Uchaguzi 2020 China yaionya USA juu ya uchaguzi wa Tanzania 2020

Uchaguzi 2020 China yaionya USA juu ya uchaguzi wa Tanzania 2020

kuna mbuzi juzi nlimwambia kabisa, hata wafanye nn marekani haiwezi kuifanya chochote tanzania! Tanzania ni mstari mmoja na pakistan, sisi hatuwasupport israel, sasa pakistan ni msururu mmoja na china + russia! hawa wanasubiri marekani ifanye kosa lolote kuna kitu kinaitwa INTER CONTINENTAL BALISTIC MISSLES, china na russia, missles zao zpo set for new york, kwahio ni kitendo cha kubonyeza tu switch marekani nzima ibaki majivu, kwahio waliokua wanategemea sjui marekani , belgium habari ziwafikie
Hahahahaha safi saana kumbe china inaweza kutumia makombora yake ya bara hadi bara kuingamiza USA kisa Tanzania

ama kweli Tz tunapendwa kwerikweri
 
Hawa maadui watuache kwanza. Sisi tunaamua wenyewe. Tangu uhuru tunaamua wenyewe.
Na sasa tunaamu wenyewe.
 
Serikali ya China imeitaka USA kutoingilia maswala ya ndani ya nchi nyingne ikiwemo uchaguzi wa Tanzania kwa kuwa serikali ya Tanzania inaweza kusimamia vema uchaguzi

==
CHINA YAIAMBIA MAREKANI ISIINGILIE MAMBO YA NDANI YA TANZANIA

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa #China, Zhao Lijian ameiambia #Marekani isiingilie mambo ya ndani ya Tanzania

China inaamini #Tanzania itafanya Uchaguzi Mkuu kwa mafanikio ikiamini serikali ina uwezo wa kusimamia Uchaguzi huo

Kauli hiyo imekuja baada ya Marekani kusema haitasita kuchukua hatua kwa watakaoonekana kuwa chanzo cha kuvuruga uchaguzi wa Haki na Demokrasia


Chanzo: Azam Tv


My take:
China watupotezee sisi tumeamua kufanya mabadiliko kama wanapenda rais wa ujenzi waje wamchukue akawajengee flyover
Hawana akili si ndo wameleta na korona ndunian mbwa hawa ivi wachina wanajielewa
 
Hahahahaha safi saana kumbe china iweza kutumia makombora yake ya bara hadi bara kuingamiza USA kisa Tanzania

ama kweli Tz tunapendwa kwerikweri

unaongea nn wewe, ww1 ilikua na prince mmoja tu anaitwa Archduke . dunia nzima ikapigana na waafrika tukaitwa kuongeza nguvu wewe unashangaa saaahv china na russia wanasubiri USA wafanye kosa dogo tu waachie missles,

- china na russia wanaitafuta marekani kwa mda mrefu sana, back then nchi ndogo tu cuba ilisababisha russia wapeleke submarines cuba, we jamaa unadhan war inahitaji basi watu wengi, watu wachache tu
- tunisia kuna mtu mmoja tu alifanyiwa fujo na mgambo, nchi nzima ikareact
 
Serikali ya China imeitaka USA kutoingilia maswala ya ndani ya nchi nyingne ikiwemo uchaguzi wa Tanzania kwa kuwa serikali ya Tanzania inaweza kusimamia vema uchaguzi

==
CHINA YAIAMBIA MAREKANI ISIINGILIE MAMBO YA NDANI YA TANZANIA

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa #China, Zhao Lijian ameiambia #Marekani isiingilie mambo ya ndani ya Tanzania

China inaamini #Tanzania itafanya Uchaguzi Mkuu kwa mafanikio ikiamini serikali ina uwezo wa kusimamia Uchaguzi huo

Kauli hiyo imekuja baada ya Marekani kusema haitasita kuchukua hatua kwa watakaoonekana kuwa chanzo cha kuvuruga uchaguzi wa Haki na Demokrasia


Chanzo: Azam Tv


My take:
China watupotezee sisi tumeamua kufanya mabadiliko kama wanapenda rais wa ujenzi waje wamchukue akawajengee flyover
China wananufaika na Tanzania washenzi tu hao kenge tunataka mabadiliko tumeamua 28/10
 
Marekani wafanye yao watuachie nchi yetu. Hatukupandisha bendera 9 Dec ili tuendelee kupangiwa nini tufanye na nini tusifanye na mabeberu.
Lkn wao ndio uingia gharama kubwa Sana za kuhudumia wakimbizi.
China ndie mnufaika wa madikteta ya afrika ataacha vipi kupiga kelele kwenye shamba lake.
Uzuri China amiliki the Hague
 
USA ni wanafiki na wapumbavu tu!

Balozi wa Uingereza nchini Marekani Bwana Kim Darroch alilazimika kujiuzulu last year baada ya email yake ikikosoa utawala wa Trump kuvuja.

Fuatilia povu alilotoa Trump hadi jamaa akaachia ngazi,ni matusi na kashfa hadi kwa Theresa May.

Wao wakali kweli kwa mabalozi kuzungumzia affairs zao ila wao shobo kibao kwa yasiyowahusu.
 
unaongea nn wewe, ww1 ilikua na prince mmoja tu anaitwa Archduke . dunia nzima ikapigana na waafrika tukaitwa kuongeza nguvu wewe unashangaa saaahv china na russia wanasubiri USA wafanye kosa dogo tu waachie missles,

- china na russia wanaitafuta marekani kwa mda mrefu sana, back then nchi ndogo tu cuba ilisababisha russia wapeleke submarines cuba, we jamaa unadhan war inahitaji basi watu wengi, watu wachache tu
- tunisia kuna mtu mmoja tu alifanyiwa fujo na mgambo, nchi nzima ikareact
Ficha ujinga basi,nimesoma electrical engineering lakini najua fika kuwa prince=archduke, na huyo wa Serbia alikuwa ni archduke Ferdinand
Hapo Serbia kulikuwa na mambo mengi na hali ya taharuki,soma vitabu vya hiyo WW1 nasio nyambari nyangwine halafu pitia na documents za Rwanda Genocide ndio uone nini ni nin sio ropo ropo
 
Serikali ya China imeitaka USA kutoingilia maswala ya ndani ya nchi nyingne ikiwemo uchaguzi wa Tanzania kwa kuwa serikali ya Tanzania inaweza kusimamia vema uchaguzi

==
CHINA YAIAMBIA MAREKANI ISIINGILIE MAMBO YA NDANI YA TANZANIA

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa #China, Zhao Lijian ameiambia #Marekani isiingilie mambo ya ndani ya Tanzania

China inaamini #Tanzania itafanya Uchaguzi Mkuu kwa mafanikio ikiamini serikali ina uwezo wa kusimamia Uchaguzi huo

Kauli hiyo imekuja baada ya Marekani kusema haitasita kuchukua hatua kwa watakaoonekana kuwa chanzo cha kuvuruga uchaguzi wa Haki na Demokrasia


Chanzo: Azam Tv


My take:
China watupotezee sisi tumeamua kufanya mabadiliko kama wanapenda rais wa ujenzi waje wamchukue akawajengee flyover
Wote China na USA hawajui tuu kwamba Tanzania ya sasa hatupangiwi?
Wamuulize John Pombe Magufuli awaambie😁😁😁😁😁
 
Hujui kuwa China ndiyo soko kubwa la pembe za ndovu, magogo, madini, gesi na nyingine nyingi? Pia makampuni yao yanaongoza kwa kuwadhulumu haki zao wafanyakazi wa kitanzania?
Narudia tena. Una ushahidi?
 
Serikali ya China imeitaka USA kutoingilia maswala ya ndani ya nchi nyingne ikiwemo uchaguzi wa Tanzania kwa kuwa serikali ya Tanzania inaweza kusimamia vema uchaguzi

==
CHINA YAIAMBIA MAREKANI ISIINGILIE MAMBO YA NDANI YA TANZANIA

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa #China, Zhao Lijian ameiambia #Marekani isiingilie mambo ya ndani ya Tanzania

China inaamini #Tanzania itafanya Uchaguzi Mkuu kwa mafanikio ikiamini serikali ina uwezo wa kusimamia Uchaguzi huo

Kauli hiyo imekuja baada ya Marekani kusema haitasita kuchukua hatua kwa watakaoonekana kuwa chanzo cha kuvuruga uchaguzi wa Haki na Demokrasia


Chanzo: Azam Tv


My take:
China watupotezee sisi tumeamua kufanya mabadiliko kama wanapenda rais wa ujenzi waje wamchukue akawajengee flyover
VICHINA TOKA LINI VIKATUNDISHA DEMOKRASIA?
 
Back
Top Bottom