Uchaguzi 2020 China yaionya USA juu ya uchaguzi wa Tanzania 2020

Uchaguzi 2020 China yaionya USA juu ya uchaguzi wa Tanzania 2020

Serikali ya China imeitaka USA kutoingilia maswala ya ndani ya nchi nyingne ikiwemo uchaguzi wa Tanzania kwa kuwa serikali ya Tanzania inaweza kusimamia vema uchaguzi

==
CHINA YAIAMBIA MAREKANI ISIINGILIE MAMBO YA NDANI YA TANZANIA

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa #China, Zhao Lijian ameiambia #Marekani isiingilie mambo ya ndani ya Tanzania

China inaamini #Tanzania itafanya Uchaguzi Mkuu kwa mafanikio ikiamini serikali ina uwezo wa kusimamia Uchaguzi huo

Kauli hiyo imekuja baada ya Marekani kusema haitasita kuchukua hatua kwa watakaoonekana kuwa chanzo cha kuvuruga uchaguzi wa Haki na Demokrasia


Chanzo: Azam Tv


My take:
China watupotezee sisi tumeamua kufanya mabadiliko kama wanapenda rais wa ujenzi waje wamchukue akawajengee flyover
Kuna watetezi wa CCM lakini "Mafao ya viongozi wastaafu yashtua"! Tujaribu kwa upande mwingine! Sio dhambi

Kwa huu ujinga naomba marekani waingie hata sasa .
 
kuna mbuzi juzi nlimwambia kabisa, hata wafanye nn marekani haiwezi kuifanya chochote tanzania! Tanzania ni mstari mmoja na pakistan, sisi hatuwasupport israel, sasa pakistan ni msururu mmoja na china + russia! hawa wanasubiri marekani ifanye kosa lolote kuna kitu kinaitwa INTER CONTINENTAL BALISTIC MISSLES, china na russia, missles zao zpo set for new york, kwahio ni kitendo cha kubonyeza tu switch marekani nzima ibaki majivu, kwahio waliokua wanategemea sjui marekani , belgium habari ziwafikie
Unaakili za kitoto sana itakuwa ni form 6 mliotoka Jkt

Kwataarifa yako
Pakistan ni puppet wa USA na anasaidiwa kwa kila kitu hadi saivi USA anakambi zaidi ya 4 ndani ya Pakistani

Huyo China hawezi bishana na USA kwa kuwa yeye mwenyewe bado njaa ,kushindwa kumsaidia Mugabe ,kushindwa kumsaidia Korea ya kiduku saivi wakorea wanalia na vikwazo na chaajabu zaid hata kampuni zake za ndani (huawei na tiktalk ) zinanyanyaswa yeye yupo kimya tuu
 
Serikali ya China imeitaka USA kutoingilia maswala ya ndani ya nchi nyingne ikiwemo uchaguzi wa Tanzania kwa kuwa serikali ya Tanzania inaweza kusimamia vema uchaguzi

==
CHINA YAIAMBIA MAREKANI ISIINGILIE MAMBO YA NDANI YA TANZANIA

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa #China, Zhao Lijian ameiambia #Marekani isiingilie mambo ya ndani ya Tanzania

China inaamini #Tanzania itafanya Uchaguzi Mkuu kwa mafanikio ikiamini serikali ina uwezo wa kusimamia Uchaguzi huo

Kauli hiyo imekuja baada ya Marekani kusema haitasita kuchukua hatua kwa watakaoonekana kuwa chanzo cha kuvuruga uchaguzi wa Haki na Demokrasia


Chanzo: Azam Tv


My take:
China watupotezee sisi tumeamua kufanya mabadiliko kama wanapenda rais wa ujenzi waje wamchukue akawajengee flyover
Mbele ya China na USA,nchi za ulimwengu wa tatu,hususani TZ ni Kama Malaya wanaojiuza,kila mmoja anapigania amchukue akampige pipe,hawana kipya hao.

Mchina yeye anafanya lobbying,ushawishi wa siri kuhusu mradi gani ujengwe,anatoa Rushwa ndefu kwa baadhi ya waandamizi,anachukua mradi anapanga bei,anaweka masharti makubwa na magumu endapo mtashindwa kulipa mkopo,mchina aingilii mnavyotenda,hata mkikiuka haki za binadamu yeye haimuhusu.

USA na nchi za magharibi,wao ni mpaka utilize viwango fulani vya kulinda haki za binadamu ndio anatoa pesa.
 
China hawajali siasa zako. They don't care ww ni mjamaa au mbepari, una demokrasia au huna. Hawaingilii mambo yako ya ndani.
They care about:

1. Wewe ni soko la bidhaa zao.

2. Utaendelea kuwapa tenda za ujenzi

3. Utaacha raia wao wafanyebkazi kwa UHURU ndani ya jamhuri ya Danganyika hata kama ni za kuchezesha makorokoro ya bahati nasibu.

Ukiwapa hayo wewe hata UA kiatili ndugu zako tu wenye rangi nyeusi tiii, wao hawana muda na wewe.
 
China hawajali siasa zako. They don't care ww ni mjamaa au mbepari, una demokrasia au huna. Hawaingilii mambo yako ya ndani.
China hata kama mnauana na kutiana vilema,as long as wao wanaendelea kupiga pesa basi hiyo siyo concern yao kabisaaaa!Ndio maana Marekani anatambulika kama baba wa kulinda amani ya dunia!
 
Kwa hiyo America wao wana AK 47 peke yake hawana silaha nyingine



Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app

wanazo tena nyingi tu, ila russia na china ni kitu kimoja! marekani hana modern weapons kama russia na china walivo nazo, marekani cant fight even china alone, infact hata vita ya uchumi tayar washaloose kwa china, kwa sababu kila mtu akirudi nchini kwake marekani inabaki hopeless, hata google ilitengenezwa na mrussia na ndo spy mkubwa hii dunia haijawahi tokea wakishairikiana na FBI, sasa utawafanya nn, there is nothing you can do, ndo uzuri wa ubabe kwa ubabe
 
Haya madikteta yameanza. Kwao yamemetekwa akili na Xi Ping eti awe kiongozi wa maisha.
 
China hata kama mnauana na kutiana vilema,as long as wao wanaendelea kupiga pesa basi hiyo siyo concern yao kabisaaaa!Ndio maana Marekani anatambulika kama baba wa kulinda amani ya dunia!

hahaha wanalinda amani gan? kumuua gadafi?
 
Serikali ya China imeitaka USA kutoingilia maswala ya ndani ya nchi nyingne ikiwemo uchaguzi wa Tanzania kwa kuwa serikali ya Tanzania inaweza kusimamia vema uchaguzi

==
CHINA YAIAMBIA MAREKANI ISIINGILIE MAMBO YA NDANI YA TANZANIA

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa #China, Zhao Lijian ameiambia #Marekani isiingilie mambo ya ndani ya Tanzania

China inaamini #Tanzania itafanya Uchaguzi Mkuu kwa mafanikio ikiamini serikali ina uwezo wa kusimamia Uchaguzi huo

Kauli hiyo imekuja baada ya Marekani kusema haitasita kuchukua hatua kwa watakaoonekana kuwa chanzo cha kuvuruga uchaguzi wa Haki na Demokrasia


Chanzo: Azam Tv


My take:
China watupotezee sisi tumeamua kufanya mabadiliko kama wanapenda rais wa ujenzi waje wamchukue akawajengee flyover
Kwa ujinga wa Ccm wanadhani kujipeleka kwa China ndo wako salama!! Ccm kweli vilaza sana.

Mugabe alivyopigwa sanctions na Marekani na Uingereza walijifanya kumbeba Ila Zimbabwe ilikuwaje kiuchumi pamoja na kubebwa na China??? Zimbabwe ilikufa kiuchumi huku ikiwa inabebwa na China na siku ya mwisho mnagangwa akampindua Mugabe kwa support ya hao hao China na sasa kawarudisha Uingereza na Marekani Zimbabwe.

CHINA ndo mshenzi kuliko hata Marekani maana yeye ndo amechangia sana kubeba rasilimali za Tanzania hasa pembe za ndovu kipindi cha Kikwete. Sasa kama Magufuli anaona yuko salama kwa China asubiri mziki wake ataona.

Mwisho ni kwamba hakuna wa kuzuia mabadiliko Tanzania mwaka huu. Magufuli lazima atoke
 
Serikali ya China imeitaka USA kutoingilia maswala ya ndani ya nchi nyingne ikiwemo uchaguzi wa Tanzania kwa kuwa serikali ya Tanzania inaweza kusimamia vema uchaguzi

==
CHINA YAIAMBIA MAREKANI ISIINGILIE MAMBO YA NDANI YA TANZANIA

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa #China, Zhao Lijian ameiambia #Marekani isiingilie mambo ya ndani ya Tanzania

China inaamini #Tanzania itafanya Uchaguzi Mkuu kwa mafanikio ikiamini serikali ina uwezo wa kusimamia Uchaguzi huo

Kauli hiyo imekuja baada ya Marekani kusema haitasita kuchukua hatua kwa watakaoonekana kuwa chanzo cha kuvuruga uchaguzi wa Haki na Demokrasia


Chanzo: Azam Tv


My take:
China watupotezee sisi tumeamua kufanya mabadiliko kama wanapenda rais wa ujenzi waje wamchukue akawajengee flyover
Mambo ni 🔥🔥🔥
Secretary Pompeo fanya yako naona hadi Beijing wamekurupuka tayari
 
Nimekuwa najiuliza maswali kuhusu CHINA! Je ni kwanini CHINA inawaandama wanaohimiza uchaguzi kuwa huru na wa haki Tanzania?? Marekani wameshaweka wazi kuwa hawana mgombea Tanzania lakini wangependa kuona uchaguzi wetu unakuwa huru na wa haki! Je kuto wito huu tayari ni kuingilia uchaguzi wa nchi nyingine???
Au labda China wanaogopa CCM ikianguka watapoteza ulaji kwenye uwekezaji????
Kwanini wao CHINA hawaimizi uchaguzi kuwa wa haki , ila tu wanayasuta mataifa yanayoimiza suala hili??? Tunajua chama cha china ni marafiki na CCM, Je au ndio kusema CCM inajaribu kuwaziba mdomo mataifa mengine kupitia China???
Nawasihi CHINA wayaache mataifa yanayosimamia AMANI ya dunia yafanye kazi ya kuepusha uvunjifu wa AMANI, Sote tunajua HAKI ndio msingi mkuu wa AMANI! Mahala popote pasipo na haki hata kama pataonekana kuwa na amani, basi amani hiyo ni ya bandia, tunataka AMANI YA KWELI!
 
Serikali ya China imeitaka USA kutoingilia maswala ya ndani ya nchi nyingne ikiwemo uchaguzi wa Tanzania kwa kuwa serikali ya Tanzania inaweza kusimamia vema uchaguzi

==
CHINA YAIAMBIA MAREKANI ISIINGILIE MAMBO YA NDANI YA TANZANIA

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa #China, Zhao Lijian ameiambia #Marekani isiingilie mambo ya ndani ya Tanzania

China inaamini #Tanzania itafanya Uchaguzi Mkuu kwa mafanikio ikiamini serikali ina uwezo wa kusimamia Uchaguzi huo

Kauli hiyo imekuja baada ya Marekani kusema haitasita kuchukua hatua kwa watakaoonekana kuwa chanzo cha kuvuruga uchaguzi wa Haki na Demokrasia


Chanzo: Azam Tv


My take:
China watupotezee sisi tumeamua kufanya mabadiliko kama wanapenda rais wa ujenzi waje wamchukue akawajengee flyover
China inafaidika sana na udhalimu wa CCM. Hatujasahau balozi wa China alivyovaa nguo za CCM na kupanda jukwàani
 
kuna mbuzi juzi nlimwambia kabisa, hata wafanye nn marekani haiwezi kuifanya chochote tanzania! Tanzania ni mstari mmoja na pakistan, sisi hatuwasupport israel, sasa pakistan ni msururu mmoja na china + russia! hawa wanasubiri marekani ifanye kosa lolote kuna kitu kinaitwa INTER CONTINENTAL BALISTIC MISSLES, china na russia, missles zao zpo set for new york, kwahio ni kitendo cha kubonyeza tu switch marekani nzima ibaki majivu, kwahio waliokua wanategemea sjui marekani , belgium habari ziwafikie
Hivi mnapata wapi ujasiri wakuongelea kitu ambacho hamna maarifa nacho? Kwani hizo ICBM anazo China na Urusi tu? Acheni stories za vijiweni za kupotezea muda mkiwa idle? Eti wakibofya tu Marekani majivu kha😂😂
Embu naomba uniambie destructive range and parimeters ya hizo ICBM walizokuwa nazo hao uliowataja.
 
China inabeberu mpaka wanyonge.

Michina inapanga room mpaka Buza kwa Mpalange na inafanya kazi mpaka ya kubeba Zege.

Na kama hilo halitoshi michina haitakutetea ikiwa michina mienzao inakusulubu. Wazungu wema wapo na wana uwezo wa kukemea wazungu wenzao wakiona ukatili unazidi.

Hata Black Lives Matter wazungu wengi tu wameandamana kupinga.

Ila kwa kuwa michina inachotaka ni MALI, SOKO na TENDA imechagua kujipendekeza kwa Watawala.

Yanakula na kipofu kama viongozi wa dini wa Tanzagiza.
Tulieni mpapaswe kwanza tarehe 28 hayo mapovu mkafulie bendera za chama baada ya uchaguzi
 
Back
Top Bottom