Me naikubali Marekani na hakuna mtu wakumshusha ila tu usiasa huu ni wa kawaidakuna mbuzi juzi nlimwambia kabisa, hata wafanye nn marekani haiwezi kuifanya chochote tanzania! Tanzania ni mstari mmoja na pakistan, sisi hatuwasupport israel, sasa pakistan ni msururu mmoja na china + russia! hawa wanasubiri marekani ifanye kosa lolote kuna kitu kinaitwa INTER CONTINENTAL BALISTIC MISSLES, china na russia, missles zao zpo set for new york, kwahio ni kitendo cha kubonyeza tu switch marekani nzima ibaki majivu, kwahio waliokua wanategemea sjui marekani , belgium habari ziwafikie
We nishabiki na ukiwa shabiki huwezi kuona mapungufu sometimeMkuu, aaaah!! Sasa nini maana ya techniques za kivita mkuu!![emoji23]
Kuna wakati siraha Kwa sababu ndio Kwanza unaenda kuitumia, itabidi uijaribishie hata Kwa mifugo yako uone kama inakidhi matarajio mkuu, ndicho alichokifanya China kabla kombora Hilo halijatumwa Marekani [emoji23][emoji23]
Haya Wabeligiji mje tu tuonyeshane nani ndo baba mwenye nyumba
China hawajali siasa zako. They don't care ww ni mjamaa au mbepari, una demokrasia au huna. Hawaingilii mambo yako ya ndani.
kuna mbuzi juzi nlimwambia kabisa, hata wafanye nn marekani haiwezi kuifanya chochote tanzania! Tanzania ni mstari mmoja na pakistan, sisi hatuwasupport israel, sasa pakistan ni msururu mmoja na china + russia! hawa wanasubiri marekani ifanye kosa lolote kuna kitu kinaitwa INTER CONTINENTAL BALISTIC MISSLES, china na russia, missles zao zpo set for new york, kwahio ni kitendo cha kubonyeza tu switch marekani nzima ibaki majivu, kwahio waliokua wanategemea sjui marekani , belgium habari ziwafikie
Tena China ndo washenzi
Marekani ishike mambo yake
China hana jeuri yeyote kwa mmarekani nakumbuka aliwahi onya hivyo hivyo lakini bado muamar gadaf aliuawa hali kadhalika hata kwa sadam husein marekani sio kama mnavyo simuliana kwenye vijiwe vya kahawa aisee nadhan kwa wanao jua wanajua.Kwanza China ndiye beberu mkubwa wa Tanzania, ameingia kila sekta na kuchukua rasilimali za nchi hii bila huruma!
UmemalizaAdui wa adui yako ni rafiki.
CASE CLOSED.
Ukikua utaachana na hizi story za kitoto.
Me naikubali Marekani na hakuna mtu wakumshusha ila tu usiasa huu ni wa kawaida
Kwan mm mwanachi wa zimbambwe? waulize wazimbambwe, sisi tunawaunga mkono pakistan ambao kwa nyuma ni russia + china, sasa leteni mdomo
China wakipewa majukumu ya USA mwaka mmoja tu huwenda wakapotea kwenye ramani ya uchumi kabisa (hapa naongelea misaada tu hawa jamaa wanayotoa kwa mwaka)
Hilo deni kwa USA sio kitu na sio kwamba wameshindwa kuishi bila deni lakini ni hesabu za kiuchumi tu
Nikama tu wanaonunua ndege kwa kulipa kidogokidogo sio kwamba hawana pesa ya kununua cash ni mipango tu ya kibiashara
Ndiyo maana Rais Mtanzania alivyonunua ndege cash wamemshangaa
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
'Sisi' nani?
wanazo tena nyingi tu, ila russia na china ni kitu kimoja! marekani hana modern weapons kama russia na china walivo nazo, marekani cant fight even china alone, infact hata vita ya uchumi tayar washaloose kwa china, kwa sababu kila mtu akirudi nchini kwake marekani inabaki hopeless, hata google ilitengenezwa na mrussia na ndo spy mkubwa hii dunia haijawahi tokea wakishairikiana na FBI, sasa utawafanya nn, there is nothing you can do, ndo uzuri wa ubabe kwa ubabe
ππππChina wafadhili wakuu wa CCM,sponsa anapoona danga lake linakoromewa lina haki ya kuvimba!!