Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 3,651
- 11,548
Umesema vyema kwa sasa China imewekeza sana kwenye R&D, hata baadhi ya makampuni ya West wanapendelea kufungua ofisi za R&D nchini China kwa sababu ya uwepo wa mazingira wezeshi ya R&DWachina wamewekeza sana kwenye R&D kwenye sekta zote...