China yakemea vikali ziara ya Nancy Pelosi Taiwan

China yakemea vikali ziara ya Nancy Pelosi Taiwan

Kumekucha. Mambo yanazidi kunoga.

Msemaji wa Waziri wa mambo ya nje wa China Bwana Wang Wenbin ameionya Marekani kuwa endapo Nancy Pelosi (US house speaker) atafanya ziara ya kuitembelea Taiwan, August mwaka huu, basi taifa hilo linaloaminika kuwa ndio lenye nguvu ya kiuchumi kwa sasa duniani litaijibu US kwa namna ambayo siyo tu inayoweza kupelekea kuvunjika kwa uhusiano wao wa kidiplomasia, bali pia inaweza hata kuwa ya kijeshi.

Msemaji huyo alisema adhma ya Pelosi kutaka kufanya ziara yakeTaiwan ni cha kichokozi, kwani ni sawa na kuingilia uhuru na mambo ya ndani ya Uchina.

"We are seriously prepared," Msemaji huyo alinukuliwa akisema.

..."and United States should be held responsible for any serious consequences", Mr. Wang aliongezea.

Ifahamike Serikali ya kikomunisti ya China inatambua Taiwan kuwa kama ni sehemu ya ardhi yake, wakati Taiwan yenyewe inataka kujitenga kutoka katika taifa hilo.

Mwezi April mwaka huu Pelosi alihairisha ziara hiyo kutokana na kuugua maradhi ya uviko-19.
Si mlisema haendi na akienda atakuwa anachezea moto? 😆😆😆😆.

Xi chaliiii
 
Karibuni sana kutazama kazi nzuri sana toka FILAMU PICTURES, iitwayo PETE, ipo huko YOUTUBE episode ya kwanza hadi ya nne

Karibuni muilike, muisubscribe na mtoe komenti zenu juu ya kazi hiyo

Asanteni sana

 
[emoji837][emoji837][emoji91][emoji434]Breaking news [emoji434] [emoji91][emoji837][emoji837]

Hatimaye ratiba ya Bibie Pelosi Bara la Asia yawekwa wazi.

Katika ziaara yake anatarajia kuanzia

1).Singapore, halafu
2).Japan,
3).Malaysia, na kumalizia
4).South Korea.

Hakuna sehemu yoyote katika "press release" hiyo kutoka ofisi yake iliyotaja atazuru Taiwan [emoji23].


Hili ni pigo kubwa kwa Taipei na Taiwan yote kwa ujumla.

Zaidi ya yote, hii ni FEDHEA KUBWA SANA kwa Marekani (Taifa linalojulikana kwa ubabe duniani) kwa kufyata mkia na kunywea kufuatia tamko la China.[emoji23][emoji23][emoji23]

Maelezo zaidi, bofya[emoji117]Pelosi to Lead Congressional Delegation to Indo-Pacific Region
Km vp dege lililombeba bibie litue Taipei kwa ajili ya kujaza wese tu au wachina watamaind[emoji41][emoji41][emoji41]
 
Nadhani China endapo akaingia hii vita, huenda akajutia uamuzi wake huko mbeleni, sidhani kama china ataingia ktk Vita na Taiwan, sidhani.

Russia alikuwa na msafara wa 65km na ukapukutika kama majivu. Silaha za westerns kwenye kujilinda ni very effectively, wakati China anajiandaa hivyo, ndivyo US na washirika wake nao wanajiandaa vivyo hivyo kumlinda Taiwan.

Zitaje hizo silaha[emoji23][emoji23]
 
Nilipoiona na kusoma hii habari BBC nikishtuka kidogo but kwa scenario iliyopo kuna kuna vita baridi ya mataifa yalipo kwenye G7 ambayo yana agenda kuibamiza Amerika isiwe na nguvu duniani (wivu)

Mshtuko wangu ni kwamba, sisi huku Afrika tutapata cheche za kivita ambazo viongozi wa kisiasa watazitumia kutuumiza sisi wananchi as seen kwenye vita ya Ukraine na Urusi!.

Hapa naona umeangalia kimakosa naona kama vile America kawazidi kete woote manake yeye kwake peace iko, anawachechea wao wanapigana na majiran, yeye anatoa intel na kuuza silaha chungu nzima hapo sijaelewa nan ananufaika, ona russia na ukraine, sasa china na taiwan, jamaa yuko miles away anauza silaha tuu
 
Karibuni sana kutazama kazi nzuri sana toka FILAMU PICTURES, iitwayo PETE, ipo huko YOUTUBE episode ya kwanza hadi ya nne

Karibuni muilike, muisubscribe na mtoe komenti zenu juu ya kazi hiyo

Asanteni sana

Hii njia unayo tumia kutafuta viewers sio nzuri na itaua chaneli yako. Hapa utaishia kupata low retention rate na mwisho youtube hawata promote video yako.

Nakushauri wekeza nguvu kwenye SEO na good thumbnail na uhakikishe video zako zina quality na ujumbe wa maana ukifanya hivyo youtube itakutafutia viewers yenyewe.

All in all, kutafuta viewers sio kazi yako ni kazi ya youtube na google. Na kama uko serious na hiyo chaneli yako unapaswa UBADILIKE.
 
Mchina amestaarabika na ameelimika, amejua ule ubabe wa manguvu hauna nafasi ktk dunia ya sasa. Ingekuwa china ndo russia, wala asingeingia vitani, angetafuta namna yoyote kusolve ile kesi kwa amani. Kwa sasa jamaa wamefocus ktk uchumi wao tu basi, na wale hawana makandokando kama Russia ilojaa ufisadi. Mimi ningekuwa na nafasi ya kutawala Tz, ningeiga mifumo ya china, Uhujumu uchumi, ufisadi n.k kusiwe na adhabu yoyote zaidi ya kifungo cha miaka 30 au kifo. Ndani ya miaka michache tu, nchi ingeanza kubadilika na mlala hoi ataanza kula mema ya nchi yake.
Kama role Model wako ni Nyerere hii nchi c ungeizika Kwa umaskini kabisa
 
CHINA HAWEZI KUENGAGE KTK ENEO AMBALO ANAJUA ATAANGUSHA UCHUMI WAKE. HILO TUSAHAU KABISA. JAMAA WAPO SERIOUS KWENYE KUJENGA UCHUMI WA TAIFA LAO.
Mlisema ivyoivyo Kwa Rusia kuwa hawezi ipiga Ukrein ataaribu uchumi wake mnaisi uchumi na usalama WA nchi cha muhimu kipi
 
Tarehe 2 mwezi wa 8 ndio kesho,ni siku ya Uchina kuonesha kuwa wana pu mbu kama wanaume wengine au ndio siku ambayo nitaanza kuidharau Uchina mazima.
Wamepiga sana mikwara na kusema huyo Bibi kizee hatotua nchini Taiwan hata kwa kisingizio cha kujaza mafuta au ndege yake kuzuga uhitilafu.
Nalog off Z
 
Maajabu kivipi Sasa [emoji38]

Ume karilishwa cinema za kina Rambo si-eti !?

USA lini Ameshawahi kupigana na taifa Ambalo Lina nguvu ya kiuchumi, kijeshi , kisiasa , kiushawishi kama china !?
kupigana ni sifa kwan ?
 
Mlisema ivyoivyo Kwa Rusia kuwa hawezi ipiga Ukrein ataaribu uchumi wake mnaisi uchumi na usalama WA nchi cha muhimu kipi

China’s ready to ‘bury invading enemies’​

The country’s military has issued a new threat amid ongoing tension around Taiwan
China’s ready to ‘bury invading enemies’

FILE PHOTO. © AFP / WANG ZHAO
China’s Eastern Theater Command has issued a strong warning to the country’s “enemies” amid ongoing tension over the potential visit of US House Speaker Nancy Pelosi to Taiwan.
The Command released a video on Monday, as China marks the anniversary of its People’s Liberation Army (PLA). The video, featuring footage of various drills and military units, urges the solders to “stand by in battle formation, be ready to fight upon command, bury all invading enemies.”
The threat was further amplified by Yi Cao, a hawkish ‘wolf warrior’ Chinese diplomat, who posted the message from the Command on Twitter. The diplomat also reiterated the warning made last week by Beijing over Pelosi's rumored visit. “FM warns US again not to send Speaker Pelosi to Taiwan: Playing with fire will sure set yourself on fire!” the diplomat tweeted.


The hawkish rhetoric comes amid Pelosi's rumored impending visit to Taiwan, which has not been officially confirmed yet. According to the latest reports by local media outlets, the speaker may arrive to the island on Tuesday and hotel reservations for her and her crew have been already made.
Taiwan has been self-governed since 1949, after China’s nationalist government fled to the island following its defeat in the civil war. Beijing considers the island an integral part of the country’s territory.
While agreeing with Beijing’s 'One China' policy on paper, Washington maintains strong unofficial ties with Taiwan, engaging in close military cooperation with the island nation. Beijing launched a large-scale exercise near Taiwan as Pelosi departed for Hawaii last weekend, ultimately heading for several destinations across Asia.
The public list of destinations for her tour did not include the island. Some Chinese media outlets have suggested Pelosi could ultimately use “emergency excuses” to pull off touching down on the island without making her visit official.
****
Nadhani China Wana maanisha!
 
Word![emoji457]
Mchina amestaarabika....... Ingekuwa china ndo russia, wala asingeingia vitani, angetafuta namna yoyote kusolve ile kesi kwa amani....

Ila hapo kuanzia ulipoanza kusema "ingekuwa.." natofautina nawe kimawazo mkuu.

Subiri uone kipigo kizito atakachopewa mtu yoyote yule atakayediriki kuisadia Taiwan "directly "au, atakajiingiza kwenye mzozo huo; naamini Russia tutamuona ni mtakatifu that Day.
 
Hapo kunguru mwoga(Pelosi) keshapiga mbawa, hawezi kanyaga Taipei,[emoji23][emoji23] hata iweje.

China’s ready to ‘bury invading enemies’​

The country’s military has issued a new threat amid ongoing tension around Taiwan
China’s ready to ‘bury invading enemies’

FILE PHOTO. [emoji2398] AFP / WANG ZHAO
China’s Eastern Theater Command has issued a strong warning to the country’s “enemies” amid ongoing tension over the potential visit of US House Speaker Nancy Pelosi to Taiwan.
The Command released a video on Monday, as China marks the anniversary of its People’s Liberation Army (PLA). The video, featuring footage of various drills and military units, urges the solders to “stand by in battle formation, be ready to fight upon command, bury all invading enemies.”
The threat was further amplified by Yi Cao, a hawkish ‘wolf warrior’ Chinese diplomat, who posted the message from the Command on Twitter. The diplomat also reiterated the warning made last week by Beijing over Pelosi's rumored visit. “FM warns US again not to send Speaker Pelosi to Taiwan: Playing with fire will sure set yourself on fire!” the diplomat tweeted.


The hawkish rhetoric comes amid Pelosi's rumored impending visit to Taiwan, which has not been officially confirmed yet. According to the latest reports by local media outlets, the speaker may arrive to the island on Tuesday and hotel reservations for her and her crew have been already made.
Taiwan has been self-governed since 1949, after China’s nationalist government fled to the island following its defeat in the civil war. Beijing considers the island an integral part of the country’s territory.
While agreeing with Beijing’s 'One China' policy on paper, Washington maintains strong unofficial ties with Taiwan, engaging in close military cooperation with the island nation. Beijing launched a large-scale exercise near Taiwan as Pelosi departed for Hawaii last weekend, ultimately heading for several destinations across Asia.
The public list of destinations for her tour did not include the island. Some Chinese media outlets have suggested Pelosi could ultimately use “emergency excuses” to pull off touching down on the island without making her visit official.
****
Nadhani China Wana maanisha!
 
..mana hiyo military exercises with 'no fly zone' ni mpango mkakati kuzuia house speaker asitie mguu wake Taiwan.

China’s ready to ‘bury invading enemies’​

The country’s military has issued a new threat amid ongoing tension around Taiwan
China’s ready to ‘bury invading enemies’

FILE PHOTO. [emoji2398] AFP / WANG ZHAO
China’s Eastern Theater Command has issued a strong warning to the country’s “enemies” amid ongoing tension over the potential visit of US House Speaker Nancy Pelosi to Taiwan.
The Command released a video on Monday, as China marks the anniversary of its People’s Liberation Army (PLA). The video, featuring footage of various drills and military units, urges the solders to “stand by in battle formation, be ready to fight upon command, bury all invading enemies.”
The threat was further amplified by Yi Cao, a hawkish ‘wolf warrior’ Chinese diplomat, who posted the message from the Command on Twitter. The diplomat also reiterated the warning made last week by Beijing over Pelosi's rumored visit. “FM warns US again not to send Speaker Pelosi to Taiwan: Playing with fire will sure set yourself on fire!” the diplomat tweeted.


The hawkish rhetoric comes amid Pelosi's rumored impending visit to Taiwan, which has not been officially confirmed yet. According to the latest reports by local media outlets, the speaker may arrive to the island on Tuesday and hotel reservations for her and her crew have been already made.
Taiwan has been self-governed since 1949, after China’s nationalist government fled to the island following its defeat in the civil war. Beijing considers the island an integral part of the country’s territory.
While agreeing with Beijing’s 'One China' policy on paper, Washington maintains strong unofficial ties with Taiwan, engaging in close military cooperation with the island nation. Beijing launched a large-scale exercise near Taiwan as Pelosi departed for Hawaii last weekend, ultimately heading for several destinations across Asia.
The public list of destinations for her tour did not include the island. Some Chinese media outlets have suggested Pelosi could ultimately use “emergency excuses” to pull off touching down on the island without making her visit official.
****
Nadhani China Wana maanisha!
 
Back
Top Bottom