Uchaguzi 2020 China yaionya USA juu ya uchaguzi wa Tanzania 2020

Uchaguzi 2020 China yaionya USA juu ya uchaguzi wa Tanzania 2020

Marekani atii amri kwa China????😂😂😂

Unachekesha wewe!! Yaani hawa ambao kiwanda cha Urafiki tu kimewashinda kukifufua ndo Marekani atii amri kwake??? Yeye tu anahangaika sasaivi na sanctions za kiuchumi kutoka Marekani
 
W020201020690397030738.jpg

CRI: It is reported that the general election in Tanzania will be held on October 28. The US Embassy in Tanzania recently issued a statement on the election, calling on the Tanzanian government to support the democratic process, adding that they will not hesitate to consider consequences for those found to be responsible for election-related violence or undermining the democratic process. What is your comment?

Zhao Lijian: We believe that the Tanzanian government and people have the wisdom and capability to organize the election. We wish that the election will be held in a smooth and successful manner. Non-interference in other countries' internal affairs should be a basic principle for all countries to follow. China calls on all countries to respect this principle and all parties should support African countries' independence and safeguard their unity and stability​

uchaguzi wenyewe uko funded na serikali 100%, sasa wao wanataka wahusike vp , i wonder
 
hahaha pole sana bro, wacha nkupe details, hizi taarifa kuna mbungo jana nlimwambia hapa hapa forum skumbuki thread ilikua inahusiana na nn, yeye alikua anasema wnaksanya evidence eti wanapeleka mahakama ya kitaifa baada ya uchaguzi!

- Pakistan kama sio suppport ya russia basi wamarekani wangewaonea sana kwa sababu israel wanawaonea sana! israel wanawaonea pakistan kwa sababu israel ina full support ya USA, russia walistep in, ushawahi skia tena israel wanawaonea pakistan? heshima imerudi si ndio?

- China ana ugomvi mkubwa na marekani kwenye battle ya space, kila contract marekani wanaofanya wanawatenga china kwenye
kusign, hata international space station ilivoanza kazi china walitengewa na wakasema watatengeneza ya kwao isiwe tabu,
baada ya hapo sasa china wakasema isiwe tabu, russia ndo watengenezaji wa rocket dunia hii hakuna nchi wanatengeneza rocket efficient kama russia, china wamepatner nao, leo marekani wamebaki wanarusha rocket kupitia kampuni inaitwa spacex inamilikiwa na mwamba mmoja anaitwa ELON MUSK, ni msouth africa aaliehamia marekani

- Mpaka lei russia na china ni wamoja katika rockets, sasa rockets ndo missles dogo, ndo imekuja ilo neno INTER CONTINENTAL BALISTIC MISSLES, saaahv pakistan wankaa kwa raha bana we unadhan marekani ndo dunia yao saaahv, marekani walipigwa mpaka na vietnam, have you ever heard of september 11? unajua nan ndo yuko nyuma ya hili shambulio, unajua kwann marekani hawajajibu mashabulizi, kama hujui kaaa kimya! ila kaa ukijua marekani can do nothing on us unless support yetu ihame
Wewe jamaa muongo sana
Pakistan na Israel zigombanie nini?
Pakistan ni kibaraka wa USA katika maslahi ya central Asia (Iran ,Afghanistan, Oman,UAE ,baharein,Bangladesh nk).
Pakistan anauhasama na India japo wote ni wa USA.
Huyo Russia unaemuongelea hata humjui ,rais Putin mwenyewe nyuma ya upara ameandikwa 'made in tel Aviv'
Irani ayatollah chini ya ndevu zake ameandikwa "made in England"
Sasa wewe mwarabu wa kwa mtogole unabisha tuu
 
kuna mbuzi juzi nlimwambia kabisa, hata wafanye nn marekani haiwezi kuifanya chochote tanzania! Tanzania ni mstari mmoja na pakistan, sisi hatuwasupport israel, sasa pakistan ni msururu mmoja na china + russia! hawa wanasubiri marekani ifanye kosa lolote kuna kitu kinaitwa INTER CONTINENTAL BALISTIC MISSLES, china na russia, missles zao zpo set for new york, kwahio ni kitendo cha kubonyeza tu switch marekani nzima ibaki majivu, kwahio waliokua wanategemea sjui marekani , belgium habari ziwafikie
Ficha ujinga wako.famba wewe ume andika nini sasa hiki..
 
Mambo yakienda hovyo nchini westerns watakuja na hao wachina hawatafanya lolote, just mark my word mkuu watabaki maneno maneno tu kwasababu wanajua ulaji wao hapa nchini utakuwa umekatwa.
Bora tuwe huru, tufanye mambo yetu kwa usawa na haki kwa watanzania wote kuliko kuishi chini ya "itategemea siku hiyo nimeamkaje"

hapa umenena
 
Wewe jamaa muongo sana
Pakistan na Israel zigombanie nini?
Pakistan ni kibaraka wa USA katika maslahi ya central Asia (Iran ,Afghanistan, Oman,UAE ,baharein,Bangladesh nk).
Pakistan anauhasama na India japo wote ni wa USA.
Huyo Russia unaemuongelea hata humjui ,rais Putin mwenyewe nyuma ya upara ameandikwa 'made in tel Aviv'
Irani ayatollah chini ya ndevu zake ameandikwa "made in England"
Sasa wewe mwarabu wa kwa mtogole unabisha tuu

hahha just shutup tu, hili lilotokea leo nililitabiri probably 3 days back, and i know whats happening! kuna mtu nlibishana nae nkamwambia china ataingilia kati tukabishana na news imetoka, so you better shut up maaana huelewi mambo yanaenda vp, let me check kama ntaiona hio post tena
 
wanazo tena nyingi tu, ila russia na china ni kitu kimoja! marekani hana modern weapons kama russia na china walivo nazo, marekani cant fight even china alone, infact hata vita ya uchumi tayar washaloose kwa china, kwa sababu kila mtu akirudi nchini kwake marekani inabaki hopeless, hata google ilitengenezwa na mrussia na ndo spy mkubwa hii dunia haijawahi tokea wakishairikiana na FBI, sasa utawafanya nn, there is nothing you can do, ndo uzuri wa ubabe kwa ubabe
Unaongea kana kwamba America haina washirika na unavyosema haina silaha kama urusi na China bado sijakuelewa
Lakini America ina uchumi mkubwa na akili kubwa pia kiasi cha kumiliki teknolojia zenu ulizotaja hapo
nini kuhusu vita?
Changanya China na urusi pamoja bado hazifikii uchumi wa America
Yote kwa yote hakuna nchi itakayoingia vitani kwa sababu ya tanzania

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Marekani wafanye yao watuachie nchi yetu. Hatukupandisha bendera 9 Dec ili tuendelee kupangiwa nini tufanye na nini tusifanye na mabeberu.
Mbona munadaka hela zao kila saa na dakika? ukila na wewe utaliwa tu, US wafanye hima kuchukua hatua na mapema tayari kuna viashiria vibaya
 
Unaongea kana kwamba America haina washirika na unavyosema haina silaha kama urusi na China bado sijakuelewa
Lakini America ina uchumi mkubwa na akili kubwa pia kiasi cha kumiliki teknolojia zenu ulizotaja hapo
nini kuhusu vita?
Changanya China na urusi pamoja bado hazifikii uchumi wa America
Yote kwa yote hakuna nchi itakayoingia vitani kwa sababu ya tanzania

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app

hahaha, ebu wacha nkupe brush up kwanza maaaana uko blank
1603280189988.png



niendelee ama niishie apa, sasa fanya research apa utajua kwann kuna balistic missles
 
Kumbe uchaguzi huu una maslahi tusiyoyajua na wababe wa Dunia!. Kuna watu walikuwa wanasema eti mgombea fulani anafadhiliwa na mabeberu kumbe na wao wamo!.
CCM + Beberu China & Chadema + Beberu USA tusubiri tuone nani mbabe zaidi ya mwenzake.

Ila Beberu mmoja anahubiri haki na Beberu mwingine anafagilia rafu za mawakala na figisu za NEC
Yaani wewe hujui kuwa maccm ni mademu ya vichina? Vimeona danga lake maji ya shingo ndo vinapayuka .Unajua kwa Nini maccm yalishupalia kuita Lissu kibaraka,jibu ni hili,kwa Mara ya kwanza toka uchaguzi wa vyama vingi maccm yalipoteza uungwaji mkono wa West na sasa West wanehamia upinzani maana milengo ya kina Magu ni kwa vichina huku upinzani ukiwa na mlengo wa itikadi na sera zinazoegemea West ko ni ishu ya kambi ya Marekani na washirika wake vs Urusi/China na washirika wake ndio ya kufaidi Mali za Afrika na kueneza itikadi zao.
Sasa Mara mia kuwa na West kuliko hao wapuuzi,saizi wansichakata Zambia wanavyojiskia.
 
marekani wanazo pia, lakini zilitengenezwa na russia, hata AIR FORCE one the initial one was russia base, hata rockets walizokua znatumika na NASA zote ni russia, kwa kifupi russia ndo bingwa wa missles, kuna kitu kinaitwa ANTI MISSLES, unawza rusha na isifanye chochote, marekani amebaki kopo tu saaahv analilia tiktok inunuliwa marekani , google yenyewe ni russia made, so unataka kusema nn dogo
Hivi we jamaa, unadhani hapa wote ni wajinga kama wewe ?, yaani huoni hata haibu kuongea huu ujinga !!
 
Beberu mwingine anatetea,kufadhili na kuushupalia ushoga........mkatatuliwe wenyewe hizo ringi.........
Huu ujinga mkawadanganye wake zenu,Ushoga and the likes inachukuliwa Kama maisha binafsi ya mtu na sio sera ya nchi ndio maana huko huko USA Republican hawaungi mkono mambo ya Ushoga vs Democrats wanaounga mkono,so ustawi wa maisha ndio mambo ya muhimu kuchakatwa Malinda ni ishu yako binafsi hairuhusu,hata sasa kuna watu wanatatuliwa Malinda na watatuzi ni nyie wenyewe sasa mumewafanya nini? Mtaanza kupita kwenye vyumba vya faragha by watu kukagua au?
 
Unaongea kana kwamba America haina washirika na unavyosema haina silaha kama urusi na China bado sijakuelewa
Lakini America ina uchumi mkubwa na akili kubwa pia kiasi cha kumiliki teknolojia zenu ulizotaja hapo
nini kuhusu vita?
Changanya China na urusi pamoja bado hazifikii uchumi wa America
Yote kwa yote hakuna nchi itakayoingia vitani kwa sababu ya tanzania

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app

1603280584801.png


kuna mtu nlimwambia jana hili swala, and limetoka,
Uchaguzi 2020 - Dkt. Magufuli: Jina Langu Lipo Namba Moja, Usihangaike Kuangalia Kwingine

link hii apa, your still a kid dogo kwenye izi taarifa
 
Serikali ya China imeitaka USA kutoingilia maswala ya ndani ya nchi nyingne ikiwemo uchaguzi wa Tanzania kwa kuwa serikali ya Tanzania inaweza kusimamia vema uchaguzi

==
CHINA YAIAMBIA MAREKANI ISIINGILIE MAMBO YA NDANI YA TANZANIA

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa #China, Zhao Lijian ameiambia #Marekani isiingilie mambo ya ndani ya Tanzania

China inaamini #Tanzania itafanya Uchaguzi Mkuu kwa mafanikio ikiamini serikali ina uwezo wa kusimamia Uchaguzi huo

Kauli hiyo imekuja baada ya Marekani kusema haitasita kuchukua hatua kwa watakaoonekana kuwa chanzo cha kuvuruga uchaguzi wa Haki na Demokrasia


Chanzo: Azam Tv


My take:
China watupotezee sisi tumeamua kufanya mabadiliko kama wanapenda rais wa ujenzi waje wamchukue akawajengee flyover
Dictatorial regimes in place and entrenchment.
 
Back
Top Bottom