu duniani, China hawawezi ata kujamba, Taiwan tu imewatoa kamasi hadi sasa wanapita tu hukoo pembeni pembeniKama hilo litafanikiwa Itakuwa Jambo Zuri na Jema
West Wanashirikiana Kutwa Kumuangusha Mrusi ili Upuuzi wao wakuifanya Dunia wanavyo taka Uendelee
Sasa Zamu ya Wanao Shirikiana na Urusi nao wakasaidia kama Wanavyo fanya West
Lazima Watambue Zama zao Zinakwisha kama Mbwai na Iwe Mbwai
China Ulichelewa saana
China inaweza kuisaidia Urusi kupata nafuu ya vikwazo.Propaganda tupu. Silaha za kichina zitafanya nini? Urusi inahitaji FEDHA ili kuendeleza vita na wala sio Silaha. Urusi Ina Silaha nyingi Sana shida ipo kwenye mbinyo WA kiuchumi tu.
Kama unaikubali urusi sasa wanaomba silaha kutoka China na Iran kwisha habari yao, tuliambiwa ni superpower vita ata miaka 2 haijaisha wanakopa silahaNakikubali sana Russia na nchi zoooote ambazo ni Anti west
Hapana China masoko yote anaya taka Russia na West.japo kwenye silaha huenda isiwe rahisi, China bado wanahitaji soko lao huko Ulaya na Marekani kuliko la huko Urusi.
Una ufahamu mgogoro wa PRC na ROC kiundani ?Tuliza mzuka mkuu China alitaka kujaribu kabla akashindwa, kumbuka mshirika wa Urusi nchi 2 au 3 hivi wakati NATO ni zaidi ya mataifa 30 yenye nguvu duniani, China hawawezi ata kujamba, Taiwan tu imewatoa kamasi hadi sasa wanapita tu hukoo pembeni pembeni
Hapana China masoko yote anaya taka Russia na West.
Kwa sababu west ana nufaika na bidhaa zake za viwandani na uuzaji wa mafuta na gas huku Russia aki nufahika na bei ya discount ya mafuta na gas.
Hayo mafuta na gas hayapo Urusi pekee, hata Africa na Uarabuni yapo ya kutosha.Hapana China masoko yote anaya taka Russia na West.
Kwa sababu west ana nufaika na bidhaa zake za viwandani na uuzaji wa mafuta na gas huku Russia aki nufahika na bei ya discount ya mafuta na gas.
Mafuta na gesi kwa sasa Russia anauza kwa nchi rafiki kwa punguzo kubwa la bei hivyo China ambae ni nchi rafiki kwa Russia hawezi kuacha kununua, uki zingatia ukaribu zaidi kati ya China na Russia tofauti na Africa na Middle East.Hayo mafuta na gas hayapo Urusi pekee, hata Africa na Uarabuni yapo ya kutosha.
Ila soko kubwa kwake ni ulaya na Marekani