Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pesa wameibia kila mfanyabiashara bado hazitoshi, sasa wameona wahamie kwa tapeli la Kichina.Kwa hiyo hatujengi kwa pesa zetu za ndani tena?
Mkuu sasa hivi naamini SGR itakamilika baada ya fedha za ndani kushindwa kufua dafu na mchina kuamua kuingilia kati!Acha wivu, mlisema mambo yatakwama na Sgr na JNHEP haitakamilika.
Wachina twende nao kwa umakini mkubwa sidhani kama wana dini hawa!
Mnazo hizo za ndani?Kwa hiyo hatujengi kwa pesa zetu za ndani tena?
Kumbe fedha za ndani hutoka China![emoji124][emoji124][emoji124]
Hahaha ni majibu ya hisia za mtu mshindwa mmoja kutoka Ufipa!Mkuu sasa hivi naamini SGR itakamilika baada ya fedha za ndani kushindwa kufua dafu na mchina kuamua kuingilia kati!
Kwani si tunaambiwa tunajenga kwa fedha zetu wenyewe..!!?? I mean fedha za ndani..!?? AU tumeshakwama tayari..!!??
Ni mashangazi?😩😩😩Eeeh wachina ni ndugu zetu wa damu
Yakupasa kuwa na akili nyingi sana kuelewa kinachoendelea Tanzania kwa sasa, au ni mimi tu nisiyeelewa?CHINA siyo mabeberu kwa mujibu wa MATAGA.
Na fedha toka china "NI ZETU ZA NDANI" kwa mujibu wa MATAGA...
Hili sharti lina ugumu gani mkuu? Mbona ni kama fursa nzuri sana.Sharti kubwa laweza kuwa ni kuuza nyama ya punda na mbwa.
Sidhani.Yajayo yatafurahisha.
Kwani wewe umejua vipi kuwa ile kupigiana simu haikuwa ni official tu?Inawezekana walishasimuliana huko jinsi fedha za ndani zilivyoshindwa kufua dafu na jana wakakubaliana kuwa wapigiane simu officially kuweka mambo hadharani!Hahaaa!! Ni majibu ya hisia za mtu mshindwa mmoja kutoka Ufipa!!
Kwani China alijua saa ngapi kwamba tumeshindwa kujenga huo mradi wa umeme ndipo akampigia cm Raisi JPM
Kwani hujasikia kwamba sisi ni dona kantri? 😀 😀 😀Mnazo hizo za ndani?
Hatuna jinsi Mkuu.Wachina twende nao kwa umakini mkubwa sidhani kama wana dini hawa!
Aliyekuwa anatuaminisha kila kukicha kwamba tunajenga kwa fedha za ndani anajuwa kuwa tunazo.Mnazo hizo za ndani?