technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Wanamuingiza king Magufuli ili akiwekewa vikwazo na marekani waweze kutukandamiza vizuri Kama walivyofanya kwa Zimbabwe.
Mbona ajawasaidia Iran kwa vikwazo au mbona hakuwasaidia Zimbabwe?
China ni matapeli tu Tanzania akitaka kujinasua na minyororo ya marekani dawa ni kuacha kupewa misaada yote ya Marekani,Un ,EU, IMF, WB.
Mbona ajawasaidia Iran kwa vikwazo au mbona hakuwasaidia Zimbabwe?
China ni matapeli tu Tanzania akitaka kujinasua na minyororo ya marekani dawa ni kuacha kupewa misaada yote ya Marekani,Un ,EU, IMF, WB.