Uchaguzi 2020 China yaionya USA juu ya uchaguzi wa Tanzania 2020

Uchaguzi 2020 China yaionya USA juu ya uchaguzi wa Tanzania 2020

Serikali ya China imeitaka USA kutoingilia maswala ya ndani ya nchi nyingne ikiwemo uchaguzi wa Tanzania kwa kuwa serikali ya Tanzania inaweza kusimamia vema uchaguzi

==
CHINA YAIAMBIA MAREKANI ISIINGILIE MAMBO YA NDANI YA TANZANIA

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa #China, Zhao Lijian ameiambia #Marekani isiingilie mambo ya ndani ya Tanzania

China inaamini #Tanzania itafanya Uchaguzi Mkuu kwa mafanikio ikiamini serikali ina uwezo wa kusimamia Uchaguzi huo

Kauli hiyo imekuja baada ya Marekani kusema haitasita kuchukua hatua kwa watakaoonekana kuwa chanzo cha kuvuruga uchaguzi wa Haki na Demokrasia


Chanzo: Azam Tv


My take:
China watupotezee sisi tumeamua kufanya mabadiliko kama wanapenda rais wa ujenzi waje wamchukue akawajengee flyover
China hajawahi kuwa na demokrasia wala haki za binadamu
Atupishe tufanye yetu na kwa kuheshimu msingi wa utu ubinadamu na uhuru.
Enzi za utumwa na ubakaji wa haki za raia umepitwa na wakati
 
hahaha daaah, federal reserve is a scam! anyway ownership hii apa, usije ukatia aibu mbelen ukuulizwa swali kama hili

We jamaa ni kilaza sana. Hiki ulicholeta ni nini??😂😂😂
soma apo chini ownership ya federal reserve usitutie aibu tena
 
unatia aibu dogo
Ngoja nikusaidie basi kilaza wa Lumumba 😂😂😂

Hizi ndo aircraft carriers 👇
604DFBB7-E519-4A61-94C9-459A2B037C04.jpeg
604DFBB7-E519-4A61-94C9-459A2B037C04.jpeg
26D9A27D-27AA-40EA-8252-521B6A0ED0E6.jpeg
A58AD1F7-C000-4347-87C5-D97AF19C2696.jpeg
 
Serikali ya China imeitaka USA kutoingilia maswala ya ndani ya nchi nyingne ikiwemo uchaguzi wa Tanzania kwa kuwa serikali ya Tanzania inaweza kusimamia vema uchaguzi

==
CHINA YAIAMBIA MAREKANI ISIINGILIE MAMBO YA NDANI YA TANZANIA

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa #China, Zhao Lijian ameiambia #Marekani isiingilie mambo ya ndani ya Tanzania

China inaamini #Tanzania itafanya Uchaguzi Mkuu kwa mafanikio ikiamini serikali ina uwezo wa kusimamia Uchaguzi huo

Kauli hiyo imekuja baada ya Marekani kusema haitasita kuchukua hatua kwa watakaoonekana kuwa chanzo cha kuvuruga uchaguzi wa Haki na Demokrasia


Chanzo: Azam Tv


My take:
China watupotezee sisi tumeamua kufanya mabadiliko kama wanapenda rais wa ujenzi waje wamchukue akawajengee flyover
Kweli Mnama hatumpi Pombe wala Tundu hapa Ni kupiga mpunga tu Hashim Rungwe aka Spunda atosha.
 
Daah iyo ndo official website??? Hivi unajua hapo wikipedia hata wewe unaweza kuedit???😂😂😂

si nlisema dogo ni kichaa uyu hya oneni, so unadhan ukiedit ndo direct inakua ulichoandika? wikipedia ndo encyclopidia ya dunia for now, sasa wacha story mob nenda kasome, unaonekana chizi tu apa, sasa kama wikipedia unashangaa na nkikuonyesha internet ya pili ambayo google haiwezi search si ndo utakimbia sasa
 
si nlisema dogo ni kichaa uyu hya oneni, so unadhan ukiedit ndo direct inakua ulichoandika? wikipedia ndo encyclopidia ya dunia for now, sasa wacha story mob nenda kasome, unaonekana chizi tu apa, sasa kama wikipedia unashangaa na nkikuonyesha internet ya pili ambayo google haiwezi search si ndo utakimbia sasa
Kwa iyo wikipedia ndo official website ya Federal reserve???😂😂😂😂

Hivi huko Lumumba huwa mnalishwa nini???😂
 
Serikali ya China imeitaka USA kutoingilia maswala ya ndani ya nchi nyingne ikiwemo uchaguzi wa Tanzania kwa kuwa serikali ya Tanzania inaweza kusimamia vema uchaguzi

==
CHINA YAIAMBIA MAREKANI ISIINGILIE MAMBO YA NDANI YA TANZANIA

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa #China, Zhao Lijian ameiambia #Marekani isiingilie mambo ya ndani ya Tanzania

China inaamini #Tanzania itafanya Uchaguzi Mkuu kwa mafanikio ikiamini serikali ina uwezo wa kusimamia Uchaguzi huo

Kauli hiyo imekuja baada ya Marekani kusema haitasita kuchukua hatua kwa watakaoonekana kuwa chanzo cha kuvuruga uchaguzi wa Haki na Demokrasia


Chanzo: Azam Tv


My take:
China watupotezee sisi tumeamua kufanya mabadiliko kama wanapenda rais wa ujenzi waje wamchukue akaWewe
 
Serikali ya China imeitaka USA kutoingilia maswala ya ndani ya nchi nyingne ikiwemo uchaguzi wa Tanzania kwa kuwa serikali ya Tanzania inaweza kusimamia vema uchaguzi

==
CHINA YAIAMBIA MAREKANI ISIINGILIE MAMBO YA NDANI YA TANZANIA

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa #China, Zhao Lijian ameiambia #Marekani isiingilie mambo ya ndani ya Tanzania

China inaamini #Tanzania itafanya Uchaguzi Mkuu kwa mafanikio ikiamini serikali ina uwezo wa kusimamia Uchaguzi huo

Kauli hiyo imekuja baada ya Marekani kusema haitasita kuchukua hatua kwa watakaoonekana kuwa chanzo cha kuvuruga uchaguzi wa Haki na Demokrasia


Chanzo: Azam Tv


My take:
China watupotezee sisi tumeamua kufanya mabadiliko kama wanapenda rais wa ujenzi waje wamchukue akawajengee flyover

Mkuu una moyo sana. Shida watu kama nyie huwa hamna kumbukumbu na hata kama mnayo mtajifanya kusahau na kuja na fallacy Mpya. Mlikuwa na Twende na Membe Sasa mmemtosa. JPM HAKUNA WA KUMSHINDA. 5 more years. Ntakuja kula bata January. Najua mambo ya Ubungo na Mbezi sijui yatakuwa tayari. Nipitishe BMW kwa rahaaaaaa.
 
Serikali ya China imeitaka USA kutoingilia maswala ya ndani ya nchi nyingne ikiwemo uchaguzi wa Tanzania kwa kuwa serikali ya Tanzania inaweza kusimamia vema uchaguzi

==
CHINA YAIAMBIA MAREKANI ISIINGILIE MAMBO YA NDANI YA TANZANIA

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa #China, Zhao Lijian ameiambia #Marekani isiingilie mambo ya ndani ya Tanzania

China inaamini #Tanzania itafanya Uchaguzi Mkuu kwa mafanikio ikiamini serikali ina uwezo wa kusimamia Uchaguzi huo

Kauli hiyo imekuja baada ya Marekani kusema haitasita kuchukua hatua kwa watakaoonekana kuwa chanzo cha kuvuruga uchaguzi wa Haki na Demokrasia


Chanzo: Azam Tv


My take:
China watupotezee sisi tumeamua kufanya mabadiliko kama wanapenda rais wa ujenzi waje wamchukue akawajengee flyover
Wewe na nani? China wanasema ukweli. Wakati Marekani ina matatizo na uchaguzi wao wa ndani, balozi wao ataionya vipi TZ. Hivi na sisi balozi akisema hivyo USA itakubali.
 
Wanamuingiza king Magufuli ili akiwekewa vikwazo na marekani waweze kutukandamiza vizuri Kama walivyofanya kwa Zimbabwe.

Mbona ajawasaidia Iran kwa vikwazo au mbona hakuwasaidia Zimbabwe?

China ni matapeli tu Tanzania akitaka kujinasua na minyororo ya marekani dawa ni kuacha kupewa misaada yote ya Marekani,Un ,EU, IMF, WB.
Hata Marekani ni matapeli tu.
 
Huu ni ushabiki tu kama wa mpira
yaani China ina nguvu kuliko America??

Haya mabomu ya kuivuruga dunia nchi kibao wanayo lakini kuna vikwazo vya kuyatumia na pia wanayamiliki ili kuheshimiana tu leo ni ngumu sana nchi kuingia vitani watu wamestaarabika huwa wanaangalia zaidi madhara yatakayo patikana
Watu wamestaarabika Nyerere na Iddy wangekuwepo leo na ugomvi wao ungetokea Sasa hivi hizi nchi zisingeingia vitani

Lakini hizo unazosikia ni siasa tu na hawa watu wanatumia akili na mmoja kati yao anaenda kuwin namaanisha China au America yani kama Magufuli akishinda wachina watalipwa fadhila kwamba wametetea maslahi
Na Lisu vilevile kama America wako upande wake

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Ndio China ina nguvu kuliko marekani. Angalia nchi zinazoidai marekani ni nchi gani inaongoza kwa kudai mpunga mrefu. Njoo pima vigezo vyote marekani kaachwa mbali. Idadi ya watu, biashara na kila kitu
 
Mkuu una moyo sana. Shida watu kama nyie huwa hamna kumbukumbu na hata kama mnayo mtajifanya kusahau na kuja na fallacy Mpya. Mlikuwa na Twende na Membe Sasa mmemtosa. JPM HAKUNA WA KUMSHINDA. 5 more years. Ntakuja kula bata January. Najua mambo ya Ubungo na Mbezi sijui yatakuwa tayari. Nipitishe BMW kwa rahaaaaaa.
Kataa kubali, Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020-2025 ni Tundu Antiphas Lissu
 
Kwa iyo wikipedia ndo official website ya Federal reserve???😂😂😂😂

Hivi huko Lumumba huwa mnalishwa nini???😂

FEDERAL RESERVE ni scam, wao ndo wanasababisha pesa za nchi zingine ziloose value, unataka waiandike hii kwenye official website yao ama, kama hutaki kusoma thats upto you dogo
 
Ndio China ina nguvu kuliko marekani. Angalia nchi zinazoidai marekani ni nchi gani inaongoza kwa kudai mpunga mrefu. Njoo pima vigezo vyote marekani kaachwa mbali. Idadi ya watu, biashara na kila kitu
Mwambie china kuna kiwanda cha urafiki hapo mabibo kakitelekeza. Aje akifufue kwanza sio kupambana na mwanaume Marekani
 
Back
Top Bottom