Msingida
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 10,239
- 11,731
Tumepigwa sana kwenye bomba la gesiToa mfano wa rasrimali anazoiba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumepigwa sana kwenye bomba la gesiToa mfano wa rasrimali anazoiba
Hivi we jamaa, unadhani hapa wote ni wajinga kama wewe ?, yaani huoni hata haibu kuongea huu ujinga !!
Hivi we jamaa, unadhani hapa wote ni wajinga kama wewe ?, yaani huoni hata haibu kuongea huu ujinga !!
madikteta wanateteaana dhidi ya demokrasia, china waache kumtetea dikteta jiweSerikali ya China imeitaka USA kutoingilia maswala ya ndani ya nchi nyingne ikiwemo uchaguzi wa Tanzania kwa kuwa serikali ya Tanzania inaweza kusimamia vema uchaguzi
==
CHINA YAIAMBIA MAREKANI ISIINGILIE MAMBO YA NDANI YA TANZANIA
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa #China, Zhao Lijian ameiambia #Marekani isiingilie mambo ya ndani ya Tanzania
China inaamini #Tanzania itafanya Uchaguzi Mkuu kwa mafanikio ikiamini serikali ina uwezo wa kusimamia Uchaguzi huo
Kauli hiyo imekuja baada ya Marekani kusema haitasita kuchukua hatua kwa watakaoonekana kuwa chanzo cha kuvuruga uchaguzi wa Haki na Demokrasia
Chanzo: Azam Tv
My take:
China watupotezee sisi tumeamua kufanya mabadiliko kama wanapenda rais wa ujenzi waje wamchukue akawajengee flyover
Hii ni dalili mbaya!Serikali ya China imeitaka USA kutoingilia maswala ya ndani ya nchi nyingne ikiwemo uchaguzi wa Tanzania kwa kuwa serikali ya Tanzania inaweza kusimamia vema uchaguzi
==
CHINA YAIAMBIA MAREKANI ISIINGILIE MAMBO YA NDANI YA TANZANIA
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa #China, Zhao Lijian ameiambia #Marekani isiingilie mambo ya ndani ya Tanzania
China inaamini #Tanzania itafanya Uchaguzi Mkuu kwa mafanikio ikiamini serikali ina uwezo wa kusimamia Uchaguzi huo
Kauli hiyo imekuja baada ya Marekani kusema haitasita kuchukua hatua kwa watakaoonekana kuwa chanzo cha kuvuruga uchaguzi wa Haki na Demokrasia
Chanzo: Azam Tv
My take:
China watupotezee sisi tumeamua kufanya mabadiliko kama wanapenda rais wa ujenzi waje wamchukue akawajengee flyover
Aksante. Wengi hawalifahamu hili. Chama cha kikomunisiti cha China ni rafiki mkubwa wa CCM. Kwa hiyo wanamtetea rafiki asitupwe nje.China wafadhili wakuu wa CCM,sponsa anapoona danga lake linakoromewa lina haki ya kuvimba!!
Yaani kiinchi cha kidkteta kinaionya US? [emoji3]Serikali ya China imeitaka USA kutoingilia maswala ya ndani ya nchi nyingne ikiwemo uchaguzi wa Tanzania kwa kuwa serikali ya Tanzania inaweza kusimamia vema uchaguzi
==
CHINA YAIAMBIA MAREKANI ISIINGILIE MAMBO YA NDANI YA TANZANIA
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa #China, Zhao Lijian ameiambia #Marekani isiingilie mambo ya ndani ya Tanzania
China inaamini #Tanzania itafanya Uchaguzi Mkuu kwa mafanikio ikiamini serikali ina uwezo wa kusimamia Uchaguzi huo
Kauli hiyo imekuja baada ya Marekani kusema haitasita kuchukua hatua kwa watakaoonekana kuwa chanzo cha kuvuruga uchaguzi wa Haki na Demokrasia
Chanzo: Azam Tv
My take:
China watupotezee sisi tumeamua kufanya mabadiliko kama wanapenda rais wa ujenzi waje wamchukue akawajengee flyover
Ndio mkuu, and because we're Dona Kantree...[emoji23][emoji23][emoji23]Kwahiyo Tanzania inagombaniwa kama mpira wa kona.
Yaani kiinchi cha kidkteta kinaionya US? [emoji3]
Libya and Yemen in offing.Tumekwisha
Ukiona hiv jua kuna maslai yao wanayatetea. Kila mmoja anajaribu kulinda maslai yake
yote hii wameanza nan? uchaguzi ulikua unafanyika vizuri mwanzoni, si alisema dunia inaona na kweli wameona sasa heshima isharudiLibya and Yemen in offing.
Una ushahidi?Kwanza China ndiye beberu mkubwa wa Tanzania, ameingia kila sekta na kuchukua rasilimali za nchi hii bila huruma!
Serikali ya China imeitaka USA kutoingilia maswala ya ndani ya nchi nyingne ikiwemo uchaguzi wa Tanzania kwa kuwa serikali ya Tanzania inaweza kusimamia vema uchaguzi
==
CHINA YAIAMBIA MAREKANI ISIINGILIE MAMBO YA NDANI YA TANZANIA
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa #China, Zhao Lijian ameiambia #Marekani isiingilie mambo ya ndani ya Tanzania
China inaamini #Tanzania itafanya Uchaguzi Mkuu kwa mafanikio ikiamini serikali ina uwezo wa kusimamia Uchaguzi huo
Kauli hiyo imekuja baada ya Marekani kusema haitasita kuchukua hatua kwa watakaoonekana kuwa chanzo cha kuvuruga uchaguzi wa Haki na Demokrasia
Chanzo: Azam Tv
My take:
China watupotezee sisi tumeamua kufanya mabadiliko kama wanapenda rais wa ujenzi waje wamchukue akawajengee flyover
Waache tu CCM wafurahie. Ninavyomjua Marekani, atatunisha msuli kweli mwaka huu na akiwa na wafadhili wakuu wa Tanzania Ujerumami, Uingereza, Sweden , Canada, Norway na Denmark bila kusahau Umoja wa Ulaya na Ireland sioni Magufuli ataponea wapi akiharibu huu uchaguzi!Hii ni dalili mbaya!
Wewe hujui?? Mauaji ya Tembo waliokuwa wanauliwa kwenye mbuga za Tanzania hasa Selous soko kuu lilikuwa China!!Una ushahidi?