Uchaguzi 2020 China yaionya USA juu ya uchaguzi wa Tanzania 2020

Uchaguzi 2020 China yaionya USA juu ya uchaguzi wa Tanzania 2020

Mi nadhani wachina na wenyewe wanaogopa Lissu kuchukua nchi, maana wanafahamu kabisa Lissu hapendi unyonywaji na unyanyasaji wa wananchi. Na kwa wale tuliofanya kazi na wachina na wazungu tunajua ni nani ana utu na auheni kwenye kujali utu na haki kati ya mzungu na mchina. Istoshe tofauti kati ya CCM chini ya JPM na Chinese Comunist Party ya PRC chini ya Xi Jinping ni ndogo mno. Wote wanyanyasaji wa demokrasia tu.hapa Nyani anamtetea ngedere.
Hahahahaha, acha uongo ndugu, Lissu tunampiga wenyewe asubuhi tu huku kwetu kanyamsenga kwenye sanduku LA kura!
 
Serikali ya China imeitaka USA kutoingilia maswala ya ndani ya nchi nyingne ikiwemo uchaguzi wa Tanzania kwa kuwa serikali ya Tanzania inaweza kusimamia vema uchaguzi

==
CHINA YAIAMBIA MAREKANI ISIINGILIE MAMBO YA NDANI YA TANZANIA

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa #China, Zhao Lijian ameiambia #Marekani isiingilie mambo ya ndani ya Tanzania

China inaamini #Tanzania itafanya Uchaguzi Mkuu kwa mafanikio ikiamini serikali ina uwezo wa kusimamia Uchaguzi huo

Kauli hiyo imekuja baada ya Marekani kusema haitasita kuchukua hatua kwa watakaoonekana kuwa chanzo cha kuvuruga uchaguzi wa Haki na Demokrasia


Chanzo: Azam Tv


My take:
China watupotezee sisi tumeamua kufanya mabadiliko kama wanapenda rais wa ujenzi waje wamchukue akawajengee flyover
China siyo nchi ya kuongelea demokrasia, haki au maendeleo ya watu. China ni nchi ya kidikteta, na kwenye maendeleo ya watu ni nchi ya 89 Duniani, inazidiwa hata na baadhi ya nchi za Afrika.

Wachina, kwa kadiri ya tafiti za wanasaikolojia, haigundui chochote zaidi ya kuiga kwa sababu mfumo wa nchi yao ni ule usiotoa uhuru wa watu kufikiri.

China ina pato kubwa la nchi kutokana na uwingi wa watu lakini maendeleo ya mtu mmoja mmoja, ni duni sana. Sisi tunataka HAKI, UHURU na MAENDELEO YA WATU. Vitu ambavyo, vyote China haina.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
China wafadhili wakuu wa CCM,sponsa anapoona danga lake linakoromewa lina haki ya kuvimba!!
Hii kiboko haki nimecheka......!!

Yani bongo ni danga la wachina kwa sababu ya madili wanayopewa na serikali ya ccm so wachina wakiona wamarekani wanaipiga mkwara serikali ni lazima waikoromee...
 
Demokrasia ni asili ya magharibi udikteta ni asili ya uchina, watawala upenda udikteta ili kuwaumiza watu. Kina jiwes and company awataki mtu anaewaambia kuhusu demokrasia
 
Toa mfano wa rasrimali anazoiba
Nenda tu hapo DRC na Mozambique ukaone jinsi wachina wanavyokata magogo usiku na mchana. Ni waharibifu wakubwa wa mazingira. Na ni watu wachafu sana kimaadili. Wanapenda sana kuhonga ogisi za umma ili wasilipe kodi.

Mzungu anakuja Afrika kutafuta faida lakini ana utu na maadili ya biashara lakini mchina ni shetani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahaha, acha uongo ndugu, Lissu tunampiga wenyewe asubuhi tu huku kwetu kanyamsenga kwenye sanduku LA kura!
Sawa kijana. Nadhan sina haja ya kubisha kwa hoja na mtu asiejielewa kama wewe. Maana ni imani yangu kwa maoni haya kichwani uko mweupe kabisa kwa masuala ya kimataifa katika kila nyanja ya maisha. Na istoshe kama CCM inaamin inaweza kushinda kwa kishindo cha zaidi ya 80% ni bora ithibitishe kwa kutengeneza mchuano wenye haki sawa maana wakifanya hivo tutajionalea wwnyewe bila figisu, lakin kwakua we ni mweupe hakuna unaloliona na unabaki kushabikia ujinga tu bila hoja zenye mashiko.
 
China siyo nchi ya kuongelea demokrasia, haki au maendeleo ya watu. China ni nchi ya kidikteta, na kwenye maendeleo ya watu ni nchi ya 89 Duniani, inazidiwa hata na baadhi ya nchi za Afrika.

Wachina, kwa kadiri ya tafiti za wanasaikolojia, haigundui chochote zaidi ya kuiga kwa sababu mfumo wa nchi yao ni ule usiotoa uhuru wa watu kufikiri.

China ina pato kubwa la nchi kutokana na uwingi wa watu lakini maendeleo ya mtu mmoja mmoja, ni duni sana. Sisi tunataka HAKI, UHURU na MAENDELEO YA WATU. Vitu ambavyo, vyote China haina.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa ndo watu wanatakiwa kuwa JF. Bahati mbaya sana siku hizi forum imejaza wajinga wengi kuliko wenye maarifa kama huyu.
 
😀 😀 😀 TZ inagombaniwa na mabeberu! by the way, CHINA lazima aisapoti TZ mana ukiachilia miradi mbali mbali ambayo wao ndo mafundi, kuna sapoti ya kuimeza Taiwan kutoka Tanzania, jambo ambalo linafanana na Tanzania kutaka kumaliza kuimeza Zanzibar.
 
Huu ni ushabiki tu kama wa mpira
yaani China ina nguvu kuliko America??

Haya mabomu ya kuivuruga dunia nchi kibao wanayo lakini kuna vikwazo vya kuyatumia na pia wanayamiliki ili kuheshimiana tu leo ni ngumu sana nchi kuingia vitani watu wamestaarabika huwa wanaangalia zaidi madhara yatakayo patikana
Watu wamestaarabika Nyerere na Iddy wangekuwepo leo na ugomvi wao ungetokea Sasa hivi hizi nchi zisingeingia vitani

Lakini hizo unazosikia ni siasa tu na hawa watu wanatumia akili na mmoja kati yao anaenda kuwin namaanisha China au America yani kama Magufuli akishinda wachina watalipwa fadhila kwamba wametetea maslahi
Na Lisu vilevile kama America wako upande wake

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app

yeap yeap, but there are still chances znaweza kutumika, humans ni self destructive creatures! bila uongozi humans wanfanya damage kubwa sana. but haitakua because ya tanzania, izi ni politics tu za kujisogeza mbele za china na usa
 
Back
Top Bottom