China yaiomba Marekani kutimiza wajibu wake kwa WHO

China yaiomba Marekani kutimiza wajibu wake kwa WHO

Niteseke na mashia dhaifu ambayo hayana mchango wowote na ulimwengu huu, huyo ahmedinejad wako ili ujui alichokuwa anafanya ni upumbafu kilimtokea nini alipojaribu kugombea tena! Nyie mashia ni adui wa uislam na dunia.

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]Kwani kugombea tena nakushindwa na kukubali kushindwa sindio sehemu ya demokrasia ama ulitaka akishindwa agome[emoji12][emoji14]

TEHRAN Wanasiasa Safi Demorasia Iliokomaa Ndio Maana Hawayumbishwi

Kuhusiana nasuala lakuchukiwa ama kuwa maadui wa uislam ni watajijua wenyewe na maamuzi walo amua kuchukia wakishakua hawapelekeshwi nawale wanaodhamini mashoga Kina US Wanakua Maswahiba Zangu


Hata KOREA KASKAZINI Mnaichukia Sababu Ni Maadui wa Ukristo Ila Nawaelewa Sana Sababu Hawapelekeshwi nawale Wafadhili wanao wafadhili Makhanithi.

Sent using My COVID-19
 
watu wanajifanya kushabikia jamaa kujitoa kwa mashirika husika kishabiki bila kuelewa kama athari hasi zita mrejelea anaejitoa soon or later maana anawatengenezea watu mazingira yakuona kumbe wao wanaweza ishi bila fulaniWanadhani kua super power nilele mama[emoji16][emoji38]

Natamani ajitoe namashirika yote anayo fund mpunga mrefu yeye ili dunia ipate kua na usawa

Sent using My COVID-19

Naona wapokea "misaada" tunamtishia mtoa misaada.

Kweli sisi "maskini jeuri"
 
Basi ndio nlikua nataka uelewe yakwamba hata hili suala la WHO na UCHINA Nihila Zake Zakipuuzi Ambazo Zinaenda Kupunguza Nguvu Na Uwezo Wa US Ulimwenguni

Sababu kuna mataifa yatakosa Misaada Ya WHO Yatatafta Njia Mbadala Yahio Misaada Yakiipata Yatakua Hayamuogopi Tena US Kupitia WHO

Kama sasa hawamuogopi Kupitia UNESCO Kupitia ICC Kupitia Ule Mkataba Wahali Yahewa


US Wanajikaanga Kwamafta Yao Wenyewe .....

Sent using My COVID-19

Bwana Utam, naomba nikueleweshe kidogo

Naona una hoja nzuri isipokuwa kuna mtazamo fulani unatufanya wengi tudeduce kwamba una chuki bsaaana na US kiasi kwamba baadhi ya vitu unajimislead mwenyewe.

Kwamfano, unaizungumzia sana ICC, mbona US sio signatory wa convention ya ICC ? Lakini bado unamlaumu??
 
Yah kwanza hakuna sehemu nimesema hili jambo ninalazima nahili suala lakua sio lazima nalielewa sana sana sanaIla ishu nikwamba ukiwa na uwezo wakuchangia pesa kwahiari yako na ukawa na uwezo wakuwasaidia watu (mataifa)unayafanya yale mataifa yawe na respect kwako sababu wanajua Nikifanya Jambo Hili Ambalo US halipendi Ntakosa Msaada Ama Ntakosa Kitu Flan Nandio Maana unakuta Kupitia Hayo Mashirika US Ndio Taifa Linalo Ongoza Kuwaekea Viongozi ama nchi nyengine vikwazo mbali mbali

Kwamfano Kama SAUDIA Unajua kwanini hawez kutoa kauli inayopingana na US Kwasababu anategemea mengi sana kutoka US Ulinzi misaada nakadhalika mfano itokee US Kakata Misaada Na UCHINA Akaenda Akaendeleza Ambavyo US Kaacha Kuvifanya Kwadaudia Unahisi Heshma Itaenda Kwanani ?!

Mfano Sasa hv Dunia inamlaumu mno UCHINA Wengne wanasema anafund Madikteta Kwanini Kwasababu US Akiwanyima Kile wanataka Toka Kwao US Anaenda Anaongezea

Suala La UCHINA Kuchangia Kama hapo uliposema nisahihi sana ila UCHINA Anahaki Yakusema Hachangii Kama wanavyochangia US Kwasababu Hatoi Misaada Ama Michango Mikubwa Kwenye Hizo Taasisi Zakimataifa

Kwahio anachokifanya UCHINA Anajifanya Anatoa Pesa Ambazo Nimsaada wayeye kama Yeye Sio Kupitia Taasisi Flan Nandio Maana Kama utafatilia Misada Ya UCHINA Inakua kwahisani ya Watu wa UCHINA Sio watu flan kupitia tasisi flan kama ilivyo US kupitia USAIDS Namengineyo

Nandio maana unakutia UCHINA Kazipita Sana Nchi Ambazo Miaka Kadhaa Zilikua mbele Kiushawishi eg:UK,FRANCE n.k Sasa hv Nchi Zenye Ushawishi Ulimwenguni ukiachana na US Nafuata CHINA Nakuna Baadhi Kwenye Mataifa Nafasi Ya US yamiaka kumi Ishirini Mbele Haipo Tena

Sent using My COVID-19

Yeah, huo ni mtazamo wako, ninauheshimu, lakini facts hazipo hivyo
Mashirika ya welfare yote hayakuanzishwa na US isipokuwa ni convention ambayo wanachama walichagua kuwa signatory na kuyatambua au lah. Na nchi yoyote isiyoridhika na utendaji au conventions za hayo mashirika inaweza kujiondoa, mfano mzuri korea (DPRK, ilijiondoa kwenye nuclear conventions ili itengeneze)

Sasa, misaada ya US haizuii maendeleo ya nchi yoyote. Kama ndivyo, nchi nyingi zingechagua kujiondoa ili ziendelee. Kujiondoa kwa US ni fursa kwa nchi nyingine "kutinisha misuli" kuziba hilo pengo au kuchangamkia hiyo fursa unayoidhani US ilikuwa ina enjoy. Kwahiyo, CHINA aichangamkie ili imnufaishe basi, ila kwasababu haiko hivyo, ndo unawaona hao WACHINA wanaanza kurudi nyuma na kuilaumu . HAKUNA ANACHOPATA US HAPO.
 
Wala sina chuki nao na kama kukosea labda niwe nimekosea kuchanganya ICC na Ipo Mahakama Moja Hapa Majuzi Ilowatangaza Wanajeshi wa US kama Watenda Jinai Kule Afghanistan na Nakumbuka Ni ile ile ICC Kama Sijakosea Muendeshaji wake MKUU Kuna Kipindi Alikua Ni Fatu Bensouda(kama nimekosea jina nirekebishwe)

Nanimelitaja hili la ICC kwasababu Yes Najua US Sio Mwanachama wa ICC Ila Alikua Anapigia Sana Kampeni Viongozi Wanaotakiwa Namahakama Husika Wafikishwe Katika Hio Mahakama Haliyakua Yeye Anaepigia Kelele Sio Mwanachama Nakumbuka Kuna Mwaka Albashir Aliekua Rais Wa SUDAN Alikuja Akatembelea Mataifa Kadhaa Nawakati Huo Huo ICC ilikua Ishatoa Kibali ALBASHIR Akamatwe Ila Yale Mataifa Husika Hayakumkamata Miongoni Mwamataifa Alotembelea Nakumbuka Ilikua AFRIKA KUSINI na UGANDA (UGANDA Sina uhakika ila AFRIKA KUSINI UHAKIKA ALITEMBELEA)Miongoni Mwamataifa Yalopiga kelele kwanini AL BASHIR Hajakamatwa Alikuemo US Sasa Chakushangaza Alikua Anapiga Kelele Yeye Kama Nani ?!
Nahapa Juzi Wanajeshi wake walivyotangazwa Kama Niwatenda Jinai Kule Afghanistan Nawanatakiwa Wapelekwe Katika Mahakama Yauhalifu Wakivita Ambayo Ni ICC Jama Wakagoma Nampaka Wakamtishia Kumpiga Ban Mkuu Wa Mahakama Ile Ikiwa Hii Kama Sababu Yakutohusishwa Wanajeshi wake Nauhalifu Wakivita
Bwana Utam, naomba nikueleweshe kidogo

Naona una hoja nzuri isipokuwa kuna mtazamo fulani unatufanya wengi tudeduce kwamba una chuki bsaaana na US kiasi kwamba baadhi ya vitu unajimislead mwenyewe.

Kwamfano, unaizungumzia sana ICC, mbona US sio signatory wa convention ya ICC ? Lakini bado unamlaumu??
Hoja-:Nikwamba US Anataka Aitawale DUNIA Kipuuzi Sana Sababu Makosa Yale Yale Wakifanya Wenzake Yanakua Makosa Ila Akifanya Yeye Yanakua Halali

US Naaiaminisha DUNIA Yakwamba Yeye Ndio Kinara wa DEMOKRASIA Naanapenda DEMOKRASIA Ulimwenguni Na Akasababisha GADAFI Auwawe Sababu Demokrasia (inawezekana waliondamana wakaanzisha maandano niraia ila wangeipa diplomasia nafasi yake mgogoro wa LIBYA Usingefika hapa ulipo leo)Wakati Huo Huo US Anayakumbatia Mataifa Yakiimla Mengi Sana Ukiingia Pale Mashariki Yakati Ukiachana na Mwanawe Wakumlea ISRAEL na TURKEY Yazamani Sio hii Yasasa Hakuna Taifa Ambalo Linafuata DEMOKRASIA Anayo Ipigia Debe US Ukiachana na IRAN Ambao Nimahasimu na US

SAUDIA-
QATAR-
UAE-
Nakwengine kote hakuna demokrasia ila US Hawaoni ?! Ama hajui ?!

Kinachonifanya Nisiupende Mfumo wakitawala wa US ni UNAFIQ Wanajifanya Hawapendi Kitu Flan Kama Kitakua Hakina Maslahi Nao Ila Kama Kina Maslahi Nao Wanakipenda.

CHINA Siokama nampenda Sana Ama yeye Mzuri Sana Hapana Ila Anakuja Kwenye Taifa Lenu Anafata Kilichomleta Kama Kawakuta Mnauwana Mna Amani Mnanini Mtajuana wenyewe Yeye Anakuja kubeba ama kufanya alichokifata


US Ndumi lakuwili Pumbav Zake.

Sent using My COVID-19
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Kwani kugombea tena nakushindwa na kukubali kushindwa sindio sehemu ya demokrasia ama ulitaka akishindwa agome[emoji12][emoji14]

TEHRAN Wanasiasa Safi Demorasia Iliokomaa Ndio Maana Hawayumbishwi

Kuhusiana nasuala lakuchukiwa ama kuwa maadui wa uislam ni watajijua wenyewe na maamuzi walo amua kuchukia wakishakua hawapelekeshwi nawale wanaodhamini mashoga Kina US Wanakua Maswahiba Zangu


Hata KOREA KASKAZINI Mnaichukia Sababu Ni Maadui wa Ukristo Ila Nawaelewa Sana Sababu Hawapelekeshwi nawale Wafadhili wanao wafadhili Makhanithi.

Sent using My COVID-19
[emoji23][emoji23][emoji23] wewe kweli hakuna kitu unachojua ila unapuyangapuyanga tu hapa, aligombea na kushindwa wapi?! Labda kama aligombea huko kwenu urambo[emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeah, huo ni mtazamo wako, ninauheshimu, lakini facts hazipo hivyo
Mashirika ya welfare yote hayakuanzishwa na US isipokuwa ni convention ambayo wanachama walichagua kuwa signatory na kuyatambua au lah. Na nchi yoyote isiyoridhika na utendaji au conventions za hayo mashirika inaweza kujiondoa, mfano mzuri korea (DPRK, ilijiondoa kwenye nuclear conventions ili itengeneze)

Sasa, misaada ya US haizuii maendeleo ya nchi yoyote. Kama ndivyo, nchi nyingi zingechagua kujiondoa ili ziendelee. Kujiondoa kwa US ni fursa kwa nchi nyingine "kutinisha misuli" kuziba hilo pengo au kuchangamkia hiyo fursa unayoidhani US ilikuwa ina enjoy. Kwahiyo, CHINA aichangamkie ili imnufaishe basi, ila kwasababu haiko hivyo, ndo unawaona hao WACHINA wanaanza kurudi nyuma na kuilaumu . HAKUNA ANACHOPATA US HAPO.
Unajua kinachomkumba DPRK Baada Ya Kujiondoa katika huo mkataba Unaousema ?!
NPT Hata ISRAEL Sio Mwanachama Wa Huu Mkataba Ila Sidhanii Kama Anakutana na Dhoruba Kama Anazokutana Nazo DPRK Ukiachana na Vikwazo uchwara vya waarabu namataifa baadhi unaweza ukanambia ISRAEL Ana kikwazo gani toka US Ikiwa sababu labda NYUKLIA, Missile Ballistic ?!


Misaada Ya US Haizuii Maendeleo Yamataifa Mengine Ila Yanazuia Kwasababu Unajua Unapopewa Msaada Unaweza Ukapewa Kwamasharti Nahisi Ushawahi Kusikia Mikopo isio namasharti sijui masharti nafuu namfano wahaya


Nchi Nyingi Zinatamani Kujiondoa Ila Zikishajiondoa Zinaenda wapi ?! Wakati zenyewe maskini Msaada Wa US Sio Kama Hauna Faida Hapana Unafaida Nyingi Sana Hatakama Athari Zitakua Ndogo Kuliko Faida

CHINA Anaitamani nakuitaka sana nafasi ya US Hata leo ila ukweli kwamba US Na Uchumi mkubwa napengine hata imara mbele ya CHINA Hauna Ubishi Kuzisimamia Nakuzipeleka Hizo Taasisi Inahitajia Pesa.

Nahakuna anachokosa MKUU Unadhani Kama Angekua Anatoa Misaada Bure Bure Kama Bure Wangekubali RAIA Kuna Misaasa Kweli Hua Wanatoa Bure Kabisaa ila Maranyingi Hua Kwenye Majanga Yakimaumbile

Faida anazozipata Huyu Bwana Moja wapo Naambayo Ndio Kubwa Kabisa Kupitia Hii Ama hayamashirika jamaa alowekeza Pesa Zake nyingi Amawaadhibu wale wanaojifanya hawakunaliani na sera zake

Mfano hapa majuzi hata mwezi haujafika IRAN Waliomba Mkopo(Sio Msaada Nimkopo) ila kutokana naushawishi alonao US Katika Shirika Husika Ambalo lilikua IMF waliweza Kuuzuia Mkopo Namkopo hawakupewa WAIRAN unahisi kama ule mkopo wangeomba IRAN Halaf CHINA wakawa Wanasema wasipewe Halaf US Anasema Wapewe Unahisi UCHINA Angefanikiwa Kuuzuia Msaada ?!



Sent using My COVID-19
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] wewe kweli hakuna kitu unachojua ila unapuyangapuyanga tu hapa, aligombea na kushindwa wapi?! Labda kama aligombea huko kwenu urambo[emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati unasema alibwagwa alibwagwa wapi ?!

Sent using My COVID-19
 
Namaanisha inadondondoka kutoka dola kuu kwenda dola la hovyo

Kumbuka tofauti ya China na usa kwa sasa GDP ni dola tilion tano tu

China ni silent killer

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uongo Wewe,china wako kwenye dollar trillion 12 na USA ni dollar trillion 22 na point kadhaa almost 23.

son of almighty God.
 
Halafu hapo hapo US Akaenda Nunua Mask huko huko UCHINA Akawa anawachangia bila kujijua[emoji16]

MCHINA ss hv kawa kama maji asee usipomnywa utamuoga .

Sent using My COVID-19
We bata mzinga kweli,
Aliyeishika dunia ni Nani Kati ya China na USA?
Hivi unajua viwanda vingi vya ndani ya China ambavyo wanajifanya kulingia ni vya nani?

son of almighty God.
 
Kunywa maji kwanza wewe BINA ADAMU Ili Upunguze stress na upunguze kupanic usije kufa kwa presha kijana
We bata mzinga kweli,
Aliyeishika dunia ni Nani Kati ya China na USA?
Hivi unajua viwanda vingi vya ndani ya China ambavyo wanajifanya kulingia ni vya nani?

son of almighty God.
Kama ungekua unajua falsafa za UCHUMI Wala Usingehoji hili swali sasa kwanini US Asivifunge Hivyo Viwanda Ili MCHINA Asiringie Tena Viwanda Ambavyo Sio Vyaki Ama Anangojea nn ss ?!




Sent using My COVID-19
 
Kunywa maji kwanza wewe BINA ADAMU Ili Upunguze stress na upunguze kupanic usije kufa kwa presha kijana Kama ungekua unajua falsafa za UCHUMI Wala Usingehoji hili swali sasa kwanini US Asivifunge Hivyo Viwanda Ili MCHINA Asiringie Tena Viwanda Ambavyo Sio Vyaki Ama Anangojea nn ss ?!




Sent using My COVID-19
Dogo haupo objective

My life is mine to remember
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unataka kuigeuza mada iwe yakidini hii haitakaa igeuke kuwa yakidini DUNIA Kuwapinga Ndio Kunawafanya Wajitegemee Wenyewe mfano kupitia hili la CORONA licha yamagumu mengi walopitia ila wamekua imara japo US Walipiga Kelele wasipewe sijui Mkopo Sijui Nini Wanaume wakakazana

Kazaneni nanyie baada ya jamaa kujitoa WHO Sio kupiga kelele tu kilaleo

Sent using My COVID-19
Ulitegemea watakufa [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kunywa maji kwanza wewe BINA ADAMU Ili Upunguze stress na upunguze kupanic usije kufa kwa presha kijana Kama ungekua unajua falsafa za UCHUMI Wala Usingehoji hili swali sasa kwanini US Asivifunge Hivyo Viwanda Ili MCHINA Asiringie Tena Viwanda Ambavyo Sio Vyaki Ama Anangojea nn ss ?!




Sent using My COVID-19

Vizuri unajua kwamba US anafaidi cheap labour ya mchina kutengeneza bidhaa zake huku akibakia zaidi na ubunifu wa high-tech products na udhibiti wa mfumo wa fedha duniani. Siku China ikifikia level hiyo ndipo mlinganisho wa mataifa hayo utakuwa na maana.

Bila shaka umesikia China nayo ina mpango wa kufikia stage ya US na kuhamishia uzalishaji wa viwanda Afrika. Sitarajii iwe karibuni. Kumbuka Marekani ni dunia; i wazi kwa “makabila” yote: inakusanya akili kubwa kibao toka kila pande za dunia ilhali uraia wa China ni kwa “kabila” la Han pekee.
 
Namaanisha inadondondoka kutoka dola kuu kwenda dola la hovyo

Kumbuka tofauti ya China na usa kwa sasa GDP ni dola tilion tano tu

China ni silent killer

Sent using Jamii Forums mobile app
Anyway kwa faida yako tu....itachukua miaka mingi kwa China kuipita Marekani kiuchumi. Inaweza kua ngumu kuamini lakin China kwa mda mrefu itaendelea kuwa ya pili na marekani ya kwanza. Kama unajua kusoma na kuchambua lugha ya malkia hebu fungua hii link niliokuwekea hapa chini uelewe nini najaribu kusema.

Comparing United States and China by Economy - StatisticsTimes.com


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siwezi kuamini argument za magharibi mimi

West media ni kwa ajili ya kusifu na kuabudu tu

Leta habari ambayo haijaegemea china wala usa
Anyway kwa faida yako tu....itachukua miaka mingi kwa China kuipita Marekani kiuchumi. Inaweza kua ngumu kuamini lakin China kwa mda mrefu itaendelea kuwa ya pili na marekani ya kwanza. Kama unajua kusoma na kuchambua lugha ya malkia hebu fungua hii link niliokuwekea hapa chini uelewe nini najaribu kusema.

Comparing United States and China by Economy - StatisticsTimes.com


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vizuri unajua kwamba US anafaidi cheap labour ya mchina kutengeneza bidhaa zake huku akibakia zaidi na ubunifu wa high-tech products na udhibiti wa mfumo wa fedha duniani. Siku China ikifikia level hiyo ndipo mlinganisho wa mataifa hayo utakuwa na maana.

Bila shaka umesikia China nayo ina mpango wa kufikia stage ya US na kuhamishia uzalishaji wa viwanda Afrika. Sitarajii iwe karibuni. Kumbuka Marekani ni dunia; i wazi kwa “makabila” yote: inakusanya akili kubwa kibao toka kila pande za dunia ilhali uraia wa China ni kwa “kabila” la Han pekee.
Umemjibu vyema, kwa faida yake ni kuwa China's labour force ni mara nne(×4) au hata zaidi ya ile ya Marekani na hivyo hii inaifanya China kuwa na cheap labour ukilinganisha na nchi yoyote ya duniani hivyo kuifanya kuwa na unafuu wa kuzalisha bidhaa mbalimbali. Koukwel ni kuwa labour cost ya China ni robo ya ile ya Marekani. Kwa urahisi naweza sema hivi, kias cha fedha ambacho mtu angetumia kumlipa raia mmoja kwa ajili ya kuifanya kazi flani ndani ya US kinaweza kutumia kuwalipa watu 4 ndani ya CHINA kuifanya kazi hiyo hiyo. Hivyo kwa akili ya kawaida kama unataka faida lazima utaemda kuwekeza viwanda china.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom