China na Russia kamwe hawawezi kutumia hiyo chanjo ya mRNA ya kampuni ya Pfizer (Billgate) na BioNTech (Mjerumani): Kwa nini Afrika tulazimishwe?

Hakuna nchi yoyote iliyolazimishwa kutumia chanjo moja, nchi nyingi zina mpaka chanjo tatu zinatumiwa leo tu nimesoma UAE wamepitisha chanjo nyingine ya India. na ziko nchi wanatumia za Russia. China chanjo yao imepitishwa nchi nyingi tu hata hapa tutaishia China na India.
 
Acha ujinga Corona ilipungua kwao kwa sababu June July, August ni summer, imeongezeka kipindi hiki kwa sababu ni winter
Corona imepiga nchi za joto kama za Kiarabu ambazo zinajoto balaa na corona iliwapiga mwaka mzima.
 
Si mtengeneze yenu! China wanatengeneza yao na Russia pia wanatengeneza yao. Tanzania si mmetengeneza nyungu. Nyie pambaneni na nyungu yenu
 
Kwani mmekatazwa? Huwa nashangaa sana when the educated become so easily consumed by conspiracy theorists
Sijasema tumekatazwa bali kwa sasa hivi hatuna mpango huo.
 
Hata India wanayo ya kwao na wanawachanja watu wao! Irani ameagiza dozi kutoka China na Rwanda ameagiza kutok USA.... Sasa shida nini! Mleta mada ni kichaaa
Wewe ni mbumbumbu. Chanjo ya India ni ya Oxford/AstraZeneca waliotengeneza viwanda vyao huko wakitambua population ya India ni 1.3 billion people, hivyo soko ni kubwa. Rwanda hawawezi kuagiza chanjo ya USA kwani hawana uwezo wa kuitunza. Inahitaji majokofu ya minus 94 degrees F.
 
Sifa na kuabudu kama kawa
 
Mpuuzi wa mwisho wewe, Niko Rwanda usibishe ujinga!
 
Soma vizuri nilichoandika kuhusu masharti ya uvaaji barakoa na PPEs iliziweze kukukinga angalao kwa hiyo asilimia niliyoitaja. Usipotimiza hayo masharti hizo barakoa na PPEs zinageuka kuwa ni chanzo (reserveur) ya maambukizi na usambaaji wa hivi virusi. Unapaswa kuzibadili (dispose) kila baada ya saa moja. Maana yake ni shillingi zisizopungua elfu tatu kila saa. Nani mwenye uwezo wa kufanya hivyo hapa Tanzania? Halafu barakoa ukishaivaa haitakiwi kuwa unaikamata kamata na ndiyo maana watoto wadogo hawapaswi kuvyalishwa barakoa kwani zitawaambukiza corona badala ya kuwakinga. Halafu mijitu kama nyie utakuta limevaa barakoa lakini pua yake iko nje. Hii ni sawa na kuvaa chupi lakini nyeti zako ziko nje ya chupi! Unategemea hiyo chupi imesitiri kitu gani hapo kama nyeti zimeachwa nje?
 
Acha kupotosha mkuu!hakuna nchi iliyolazimishwa kununua hizo chanjo za wazungu, mbona algeria wameagiza chanjo za kutoka china??wengine wameagiza kutoka RUSSIA!!Mambo mengine jamani wala hayahitaji propaganda, na mimi nakwambia hizo chanjo haziepukiki, hasa kwa wale wasafiri safiri!!bora hata mkulima kijiji!!
 
Mpuuzi wa mwisho wewe, Niko Rwanda usibishe ujinga!
Hata mimi niko Rwanda acha ujinga. Chanjo za covid zinazoletwa Africa kwa mpango wa WHO unaoitwa COVAX ni za kampuni ya AstraZeneca zilizotengenezwa kutokana na attenuated live chimpanzee adenovirus kwa utalaam wa Oxford University ya UK. Hizi zinatumia jokofu la kawaida kama chanjo zingine na zinaweza kutunzwa kwa miezi 6 kwenye hizo cold chain zetu za chanjo. Hizi ndizo wanatumia South Africa, India, Ulaya na kwingineko duniani ukiacha USA, China na Russia. Rwanda hamuna uwezo wa kuzitunza chanjo hizo za USA kwenye hizo -94 degrees F hadi kwa mchanjwaji huko vijijini. Achilia mbali hiyo cost ya USD 33 per dose ikilinganishwa na USD 4 per dose ya AstraZeneca. Achilia mbali uwezo wa wanasayansi wenu kutokuwa nayo ku verify hizo genetical instructions zilizobebwa na hao messenger RNA!

Mimi ni scientist mbobezi, ninajaribu kuwaelimisha kuhusu ugonjwa huu, wewe unaleta ujinga wako wakati hujui cho chote kuhusu sayansi hii. Jukwaa la Jf pia ni la kuelimisha jamii ya watanzania. Wewe wa Rwanda usitake kutuvuruga. Au kuna waliokutuma? Nyie huko endeleeni kuwekwa lockdown na kuchanjwa madawa msiyoyajua na kuvalishwa barakoa zilizobebeshwa corona na hao mabepari ili muweze kukopeshwa tu USD. Umeniudhi sana, ninamwomba rafiki wa taifa letu Mh. Paul Kagame anisamehe kwa kusema haya niliyoyasema. Na uwezekano ni mkubwa kuwa hili linalojiita Shift ni jitu la hapa hapa ufipa linalotafuta kick ya kisiasa kwenye kila jambo.
 
Kwani (kwa Mujibu wa Mleta mada) kuna tatizo Tanzania ikiamua kununua chanjo za Urusi au China!? Zenye teknolojia ambayo tunaweza kui-decode na kujua kilichomo!? Kuliko hizi mpya za Kimarekani!

BTW... Chanjo si ipo!? Unadol
kwamba urusi na china watakupa patent ya kufanya hiyo kitu ? vinalindwa na hati miliki.

Hizo za urusi na china zenyewe pia ni mpya.
hazikuwepo before.
 
kwanza kaka umechanganya mafile Jwtz military intelligence inafanya kazi nyingine kabisa.
hawahusiani na biological warfare
kuna kitengo maalumu kipo japo hakina makali.
 
brother uko attentive to details. na hizi ni latest details.
 

Ziagizwe za Iran, China, urusi na USA... Ziwekwe ktk maduka ya dawa ya hospital mgonjwa awe huru kuchagua, kulipia dawa na huduma zingine... Kwa hiyari Yao...
 
kwamba urusi na china watakupa patent ya kufanya hiyo kitu ? vinalindwa na hati miliki.

Hizo za urusi na china zenyewe pia ni mpya.
hazikuwepo before.
Uchina ndiyo magwiji wa coronaviruses. Pandemic ya kwanza ya cov -1 aka sars covid-1 ya mwaka 2012 ilianzia China. Na pandemic hii ya sars- cov-2 ilianzia China mwaka 2020. Chanjo dhidi ya covid-19 ya China imeanza kutumika Julai 2020 na wachina wameweza kuidhibiti corona kwa kiwango kikubwa. Hizi chanjo za USA na Ulaya zimeanza mwezi January 2021 kwa kelele kibao. Hawamfikii mchina katika fani hii ya coronaviruses. Mchina ndiyo mwalimu wao!
 
Magufuli kasema hataki chanjo zozote kutoka nje. Mpaka sasa kuna chanjo kutoka USA, UK, Germany, Russia, China, India nk. Sasa kuja hapa kuipigia debe chanjo ya China na Russia huku ukiziponda chanjo za USA na ulaya chini ya mwavuli wa kauli ya Magufuli, sisi tunakushangaa.
 
Kumbuka tu, China na Russia hawataki hata kutumia Facebook na Whatsapp, wana mitandao yao tofauti kabisa.

Kuwafuata hao watu inahitaji akili fulani za kiuwendawazimu.
 
kuna tofauti kubwa kati ya kuwa ground zero na kuwa na dawa.
mfano. ground zero ya ebola virus ni congo river. congo ni magwiji wa kutengeneza chanjo ya ebola nope?
sars outbreak ilitokea Nov 2002 to may 19 2004.
location: foshan,china.

sars cov-1 simply ilitoweka na waliweza kwa kuwela karantini na isolation mapema. so ugonjwa haukuvuka pande zingine za dunia.

kwanza sars cov-2 ilianza 2019 wuhan china.

unasema china ndio walikuwa wakwanza kutengeneza chanjooo ? nope

30 dec 2020 china ilitangaza jaribia la tatu limeonyesha 79% ya mafanikio.

in 13 jan 2021 brazil ilisitisha matumizi ya chanjo ya china baada ya kugundua kuwa ina 50% capability na si 79% kama china ilivyotangaza before.


so hao magwiji wa corona virus wanashindwaje kuwa na chanjo isiyo aminika?
why hawakutengeneza chanjo effective 100%?

kisa ugonjwa umeanzia kwako.. haimaanishi ww ndio gwiji la madawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…