LOTH HEMA
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 18,611
- 27,615
Wamewajengea ccm chuo cha siasa Kibaha kwa mfipa....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamewajengea ccm chuo cha siasa Kibaha kwa mfipa....
China hajawahi kuwa na demokrasia wala haki za binadamuSerikali ya China imeitaka USA kutoingilia maswala ya ndani ya nchi nyingne ikiwemo uchaguzi wa Tanzania kwa kuwa serikali ya Tanzania inaweza kusimamia vema uchaguzi
==
CHINA YAIAMBIA MAREKANI ISIINGILIE MAMBO YA NDANI YA TANZANIA
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa #China, Zhao Lijian ameiambia #Marekani isiingilie mambo ya ndani ya Tanzania
China inaamini #Tanzania itafanya Uchaguzi Mkuu kwa mafanikio ikiamini serikali ina uwezo wa kusimamia Uchaguzi huo
Kauli hiyo imekuja baada ya Marekani kusema haitasita kuchukua hatua kwa watakaoonekana kuwa chanzo cha kuvuruga uchaguzi wa Haki na Demokrasia
Chanzo: Azam Tv
My take:
China watupotezee sisi tumeamua kufanya mabadiliko kama wanapenda rais wa ujenzi waje wamchukue akawajengee flyover
soma apo chini ownership ya federal reserve usitutie aibu tenahahaha daaah, federal reserve is a scam! anyway ownership hii apa, usije ukatia aibu mbelen ukuulizwa swali kama hili
We jamaa ni kilaza sana. Hiki ulicholeta ni nini??😂😂😂
Ngoja nikusaidie basi kilaza wa Lumumba 😂😂😂unatia aibu dogo
soma apo chini ownership ya federal reserve usitutie aibu tena
Kweli Mnama hatumpi Pombe wala Tundu hapa Ni kupiga mpunga tu Hashim Rungwe aka Spunda atosha.Serikali ya China imeitaka USA kutoingilia maswala ya ndani ya nchi nyingne ikiwemo uchaguzi wa Tanzania kwa kuwa serikali ya Tanzania inaweza kusimamia vema uchaguzi
==
CHINA YAIAMBIA MAREKANI ISIINGILIE MAMBO YA NDANI YA TANZANIA
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa #China, Zhao Lijian ameiambia #Marekani isiingilie mambo ya ndani ya Tanzania
China inaamini #Tanzania itafanya Uchaguzi Mkuu kwa mafanikio ikiamini serikali ina uwezo wa kusimamia Uchaguzi huo
Kauli hiyo imekuja baada ya Marekani kusema haitasita kuchukua hatua kwa watakaoonekana kuwa chanzo cha kuvuruga uchaguzi wa Haki na Demokrasia
Chanzo: Azam Tv
My take:
China watupotezee sisi tumeamua kufanya mabadiliko kama wanapenda rais wa ujenzi waje wamchukue akawajengee flyover
We jamaa acha kuwa kilaza?? Hiyo uliyotuma hapo iko authentic??? Kukuthibitishia ulivyo kilaza tuma humu official website ya hicho ulicholeta humu ili ujione kama ni kilaza
Daah iyo ndo official website??? Hivi unajua hapo wikipedia hata wewe unaweza kuedit???😂😂😂Federal Reserve - Wikipedia
ukasome sasa
Ngoja nikusaidie basi kilaza wa Lumumba 😂😂😂
Hizi ndo aircraft carriers 👇
View attachment 1607730View attachment 1607730View attachment 1607731View attachment 1607732
Daah iyo ndo official website??? Hivi unajua hapo wikipedia hata wewe unaweza kuedit???😂😂😂
We jamaa nakuonea huruma sana. Sasa huyo unayemleta ndo ana nini??? Ameishia kuwa muuza silaha tu maana hana ushawishi wowote wa kiuchumi. Au wewe nisaidie kuna mradi gani Urusi amewekeza au kusaidia kwenye miaka 10 tu ya karibuni hapa Tanzania???
Kwa iyo wikipedia ndo official website ya Federal reserve???😂😂😂😂si nlisema dogo ni kichaa uyu hya oneni, so unadhan ukiedit ndo direct inakua ulichoandika? wikipedia ndo encyclopidia ya dunia for now, sasa wacha story mob nenda kasome, unaonekana chizi tu apa, sasa kama wikipedia unashangaa na nkikuonyesha internet ya pili ambayo google haiwezi search si ndo utakimbia sasa
Serikali ya China imeitaka USA kutoingilia maswala ya ndani ya nchi nyingne ikiwemo uchaguzi wa Tanzania kwa kuwa serikali ya Tanzania inaweza kusimamia vema uchaguzi
==
CHINA YAIAMBIA MAREKANI ISIINGILIE MAMBO YA NDANI YA TANZANIA
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa #China, Zhao Lijian ameiambia #Marekani isiingilie mambo ya ndani ya Tanzania
China inaamini #Tanzania itafanya Uchaguzi Mkuu kwa mafanikio ikiamini serikali ina uwezo wa kusimamia Uchaguzi huo
Kauli hiyo imekuja baada ya Marekani kusema haitasita kuchukua hatua kwa watakaoonekana kuwa chanzo cha kuvuruga uchaguzi wa Haki na Demokrasia
Chanzo: Azam Tv
My take:
China watupotezee sisi tumeamua kufanya mabadiliko kama wanapenda rais wa ujenzi waje wamchukue akaWewe
Serikali ya China imeitaka USA kutoingilia maswala ya ndani ya nchi nyingne ikiwemo uchaguzi wa Tanzania kwa kuwa serikali ya Tanzania inaweza kusimamia vema uchaguzi
==
CHINA YAIAMBIA MAREKANI ISIINGILIE MAMBO YA NDANI YA TANZANIA
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa #China, Zhao Lijian ameiambia #Marekani isiingilie mambo ya ndani ya Tanzania
China inaamini #Tanzania itafanya Uchaguzi Mkuu kwa mafanikio ikiamini serikali ina uwezo wa kusimamia Uchaguzi huo
Kauli hiyo imekuja baada ya Marekani kusema haitasita kuchukua hatua kwa watakaoonekana kuwa chanzo cha kuvuruga uchaguzi wa Haki na Demokrasia
Chanzo: Azam Tv
My take:
China watupotezee sisi tumeamua kufanya mabadiliko kama wanapenda rais wa ujenzi waje wamchukue akawajengee flyover
Wewe na nani? China wanasema ukweli. Wakati Marekani ina matatizo na uchaguzi wao wa ndani, balozi wao ataionya vipi TZ. Hivi na sisi balozi akisema hivyo USA itakubali.Serikali ya China imeitaka USA kutoingilia maswala ya ndani ya nchi nyingne ikiwemo uchaguzi wa Tanzania kwa kuwa serikali ya Tanzania inaweza kusimamia vema uchaguzi
==
CHINA YAIAMBIA MAREKANI ISIINGILIE MAMBO YA NDANI YA TANZANIA
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa #China, Zhao Lijian ameiambia #Marekani isiingilie mambo ya ndani ya Tanzania
China inaamini #Tanzania itafanya Uchaguzi Mkuu kwa mafanikio ikiamini serikali ina uwezo wa kusimamia Uchaguzi huo
Kauli hiyo imekuja baada ya Marekani kusema haitasita kuchukua hatua kwa watakaoonekana kuwa chanzo cha kuvuruga uchaguzi wa Haki na Demokrasia
Chanzo: Azam Tv
My take:
China watupotezee sisi tumeamua kufanya mabadiliko kama wanapenda rais wa ujenzi waje wamchukue akawajengee flyover
Hata Marekani ni matapeli tu.Wanamuingiza king Magufuli ili akiwekewa vikwazo na marekani waweze kutukandamiza vizuri Kama walivyofanya kwa Zimbabwe.
Mbona ajawasaidia Iran kwa vikwazo au mbona hakuwasaidia Zimbabwe?
China ni matapeli tu Tanzania akitaka kujinasua na minyororo ya marekani dawa ni kuacha kupewa misaada yote ya Marekani,Un ,EU, IMF, WB.
Ndio China ina nguvu kuliko marekani. Angalia nchi zinazoidai marekani ni nchi gani inaongoza kwa kudai mpunga mrefu. Njoo pima vigezo vyote marekani kaachwa mbali. Idadi ya watu, biashara na kila kituHuu ni ushabiki tu kama wa mpira
yaani China ina nguvu kuliko America??
Haya mabomu ya kuivuruga dunia nchi kibao wanayo lakini kuna vikwazo vya kuyatumia na pia wanayamiliki ili kuheshimiana tu leo ni ngumu sana nchi kuingia vitani watu wamestaarabika huwa wanaangalia zaidi madhara yatakayo patikana
Watu wamestaarabika Nyerere na Iddy wangekuwepo leo na ugomvi wao ungetokea Sasa hivi hizi nchi zisingeingia vitani
Lakini hizo unazosikia ni siasa tu na hawa watu wanatumia akili na mmoja kati yao anaenda kuwin namaanisha China au America yani kama Magufuli akishinda wachina watalipwa fadhila kwamba wametetea maslahi
Na Lisu vilevile kama America wako upande wake
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Kataa kubali, Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020-2025 ni Tundu Antiphas LissuMkuu una moyo sana. Shida watu kama nyie huwa hamna kumbukumbu na hata kama mnayo mtajifanya kusahau na kuja na fallacy Mpya. Mlikuwa na Twende na Membe Sasa mmemtosa. JPM HAKUNA WA KUMSHINDA. 5 more years. Ntakuja kula bata January. Najua mambo ya Ubungo na Mbezi sijui yatakuwa tayari. Nipitishe BMW kwa rahaaaaaa.
Kwa iyo wikipedia ndo official website ya Federal reserve???😂😂😂😂
Hivi huko Lumumba huwa mnalishwa nini???😂
Mwambie china kuna kiwanda cha urafiki hapo mabibo kakitelekeza. Aje akifufue kwanza sio kupambana na mwanaume MarekaniNdio China ina nguvu kuliko marekani. Angalia nchi zinazoidai marekani ni nchi gani inaongoza kwa kudai mpunga mrefu. Njoo pima vigezo vyote marekani kaachwa mbali. Idadi ya watu, biashara na kila kitu