China yaongoza duniani katika utengenezaji na uuzaji wa mabasi ya abiria

Bongo biashara nyingi zinaendeshwa kwa mapato nje ya biashara husika na hadi biashara isimame yenyewe huenda umetumia zaidi ya miaka mitano. Sasa je wangapi wanaweza kuzi finance hizo biashara bila vyanzo vingine vya pesa.?😂

Ndio maana ufisadi hauwezi kuisha nchini na wafanyabiashara wengi kukimbilia kuwa makada wa chama ili walambe teuzi na kujilimbikizia mitonyo.
 
Na ndio maana ikaitwa biashara kichaa

Kuna mengi ya kujifunza kutoka kwa Abood na Shabiby wameweza kudumu kwenye hii biashara kwa miaka mingi sasa
Wale jamaa wao wanatumia kitu kinaitwa "Goodwill" kibiashara ukishawekeza kwa muda mrefu na ukawa na jina we unakula faida tu. Walishachoma sana pesa sasa wanakula matunda tu. Sasa we kurupuka umuige shabiby 😂😂😂
 
The sleeping giant has woken up!
 
Kwenye ndege katengeneza body tu ingini na parts zake zinatoka ulaya
Hilo hakuna tatizo. Watengenezaji wengi wa ndege huagiza baadhi ya vifaa muhimu ili kutengeneza ndege zenye uimara zaidi. Rolls Royce ni kampuni moja kubwa yenye uzoefu wa kuunda injini za magari na ndege. Kampuni nyingi duniani zinatumia injini hizi katika kuunda ndege au magari yao. Si dhambi kwa China kufanya hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…