inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Una uhakika safari ya masaa mawili kwa bullet train wataitumia hiyo ya 1000km?Kuna safari zilikuwa zina tumia masaa mpaka 5 na zaidi kwa hi hi bullet train iliyopo sasa ili safari zitapungua masaa mpaka 2 na zile safari za masaa mawili zitakuwa dakika kadhaa China ni nchi kubwa sana
Na ndio maana wanataka itumike kuunganish majijDar-mwanza saa moja!!..hii ni train ya Masafa marefu
Scientist and engineer think of hyperdonic speed train, airplane,car nk. Watakaoishi miaka 100 ijayo watashuhudia vyote.Speed kubwa sana hiyo lakini bado haita tosha itaongezwa tena kadiri muda unavyozidi songa
Wazo zuri sana kama likizingatiwa kwa umakini na uwajibikaji wa hali ya juu ukawepo pamoja na usimamizi uliobora wa huo mradi ili uzae matunda boraMisri to SA kama masaa 7. Waaafrika wajiunge nchi zote ijengwe kutoka kaskazini hadi kusini halafu kuwe na dirvesion ya East Africa na West Africa. Nchi zitaendelea haraka sana.
Weka video mkuuA Chinese research team has successfully completed the country's first full-size superconducting test run for an ultra-high-speed magnetic levitation (maglev) train, which, once completed, will be capable of running at a whopping 1,000 kilometers per hour under ideal conditions.
Developed by the China Aerospace Science and Industry Corporation Limited (CASIC), the maglev train aims to carry passengers and cargo at a speed of 1,000km/h or faster in a low-vacuum tube. It is expected to be used for commuting between mega city clusters in the future.
A superconducting maglev test line has been built in Datong City, north China's Shanxi Province.
The experiment preliminarily verified the scientific rationality of the overall design, said Li Ping, a member of the project at CASIC, at a science popularization exhibition held in Beijing on Sunday.
Li said that more experiments will be conducted to reach the maximum speed and to verify the entire system's reliability, adding that the research team has tested a 623km/h speed under non-vacuum conditions previously.
China currently operates its high-speed bullet trains at a maximum speed of 350km/hView attachment 2598335
Wale wanaopanda saibaba kobe wanatapika1000km/hr figo lazima zihame
Mobilization of resources Africa yetu ipo very poor, lakini mradi kana huo unawezekana hata kwa mikataba ya muda mrefu. Tuna mali nyingi sana Africa.Wazo zuri sana kama likizingatiwa kwa umakini na uwajibikaji wa hali ya juu ukawepo pamoja na usimamizi uliobora wa huo mradi ili uzae matunda bora
Ata ukitoka mbezi unakuwa aujafika posta tayari mtu yupo moro dah kwel sio poaMwanza to Mtwara 1,700 km
Itatumia almost saa 1 na Nusu tu.
Dar to Moro 195 km
Itatumia dakika 15 tu
*At it's full speed.
Mobilization of resources Africa yetu ipo very poor, lakini mradi kana huo unawezekana hata kwa mikataba ya muda mrefu. Tuna mali nyingi sana Africa🤔
Africa wasiojielewa hawakawii kuibomoa maana kuna nchi majenerali wakichefukwa tu wanafyetua mizingaa..Misri to SA kama masaa 7. Waaafrika wajiunge nchi zote ijengwe kutoka kaskazini hadi kusini halafu kuwe na dirvesion ya East Africa na West Africa. Nchi zitaendelea haraka sana.
Kuiba technology sio dhambiKuna watu watasema mchina mwiz wa teknolojia
hakuna cha muda uchumi sijui nini binadamu tumejaa vurumai nyingi sasa hio speed kubwa hivo hao waliomo huko ndani si watatoka kila kiungo cha mwili kimehama eneo lakeMuda ni uchumi, lengo ni kupunguza masaa ya kusafirisha abiria na mizingo ili kuchochea zaidi ukuaji wa kasi wa uchumi pia maisha bora ni jambo la msingi
Unajua ukubwa wa china mkuu au unasrma tuSpidi hiyo sijui wanataka kuwahi wapi!?...