Uchaguzi 2020 China yaionya USA juu ya uchaguzi wa Tanzania 2020


education!! education!! education!! education!! so unadhan izo missles zmeekwa apo na cuba ama?
 
Mkuu china bado sana sana marekani kashika mpini sisi tumeshika kwa makali akiamua mtaokota makopo

naona kuna watu mnaichukulia poa sna china! china is the upcomming ruler upende usipende, saaahv wamebaki tu kugombania tiktok inunuliwe marekani wakati ni kampuni ya china, everything is already turned upside down by china,
 
Absolutely, lets see now what are they goner do!
 
Tanzania ni kwaajili ya Watanzania na October 28th tutamchagua JPM KWA KISHINDO.

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
FYI last week China has become the biggest economy in the world, overtaking the USA.
Uchumi wa Makaratasi wakati kufufua kiwanda cha urafiki tu wanashindwa???πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
FYI last week China has become the biggest economy in the world, overtaking the USA.
Uchumi wa Makaratasi wakati kufufua kiwanda cha urafiki tu wanashindwa???πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

je unajua marekani andaiwa kiasi gan na china
 

Sema ipo siku tutatamani sana tungesimamia haki na kupinga uonevu hapa nchini, by then tutakua tumechelewa na hakuna atakayekua salama, labda wenye uraia wa nchi mbili.
 
Mambo ni [emoji91][emoji91][emoji91]
Secretary Pompeo fanya yako naona hadi Beijing wamekurupuka tayari
Hivi kweli akili ndogo itaendesha akili kubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…