Uchaguzi 2020 China yaionya USA juu ya uchaguzi wa Tanzania 2020

Wezi wa CCM kwa kujifariji mjambo. Safari hii salama yenu ni kujificha huko huko Lumumba na masanduku ya kura zenu fake, mkiyaleta kwenye vituo vya kupigia kura tu ndio mtajua hamjui.
 
Hawa wachina watukome kama wavyokoma kwenye .......... shida tunayopata sisi hawaijuwi waendelee kuuza vitu vinavyoharibika kama nyanya kwenye matenga kwao kwanza hakuna democrasia waache nchi zenyedemocrasia watushauri kwanza hawana uwezo wa kumzuia trump
 
Wabongo wengi hawajui kuwa wababe wote hao wawili hawapigani mikwara kwa maslahi ya Tanzania bali yao na watu wao. Hivyo mnaokomaa kushupaza misuli ya shingo kuchagua upande mngejitathmini vizuri.
 
Wezi wa CCM kwa kujifariji mjambo. Safari hii salama yenu ni kujificha huko huko Lumumba na masanduku ya kura zenu fake, mkiyaleta kwenye vituo vya kupigia kura tu ndio mtajua hamjui.

punguza jazba, chukua pepsi baridi apo kunywa uku unaangalia magufuli akiwa kilimanjaro ntakuja kulipa
 
Hilo kombora limewasumbua hao China kiasi gani kabla ya kufika huko America?

Wenye akili wanatengeneza silaha na wanapiga wanapopaona
Sasa China kampiga nani na hiyo silaha yake


Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Mkuu, aaaah!! Sasa nini maana ya techniques za kivita mkuu!!😂

Kuna wakati siraha Kwa sababu ndio Kwanza unaenda kuitumia, itabidi uijaribishie hata Kwa mifugo yako uone kama inakidhi matarajio mkuu, ndicho alichokifanya China kabla kombora Hilo halijatumwa Marekani 😂😂
 
Marekani ameingiliwa na China mpaka Ikulu...Kama hujui China kwa Sasa ndiye kidume wa dunia kiuchumi ...in five to ten years from China atakuwa kidume kuizidi Marekani kijeshi huku Russia kijeshi ikiwa ndiyo kinara
Wee mburula nani anakukuna saa hizi? Tunaongelea onyo la China kwa Marekani kuingilia uchaguzi wa Tanzania na siyo nguvu za uchumi na kijeshi za Marekani, Urusi na China!
 
Hapo umenena. Tukipokea masada tu, tayari tumeumia. Tukomae sisi wenyewe tutafika tu.
 
Masikini sijui umeandika ujinga gani ,nimejibu kuwa sio kweli China anaongoza kwa uwekezaji Tanzania sasa wewe umekunya mavi mabichi kabisa.
Wee mburula nani kasema China inaongoza kwa uwekezaji Tanzania? Nimeongelea jinsi China inavyokwapua rasilimali za Tanzania! Jaribu kuwa muelewa.
 
hahaha, ebu wacha nkupe brush up kwanza maaaana uko blank
View attachment 1607258


niendelee ama niishie apa, sasa fanya research apa utajua kwann kuna balistic missles
China wakipewa majukumu ya USA mwaka mmoja tu huwenda wakapotea kwenye ramani ya uchumi kabisa (hapa naongelea misaada tu hawa jamaa wanayotoa kwa mwaka)
Hilo deni kwa USA sio kitu na sio kwamba wameshindwa kuishi bila deni lakini ni hesabu za kiuchumi tu
Nikama tu wanaonunua ndege kwa kulipa kidogokidogo sio kwamba hawana pesa ya kununua cash ni mipango tu ya kibiashara
Ndiyo maana Rais Mtanzania alivyonunua ndege cash wamemshangaa

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Marekani ameingiliwa na China mpaka Ikulu...Kama hujui China kwa Sasa ndiye kidume wa dunia kiuchumi ...in five to ten years from China atakuwa kidume kuizidi Marekani kijeshi huku Russia kijeshi ikiwa ndiyo kinara
Ndoto na fake details ,ndio zinafanya muwe hiviu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…