[emoji837][emoji837][emoji91][emoji434]Breaking news [emoji434] [emoji91][emoji837][emoji837]
Hatimaye ratiba ya Bibie Pelosi Bara la Asia yawekwa wazi.
Katika ziaara yake anatarajia kuanzia
1).Singapore, halafu
2).Japan,
3).Malaysia, na kumalizia
4).South Korea.
Hakuna sehemu yoyote katika "press release" hiyo kutoka ofisi yake iliyotaja atazuru Taiwan [emoji23].
Hili ni pigo kubwa kwa Taipei na Taiwan yote kwa ujumla.
Zaidi ya yote, hii ni FEDHEA KUBWA SANA kwa Marekani (Taifa linalojulikana kwa ubabe duniani) kwa kufyata mkia na kunywea kufuatia tamko la China.[emoji23][emoji23][emoji23]
Maelezo zaidi, bofya[emoji117]
Pelosi to Lead Congressional Delegation to Indo-Pacific Region