Uchaguzi 2020 China yaionya USA juu ya uchaguzi wa Tanzania 2020

Uchaguzi 2020 China yaionya USA juu ya uchaguzi wa Tanzania 2020

Du! Tz imekuwa yakugombewa na mabeberu. Hii ni hatari na kwa jicho la tatu ni wazi kuna kitu hakiko sawa katika uchaguzi huu. Ni juu yetu wananchi kuondoa mizizi ya fitina kwenye sanduku la kura na NEC iwe fair kutangaza mshindi wa haki na sio wa mizengwe.
 
Serikali ya China imeitaka USA kutoingilia maswala ya ndani ya nchi nyingne ikiwemo uchaguzi wa Tanzania kwa kuwa serikali ya Tanzania inaweza kusimamia vema uchaguzi

==
CHINA YAIAMBIA MAREKANI ISIINGILIE MAMBO YA NDANI YA TANZANIA

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa #China, Zhao Lijian ameiambia #Marekani isiingilie mambo ya ndani ya Tanzania

China inaamini #Tanzania itafanya Uchaguzi Mkuu kwa mafanikio ikiamini serikali ina uwezo wa kusimamia Uchaguzi huo

Kauli hiyo imekuja baada ya Marekani kusema haitasita kuchukua hatua kwa watakaoonekana kuwa chanzo cha kuvuruga uchaguzi wa Haki na Demokrasia


Chanzo: Azam Tv


My take:
China watupotezee sisi tumeamua kufanya mabadiliko kama wanapenda rais wa ujenzi waje wamchukue akawajengee flyover
tuone
Huu ndio uchaguzi wenye press conference nyingi toka Beijing hadi sun Fransisco kote press conference juu ya JMT election.
unajifariji
 
Boda boda na machinga Hawa ni madalali wa viwanda vya china vya kuuzia bidhaa zao, kupitia machinga na bodaboda china inavuna mabilioni ya dola toka tz na kuifanya tz ni shamba lao la kuchukua pesa zetu kila tunaponunua bidhaa zao,thus awataki kuona shamba lao likivamiwa.

Kwa upande wa wazungu sababu ya humanity wao ukemea madhara ya udikteta, sababu udikteta uleta Vita ambapo wao ndio upewa mzigo wa kuhudumia wakimbizi.

Makambi yote ya wakimbizi ni mashirika toka ulaya ndio yanahudumia na si China.Hadi leo wakimbizi warundi na wacongo upita airport wanapelekwa USA and Canada kupewa maisha ya kudumu.
China ni rafiki wa kwel wa raslimali zetu
 
Du! Tz imekuwa yakugombewa na mabeberu. Hii ni hatari na kwa jicho la tatu ni wazi kuna kitu hakiko sawa katika uchaguzi huu. Ni juu yetu wananchi kuondoa mizizi ya fitina kwenye sanduku la kura na NEC iwe fair kutangaza mshindi wa haki na sio wa mizengwe.

Alianza uyu mwanamke wa chadema kwamba dunia inaangalia na kweli ikaangalia, miaka yote nenda rudi marekani hua wanakuaga kwenye uchaguzi kawaida na hakuna shida yoyote sasa waliovuruga ni huyu mwanamke mwenye mguu mfupi
 
China inabeberu mpaka wanyonge.

Michina inapanga room mpaka Buza kwa Mpalange na inafanya kazi mpaka ya kubeba Zege.

Na kama hilo halitoshi michina haitakutetea ikiwa michina mienzao inakusulubu. Wazungu wema wapo na wana uwezo wa kukemea wazungu wenzao wakiona ukatili unazidi.

Hata Black Lives Matter wazungu wengi tu wameandamana kupinga.

Ila kwa kuwa michina inachotaka ni MALI, SOKO na TENDA imechagua kujipendekeza kwa Watawala.

Yanakula na kipofu kama viongozi wa dini wa Tanzagiza.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] eti "Mibeberu minyonge"
 
Yaani wewe hujui kuwa maccm ni mademu ya vichina? Vimeona danga lake maji ya shingo ndo vinapayuka .Unajua kwa Nini maccm yalishupalia kuita Lissu kibaraka,jibu ni hili,kwa Mara ya kwanza toka uchaguzi wa vyama vingi maccm yalipoteza uungwaji mkono wa West na sasa West wanehamia upinzani maana milengo ya kina Magu ni kwa vichina huku upinzani ukiwa na mlengo wa itikadi na sera zinazoegemea West ko ni ishu ya kambi ya Marekani na washirika wake vs Urusi/China na washirika wake ndio ya kufaidi Mali za Afrika na kueneza itikadi zao.
Sasa Mara mia kuwa na West kuliko hao wapuuzi,saizi wansichakata Zambia wanavyojiskia.

Wewe kawadanganye wajinga wenzako huyo rais wa mashoga duniani anayetete maslahi yake kwa Lissu ndio utaita kuungwa mkono na Western block.

Kama hukuelewa kwa ni Barrick wamekuja kutoa gawiwo kipindi hiki cha kampeni. Unafaida yeyote ya kuwa hapa JF wewe?
 
Huu ujinga mkawadanganye wake zenu,Ushoga and the likes inachukuliwa Kama maisha binafsi ya mtu na sio sera ya nchi ndio maana huko huko USA Republican hawaungi mkono mambo ya Ushoga vs Democrats wanaounga mkono,so ustawi wa maisha ndio mambo ya muhimu kuchakatwa Malinda ni ishu yako binafsi hairuhusu,hata sasa kuna watu wanatatuliwa Malinda na watatuzi ni nyie wenyewe sasa mumewafanya nini? Mtaanza kupita kwenye vyumba vya faragha by watu kukagua au?
Nimekushika pabaya amsore mbeligiamu ila hakuna namna mtetea ushoga atabeba nchi hii
 
Wamewajengea ccm chuo cha siasa Kibaha kwa mfipa....
Tutakibadili kuwa chuo cha mitishamba na tiba asili kama tutakavyo badili viwanja vya michezo kuwa vya Halmashauri zetu kumiliki.
Kwani nani anabisha? Anyooshe mkono kama anajikuna tuu, aone kazi! marabouk! [emoji443][emoji443]
 
Alianza uyu mwanamke wa chadema kwamba dunia inaangalia na kweli ikaangalia, miaka yote nenda rudi marekani hua wanakuaga kwenye uchaguzi kawaida na hakuna shida yoyote sasa waliovuruga ni huyu mwanamke mwenye mguu mfupi
Na Ndo mana Mungu anaenda kuwapa pigo kuu mwaka huu. Yaani kumpiga risasi Lissu mkiwa na nia ya kumuua mumpige nyie na kumsababishia ulemavu mumsababishie nyie alafu hapa unamkebehi Eti mwanamke mwenye mguu mfupi. Laana ya Mungu na ikumalize wewe na uzao wako kwa jina la Yesu.
 
kuna mbuzi juzi nlimwambia kabisa, hata wafanye nn marekani haiwezi kuifanya chochote tanzania! Tanzania ni mstari mmoja na pakistan, sisi hatuwasupport israel, sasa pakistan ni msururu mmoja na china + russia! hawa wanasubiri marekani ifanye kosa lolote kuna kitu kinaitwa INTER CONTINENTAL BALISTIC MISSLES, china na russia, missles zao zpo set for new york, kwahio ni kitendo cha kubonyeza tu switch marekani nzima ibaki majivu, kwahio waliokua wanategemea sjui marekani , belgium habari ziwafikie
Story za kwenye vijiwe vya gahawa.
 
China hamuwezi mmarekani na hatomuweza kamwe. Kiwanda cha urafiki tu wameshindwa kukifufua ndo aweze kupambana na Marekani?[emoji23]
Itakua neema kwetu kama ata surrender ila akikomaa ujue raia wa Tanzania ndio watapata tabu sana.
 
Waache tu CCM wafurahie. Ninavyomjua Marekani, atatunisha msuli kweli mwaka huu na akiwa na wafadhili wakuu wa Tanzania Ujerumami, Uingereza, Sweden , Canada, Norway na Denmark bila kusahau Umoja wa Ulaya na Ireland sioni Magufuli ataponea wapi akiharibu huu uchaguzi!
Nchi ikishawekwa mtu kati, basi machafuko yoyote yakitokea hao "wanaotufadhili" watafadhili vikundi ambavyo itakuwa vigumu kuvirudisha kwenye umoja wa kitaifa.
 
Na Ndo mana Mungu anaenda kuwapa pigo kuu mwaka huu. Yaani kumpiga risasi Lissu mkiwa na nia ya kumuua mumpige nyie na kumsababishia ulemavu mumsababishie nyie alafu hapa unamkebehi Eti mwanamke mwenye mguu mfupi. Laana ya Mungu na ikumalize wewe na uzao wako kwa jina la Yesu.

hahaha sasa unamtisha nan na izo laaana zako, Ushavunja amri ya Mungu kwanza amesema mpende jirani yako kama nafsi yako, we unaleta mzaha na mambo ya Mungu wakati watu wanajifurahisha na siasa uku utadhan mnagombania huo uraisi, ona sasa ushaanza Kumuingiza Mungu na unaanza na dhambi
 
China anaingilia uchaguzi wetu. Yeye ni nani kutusemea?
anyway long story short, Marekani ndo wamekua mstari wa mbele sku zote kuhakikisha uchaguzi unakua huru na haki na hawajawahi toa repoti kwamba kuna wizi wa kura sasa nyie ndo kwida yenu kulalamika sjui mmeibiwa kura, mkishinda hamsemi mmeibiwa mkishindwa mnalalamika, mwaka huu kitaeleweka tu! mm sina interest sana na china wala USA lakini uchaguzi huu uko funded 100% na serikali sasa kila kitu ni juu ya tanzania
 
Marekani wafanye yao watuachie nchi yetu. Hatukupandisha bendera 9 Dec ili tuendelee kupangiwa nini tufanye na nini tusifanye na mabeberu.
Waambie hao marekani tunataka misaada yao tu na si vinginevyo
 
  • Thanks
Reactions: mmh
China wana maslahi gani na uchaguzi huu wa Tanzania mpaka wainyoshee kidole USA?
 
Back
Top Bottom