Uchaguzi 2020 China yaionya USA juu ya uchaguzi wa Tanzania 2020

Uchaguzi 2020 China yaionya USA juu ya uchaguzi wa Tanzania 2020

kuna mbuzi juzi nlimwambia kabisa, hata wafanye nn marekani haiwezi kuifanya chochote tanzania! Tanzania ni mstari mmoja na pakistan, sisi hatuwasupport israel, sasa pakistan ni msururu mmoja na china + russia! hawa wanasubiri marekani ifanye kosa lolote kuna kitu kinaitwa INTER CONTINENTAL BALISTIC MISSLES, china na russia, missles zao zpo set for new york, kwahio ni kitendo cha kubonyeza tu switch marekani nzima ibaki majivu, kwahio waliokua wanategemea sjui marekani , belgium habari ziwafikie
China watawaletea ARV.
 
Nimekuwa najiuliza maswali kuhusu CHINA! Je ni kwanini CHINA inawaandama wanaohimiza uchaguzi kuwa huru na wa haki Tanzania?? Marekani wameshaweka wazi kuwa hawana mgombea Tanzania lakini wangependa kuona uchaguzi wetu unakuwa huru na wa haki! Je kuto wito huu tayari ni kuingilia uchaguzi wa nchi nyingine???
Au labda China wanaogopa CCM ikianguka watapoteza ulaji kwenye uwekezaji????
Kwanini wao CHINA hawaimizi uchaguzi kuwa wa haki , ila tu wanayasuta mataifa yanayoimiza suala hili??? Tunajua chama cha china ni marafiki na CCM, Je au ndio kusema CCM inajaribu kuwaziba mdomo mataifa mengine kupitia China???
Nawasihi CHINA wayaache mataifa yanayosimamia AMANI ya dunia yafanye kazi ya kuepusha uvunjifu wa AMANI, Sote tunajua HAKI ndio msingi mkuu wa AMANI! Mahala popote pasipo na haki hata kama pataonekana kuwa na amani, basi amani hiyo ni ya bandia, tunataka AMANI YA KWELI!
Kandarasi karibu zote za ujenzi kwa sasa wanapewa makampuni ya China.

Kuanguka kwa ccm ni kutisho kwa maslahi ya China Tanzania.
 
Serikali ya China imeitaka USA kutoingilia maswala ya ndani ya nchi nyingne ikiwemo uchaguzi wa Tanzania kwa kuwa serikali ya Tanzania inaweza kusimamia vema uchaguzi

==
CHINA YAIAMBIA MAREKANI ISIINGILIE MAMBO YA NDANI YA TANZANIA

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa #China, Zhao Lijian ameiambia #Marekani isiingilie mambo ya ndani ya Tanzania

China inaamini #Tanzania itafanya Uchaguzi Mkuu kwa mafanikio ikiamini serikali ina uwezo wa kusimamia Uchaguzi huo

Kauli hiyo imekuja baada ya Marekani kusema haitasita kuchukua hatua kwa watakaoonekana kuwa chanzo cha kuvuruga uchaguzi wa Haki na Demokrasia


Chanzo: Azam Tv


My take:
China watupotezee sisi tumeamua kufanya mabadiliko kama wanapenda rais wa ujenzi waje wamchukue akawajengee flyover

China waache na watuondolee ujinga na sera zao za Kikomunisti hapa!!!! Tanzania hatuchaguliwi rafiki au adui lakini pia kama nchi rafiki inaona kuna viashiria vya Uchaguzi usio Uhuru na Haki Wana Uhuru wa kutoa maoni yao. China hana ubavu wa kumzuia Marekani kutoa maoni na mtazamo wake.......Wachina ni Makomunisti wanaotawala Kidikteta!!!!Watuache.
 
Serikali ya China imeitaka USA kutoingilia maswala ya ndani ya nchi nyingne ikiwemo uchaguzi wa Tanzania kwa kuwa serikali ya Tanzania inaweza kusimamia vema uchaguzi

==
CHINA YAIAMBIA MAREKANI ISIINGILIE MAMBO YA NDANI YA TANZANIA

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa #China, Zhao Lijian ameiambia #Marekani isiingilie mambo ya ndani ya Tanzania

China inaamini #Tanzania itafanya Uchaguzi Mkuu kwa mafanikio ikiamini serikali ina uwezo wa kusimamia Uchaguzi huo

Kauli hiyo imekuja baada ya Marekani kusema haitasita kuchukua hatua kwa watakaoonekana kuwa chanzo cha kuvuruga uchaguzi wa Haki na Demokrasia


Chanzo: Azam Tv


My take:
China watupotezee sisi tumeamua kufanya mabadiliko kama wanapenda rais wa ujenzi waje wamchukue akawajengee flyover
Toka Jpm awakatae walipokuja na sera za kutudhoofisha kwa kile kinachoitwa Covid-19, Mabeberu hawalali, Ni wakati ambao Jpm ameshawaonesha kwamba watanzania tunaweza kujitegemea kifikra.
 
Wote China na USA hawajui tuu kwamba Tanzania ya sasa hatupangiwi?
Wamuulize John Pombe Magufuli awaambie😁😁😁😁😁
Kwani wanajipendekeza ?
Jiwe aliomba misaada kwa beberu ili amshinde Lissu beberu likatumia formula kuwa "if you can't fight with them join with them"
Jiwe akakimbilia kwa vijogoo vya kisasa vya China ,sasa jogoo ndio amkoromee beberu?
Yetu macho
mama D
 
View attachment 1607262

kuna mtu nlimwambia jana hili swala, and limetoka,
Uchaguzi 2020 - Dkt. Magufuli: Jina Langu Lipo Namba Moja, Usihangaike Kuangalia Kwingine

link hii apa, your still a kid dogo kwenye izi taarifa
Huu ni ushabiki tu kama wa mpira
yaani China ina nguvu kuliko America??

Haya mabomu ya kuivuruga dunia nchi kibao wanayo lakini kuna vikwazo vya kuyatumia na pia wanayamiliki ili kuheshimiana tu leo ni ngumu sana nchi kuingia vitani watu wamestaarabika huwa wanaangalia zaidi madhara yatakayo patikana
Watu wamestaarabika Nyerere na Iddy wangekuwepo leo na ugomvi wao ungetokea Sasa hivi hizi nchi zisingeingia vitani

Lakini hizo unazosikia ni siasa tu na hawa watu wanatumia akili na mmoja kati yao anaenda kuwin namaanisha China au America yani kama Magufuli akishinda wachina watalipwa fadhila kwamba wametetea maslahi
Na Lisu vilevile kama America wako upande wake

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
wanazo tena nyingi tu, ila russia na china ni kitu kimoja! marekani hana modern weapons kama russia na china walivo nazo, marekani cant fight even china alone, infact hata vita ya uchumi tayar washaloose kwa china, kwa sababu kila mtu akirudi nchini kwake marekani inabaki hopeless, hata google ilitengenezwa na mrussia na ndo spy mkubwa hii dunia haijawahi tokea wakishairikiana na FBI, sasa utawafanya nn, there is nothing you can do, ndo uzuri wa ubabe kwa ubabe
Umesema utopolo kama hujui historia vizur kaa kimya
 
Wanamuingiza king Magufuli ili akiwekewa vikwazo na marekani waweze kutukandamiza vizuri Kama walivyofanya kwa Zimbabwe.

Mbona ajawasaidia Iran kwa vikwazo au mbona hakuwasaidia Zimbabwe?

China ni matapeli tu Tanzania akitaka kujinasua na minyororo ya marekani dawa ni kuacha kupewa misaada yote ya Marekani,Un ,EU, IMF, WB.
Ngoma droo
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Mi nadhani wachina na wenyewe wanaogopa Lissu kuchukua nchi, maana wanafahamu kabisa Lissu hapendi unyonywaji na unyanyasaji wa wananchi. Na kwa wale tuliofanya kazi na wachina na wazungu tunajua ni nani ana utu na auheni kwenye kujali utu na haki kati ya mzungu na mchina. Istoshe tofauti kati ya CCM chini ya JPM na Chinese Comunist Party ya PRC chini ya Xi Jinping ni ndogo mno. Wote wanyanyasaji wa demokrasia tu.hapa Nyani anamtetea ngedere.
 
Huu ni ushabiki tu kama wa mpira
yaani China ina nguvu kuliko America??

Haya mabomu ya kuivuruga dunia nchi kibao wanayo lakini kuna vikwazo vya kuyatumia na pia wanayamiliki ili kuheshimiana tu leo ni ngumu sana nchi kuingia vitani watu wamestaarabika huwa wanaangalia zaidi madhara yatakayo patikana
Watu wamestaarabika Nyerere na Iddy wangekuwepo leo na ugomvi wao ungetokea Sasa hivi hizi nchi zisingeingia vitani

Lakini hizo unazosikia ni siasa tu na hawa watu wanatumia akili na mmoja kati yao anaenda kuwin namaanisha China au America yani kama Magufuli akishinda wachina watalipwa fadhila kwamba wametetea maslahi
Na Lisu vilevile kama America wako upande wake

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Umelisahau Bomu lao la korona? Vita ni akili sio maguvu
 
Huu ndio uchaguzi wenye press conference nyingi toka Beijing hadi sun Fransisco kote press conference juu ya JMT election.
Lengo kuu ni kuepusha uvunjifu wa amani,bila hivyo si yatajirudia ya serikali za mitaa, watawala wanaona vitu viwili kunyimwa misaada na kupelekwa the Hague.Bila hivyo wangekuwa wakitushughulikia haswaa,we si unaona mtoto wa dada amesema watamdunga sindano badala ya risasi. Maana sisi bado hatuna uwezo wa kujisimamia wenyewe
 
Back
Top Bottom