Uchaguzi 2020 China yaionya USA juu ya uchaguzi wa Tanzania 2020

Uchaguzi 2020 China yaionya USA juu ya uchaguzi wa Tanzania 2020

inamilikiwa na shirika binafsi linaitwa THE FEDERAL RESERVE, serikali ya marekani haina mamlaka yoyote kufuatilia hili shirika, so inafuata sheria jinsi shirika litawaambia
Mpumbavu kweli wewe jamaa "FEDERAL RESERVE" ni taasisi ya kiserikali yenye majukum sawa na ya "Bank of Tanzania" BOT
 
Uchaguzi wa wazi huku Wakurugenzi mamluki wakitorokea mlango wa nyuma kukwepa kuapisha mawakala wa Chadema ! mmekwisha nyie wanafiki wakubwa !
Subiri oktoba 28!

Nec ndio hao wameongeza siku za kuapa, sijui mtajificha wapi safari hii ili kipigo kisiwapate
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Nakuona unakomaa!

Mkuu Lisu hawezi kuwa rais popote duniani hadi anaingia kaburini.

Uchaguzi huu utakuwa wa uwazi kabisa maana Lisu hana kitisho chichote mbele ya chama tawala zaidi ya kuwa kibaraka wa Amsterdam.

Huu uchaguzi Lisu atapigwa kihalali kabisa na kupata 20% yake.

Najua hata leo ungesikia Marekani imepaki manowari zake pale feri, ila ndio hivyo zinabaki kuwa ndoto tu.

Kama unafikri USA inamsaada sana kwa chadema kuingia ikulu, kamuulize Besige wa Uganda kaishia kula virungu na mpaka leo hata ugavana anaishia kuusikia redioni pamoja na vitisho vya USA kwa Museven.
Ndo mnavyojitia moyo huko Lumumba??? Sasa mwaka huu ndo mtajua kuwa hamjui. Suburini muone
 
Hivi unajua hata maana ya aircraft carrier????😂😂😂😂

Au nimeongea msamiati mgumu sana kwako??? Kweli Ccm ni nyumbani kwa vilaza😂😂😂

we jamaa ebu tupe education background yako, maaana najua mbowe hakumaliza shule. lema hakumaliza shule, labda wewe uliweza ebu tumabie umesoma mpaka wap maana unatia aibu
 
Jibu swali uliloulizwa??? Unajua maana ya Aircraft carrier??? 😂😂😂😂

Elimu yangu haikuhusu sana, vipi unataka kujua Kwa nini Nina madini sana au??😂😂😂
we jamaa ebu tupe education background yako, maaana najua mbowe hakumaliza shule. lema hakumaliza shule, labda wewe uliweza ebu tumabie umesoma mpaka wap maana unatia aibu
 
Mpumbavu kweli wewe jamaa "FEDERAL RESERVE" ni taasisi ya kiserikali yenye majukum sawa na ya "Bank of Tanzania" BOT


hahaha daaah, federal reserve is a scam! anyway ownership hii apa, usije ukatia aibu mbelen ukuulizwa swali kama hili
1603307971971.png


- cha kuongezea, get more educatio utakuja kuaibika mbelen bure! hizi mambo za kurukia maswala hamjui mtakuja kuaibika bure
 
hahaha daaah, federal reserve is a scam! anyway ownership hii apa, usije ukatia aibu mbelen ukuulizwa swali kama hili
View attachment 1607728

- cha kuongezea, get more educatio utakuja kuaibika mbelen bure! hizi mambo za kurukia maswala hamjui mtakuja kuaibika bure
We jamaa ni kilaza sana. Hiki ulicholeta ni nini??😂😂😂
 
Back
Top Bottom