China kuipatia silaha Russia dhidi ya Ukraine

China kuipatia silaha Russia dhidi ya Ukraine

Madhara ni kwamba baraza la kudumu la usalama la Umoja wa Mataifa litagawanyika.
Ni lini Baraza LA Usalama LA umoja WA mataifa lilishawahi kuwa kitu kimoja? Balaza hilo Lina wanachama 5 WA kudumu:
1.Marekani
2.China
3.Uingereza
4.Ufaransa
5.Urusi.

Balaza hilo limegawanyika sehemu 2 kimlengo na kula zao zinagawanyika hivyo. Urusi na Uchina wao Lao moja huku Marekani, Uingereza na Ufaransa Lao likiwa moja.
 
Hao wanaopanga bei ndio wanaoumia zaidi, Russia hauzi mafuta kwa njaa. Mbona alishawaambia nchi zote vimbelembele wasahau kupelekewa mafuta na Russia

lakini bado anapeleka kwa hao vimbelembele tena kwa bei za kimachinga. bado hajafanya usitishaji rasmi hadi sasa.
maana hata hao china na india wanamikataba ya kusambaziwa mafuta na Opec.
na russia hawez kushindana kunyanganyana masoko na opec maana baba yao wa opec saudia na opec nzima wanabackup ya magharibi.

sasa hivi hadi pension ya wastaafu wa russia inaenda vitani. wazee wastaafu wanakopwa hadi wanasema hiki nini.
 
nchi zote ambazo ni Ant-west si salama kwa sasa kuzitembelea isipokua China peke ake wakati huo nchi za magharibi ni bata tu.
kaz yao ni nchi za magharibi ni kuangalia nani kivuruge tumminye mbupu atulie.
🤣🤣🤣🤣🤣Kuna kivuruge hapo KIDUKU, mnakwendaga na mimeli na mindege, mkifika mnapitiliza mkijifanya hamjamuona.
 
Kama nchi za Magharibi zimeamuwa kupigana vita ya mawakala na Urusi kupitia Ukraine basi washirika wa Urusi wana haki ya kumsaidia mshirika wao.
Tuliaminishwa Russia ana silaha nyingi sana. Leo anapatiwa msaada na China?
USA ana akili sana. Wao wanafikiri wanapigana vita na USA na washirika wake kumbe, USA hayupo. Ukraine ndiyo anaumia.
Hii vita inatumia akili nyingi sana kuliko nguvu. Putin na China watajikuta wanatumia nguvu nyingi sana na mwisho wa siku watapigana vita miaka 20 na haishi na kujikuta wamepoteza fedha nyingi sana kwenye jambo lisilo na faida.
Russia mpk sasa hivi bado anakomaa na Ukraine na bado anaonekana hajafaulu kuipiga Ukraine.
 
🤣🤣🤣🤣🤣Kuna kivuruge hapo KIDUKU, mnakwendaga na mimeli na mindege, mkifika mnapitiliza mkijifanya hamjamuona.
Akili za USA ni tofauti na za Putin. USA ana akili nyingi sana, hawa USA hakuna nchi itakayoishusha kuwa super power.
Nchi za Capitalist kama Marekani zinachukulia vita ni biashara. Km biashara hailipi kwanini waingie kwenye vita?
Apigane vita na kiduku achukue nini hapo? Hata ningekuwa raisi wa USA siwezi kufanya hivyo.
USA anamsaidia Ukraine ili azidi kumdhoofisha Russia kiuchumi maana atapigana vita muda mrefu na bajeti ya vita ya urusi itakuwa kubwa. Akijaa na China ndiyo atakwisha. Hela nyingi atakuwa anapoteza kwenye vita.
Za chini chini, USA anauza Silaha kwa Ukraine, Poland na nchi zingine ambazo zina mashaka kuvamiwa na USA.
USA anapiga hela
 
Safi sana .
China moja peke yake inaweza kuwakalisha ulaya wote.
Halafu Mzee mzima Russia anakula sahani moja na Marekani.
Sioni mahali Marekani atatokea.
Bado vichwa ngumu akina Korea Kaskazini na Iran wakifanya Yao.
Huku Urusi akiwatuliza maswahiba wake wa east akina Tajikisatan, Beralus, na wenzao.

The Collective Security Treaty Organization (CSTO) is an intergovernmental military alliance in Eurasia consisting of six post-Soviet states: Armenia, Belarus, Kazakhstan, Kyrgyzstan, Russia, and Tajikistan.
CSTO haina maana kwenye vita kubwa, kwanza Azerbaijan pekee imeitandika Armenia na hiyo CSTO hamna kitu imefanya. Na Russia ilikuwa na base hapo Armenia.

China kama haitaki kupigana kwa ajili ya Taiwan yake unaanzaje kuamini iko tiyari kupigana kwa ajili ya Putin.
Urusi ameishindwa Ukraine kwa mwaka mzima unaanzaje kusema ataiweza Marekani.
 
Akili za USA ni tofauti na za Putin. USA ana akili nyingi sana, hawa USA hakuna nchi itakayoishusha kuwa super power.
Nchi za Capitalist kama Marekani zinachukulia vita ni biashara. Km biashara hailipi kwanini waingie kwenye vita?
Apigane vita na kiduku achukue nini hapo? Hata ningekuwa raisi wa USA siwezi kufanya hivyo.
USA anamsaidia Ukraine ili azidi kumdhoofisha Russia kiuchumi maana atapigana vita muda mrefu na bajeti ya vita ya urusi itakuwa kubwa. Akijaa na China ndiyo atakwisha. Hela nyingi atakuwa anapoteza kwenye vita.
Za chini chini, USA anauza Silaha kwa Ukraine, Poland na nchi zingine ambazo zina mashaka kuvamiwa na USA.
USA anapiga hela
Sema hivi, USA amemkuta KIDUKU sio mbwa koko, ukibweka naye anabweka tena mara mbili yako
 
Sema hivi, USA amemkuta KIDUKU sio mbwa koko, ukibweka naye anabweka tena mara mbili yako
Wala siyo mbwa koko. USA mipango yao ni kuitawala dunia. Unalijua hilo?
Anafanya kila njia ajipatie mali na ajilinde kiuchumi na silaha. Kwahiyo vita vya kipuuzi puuzi hawezi kupigana. Anaangalia palipo na mali na kama hakuna faida anakimbia mfano hai Afghanistan, Vietnam, Iraq na Iran.
Marekani mfumo wao wa uongozi, katiba na sheria upo imara. Unapomuona Biden ujue kuna jopo la watu wengi wenye nguvu wanamuongoza. Hata Biden akifa mipango yao ipo palepale.
Ukija kwenye nchi zingine wanategemea mawazo ya mtu mmoja mfano hai Putin. Kwahiyo mtu mmoja kwa hisia au mahaba yake anajikuta anaiongoza nchi kwahiyo akifa mambo mengi yanakwama. Raisi anaongoza miaka 20+ huyo raisi dikiteta?
Tangu 1914 USA ilipokuwa Super Power mpk wa leo, maraisi wengi wamepita lkn still USA ipo imara.
 
China hana muda huo . China anapambana kutengeneza uchumi wake na si kutumia fedha zake kutengeneza maadui. Russia kajichanganya, asitegemee msaada toka China.
 
Wala siyo mbwa koko. USA mipango yao ni kuitawala dunia. Unalijua hilo?
Anafanya kila njia ajipatie mali na ajilinde kiuchumi na silaha. Kwahiyo vita vya kipuuzi puuzi hawezi kupigana. Anaangalia palipo na mali na kama hakuna faida anakimbia mfano hai Afghanistan, Vietnam, Iraq na Iran.
Marekani mfumo wao wa uongozi, katiba na sheria upo imara. Unapomuona Biden ujue kuna jopo la watu wengi wenye nguvu wanamuongoza. Hata Biden akifa mipango yao ipo palepale.
Ukija kwenye nchi zingine wanategemea mawazo ya mtu mmoja mfano hai Putin. Kwahiyo mtu mmoja kwa hisia au mahaba yake anajikuta anaiongoza nchi kwahiyo akifa mambo mengi yanakwama. Raisi anaongoza miaka 20+ huyo raisi dikiteta?
Tangu 1914 USA ilipokuwa Super Power mpk wa leo, maraisi wengi wamepita lkn still USA ipo imara.
Matakwa ya Putin leo ndio sheria huko Russia. Si itakuwaje akifa leo hii!?
 
China hana muda huo . China anapambana kutengeneza uchumi wake na si kutumia fedha zake kutengeneza maadui. Russia kajichanganya, asitegemee msaada toka China.
Katika nchi ambayo nayo ipo mstari wa mbele kuiba mali mbali na USA ni China.
  • China anatengeneza kila aina ya takataka (simu, computer, TV n.k) ambazo hazina ubora analeta Afrika. Anajipatia hela. Kuna bidhaa ukiona unaweza kujiuliza hii imeingiaje?
  • Anapotengeneza barabara anaiba dhahabu au almasi
  • Mikopo yao imekaa kijizi sana. Sri Lanka walikopa wakashindwa kulipa wakachukuliwa bandari kwa miaka 100 ilikurudisha
  • Pale Congo, China anaiba sana.
Watu wanafikri China na Urusi ni mkombozi wa dunia. Hao ni wezi wote.
 
Wala siyo mbwa koko. USA mipango yao ni kuitawala dunia. Unalijua hilo?
Anafanya kila njia ajipatie mali na ajilinde kiuchumi na silaha. Kwahiyo vita vya kipuuzi puuzi hawezi kupigana. Anaangalia palipo na mali na kama hakuna faida anakimbia mfano hai Afghanistan, Vietnam, Iraq na Iran.
Marekani mfumo wao wa uongozi, katiba na sheria upo imara. Unapomuona Biden ujue kuna jopo la watu wengi wenye nguvu wanamuongoza. Hata Biden akifa mipango yao ipo palepale.
Ukija kwenye nchi zingine wanategemea mawazo ya mtu mmoja mfano hai Putin. Kwahiyo mtu mmoja kwa hisia au mahaba yake anajikuta anaiongoza nchi kwahiyo akifa mambo mengi yanakwama. Raisi anaongoza miaka 20+ huyo raisi dikiteta?
Tangu 1914 USA ilipokuwa Super Power mpk wa leo, maraisi wengi wamepita lkn still USA ipo imara.
Samahani lakini, UNA MIAKA MINGAPI? namaanisha umri au UNA ELIMU GANI?
 
China hana muda huo . China anapambana kutengeneza uchumi wake na si kutumia fedha zake kutengeneza maadui. Russia kajichanganya, asitegemee msaada toka China.
Sawa
 
Katika nchi ambayo nayo ipo mstari wa mbele kuiba mali mbali na USA ni China.
  • China anatengeneza kila aina ya takataka (simu, computer, TV n.k) ambazo hazina ubora analeta Afrika. Anajipatia hela. Kuna bidhaa ukiona unaweza kujiuliza hii imeingiaje?
  • Anapotengeneza barabara anaiba dhahabu au almasi
  • Mikopo yao imekaa kijizi sana. Sri Lanka walikopa wakashindwa kulipa wakachukuliwa bandari kwa miaka 100 ilikurudisha
  • Pale Congo, China anaiba sana.
Watu wanafikri China na Urusi ni mkombozi wa dunia. Hao ni wezi wote.
taarifa zako hazina ukweli wowote
 
Back
Top Bottom