Heheheh sasa hao majirani zao sindio NATO. Wewe silaha combined za nchi 30 utafananisha na silaha za nchi 5?
All in all NATO watapigwa kama ngoma. Mi nataka wamuanzishie Mrusi kwamba vita inakuwa rasmi halafu tuone show.
Mkuu vita kamili urusi ameshindwa mwenyewe
*Putini alisema nchi yoyote itakayoisaidia Ukrean ama kuingia au kuwasaidia kwa silaha yeye angetumia nuclear kuelekeza mashambulizi kwenye hizo nchi lakini Austin waziri wa mambo ya ndani ya Marekani alimjibu kwamba sisi Marekani tunaisaidia Ukraine usiku na mchana na tutahikikisha Ukrean inakuwa huru na mipaka yake yote na unaona toka vita imeanza urusi alipovamia Kyiv Marekani ndio walimtoa adui Kyiv.
*Putin alisema Ukraine ikijaribu tu kujiunga na ulaya basi atapiga nuclear katikati ya kitovu cha nchi za ulaya lakini kama unafuatilia Ukrean wamefanyama maombi ya kujiunga na ulaya mchana kweupe jua linangaa lakini kama haitoshi karibuni walipeleka rasmi maombi ya Nato.
*Putin pia alisema nchi za Finland na Sweden wakijaribu kupeleka maombi kujiunga na Nato pia angeshambulia kitovu cha nchi za Ulaya lakini maombi yalifanyika kwa uwazi zaidi lakini Urusi haijafanya chochote.
*Kama vile China aliposema kiongozi wa Marekani Pelosi akijaribu kwenda Taiwan ataishambulia Taiwan lakini yule mama alienda mchana kweupe kwa Air Force One ya Marekani na akaweka mkutano wa wazi zaidi China hakufanya chochote.
Na mengi yamefanyika ambayo Putin aliweka ndaro ataanzisha vita kamili lakini ameshindwa
*Pia Putin alisema endapo Ukrain watashambulia majimbo aliyoyapigia kura kuyapeleka urusi atakuwa ameshambuliwa Urusi na sasa atajibu kwa nuclear lakini kama unavyoona jimbo lile Kherson limerudi Ukraine putin hana nuclear wa mavi yoyote.
Sasa US na magharibi wamejua udhaifu wa Putin kwa nyanja zote wananfanya wanavyotaka, Biden juzi kaenda kutembelea Kyiv kwa mbwembwe zote, mkuu US ni taifa baya sana kwa technologia na wale jamaa kwenye hii vita wanatumai science sana kumdhoofisha Putin, Putin hakuwa calculation nzuri kuivamia Ukrean kwa sababu waliomshawishi walirudi nyuma sana walimuacha mkono sasa urusi inakufa peke yake.
China na India nchi ambazo zinapata msaada sana kutoka US kuanzia wataalamu wa kiuchumi, viwanda, silaha lakini na kila kitu ndio maana China akijaribu kutaka kujiengua na US huwa anashindwa, Marekani aliitawala dunia muda mrefu sana ni shida sana taifa kama Marekani kulipigia mahesabu ya kuliangusha kama alivyojaribu putin