China yaongoza duniani katika utengenezaji na uuzaji wa mabasi ya abiria

China yaongoza duniani katika utengenezaji na uuzaji wa mabasi ya abiria

Ulichosema hapa kina ukweli,nilikuwa na debate na jamaa mmoja kuhusu Dar Express na Scania zake kuwekwa bench na kunyang'anywa ufalme wa Kaskazini na akina Esther na Tilisho wanaomiliki michina yeye akawa anang'ang'ana Dar Express ananunua bus moja mill 800 akitaka kununua mchina anapata ngapi?

Nikamwambia issue siyo anapata Yutong ngapi the issue is hiyo Scania old model ya mil 800 kibiashara ikikutana na mchina mpya aliyeingia leo na ziko nne barabarani nani atapata faida na nani atapanda hizo Scania wakati Scania atamuacha mchina kwenye milima tu tambarare mchina nae anamwaga moto kama laana?
Ni kweli kabisa, Esther, Tilisho, Marangu wanakimbiza Kaskazini
 
Nikamwambia issue siyo anapata Yutong ngapi the issue is hiyo Scania old model ya mil 800 kibiashara ikikutana na mchina mpya aliyeingia leo na ziko nne barabarani nani atapata faida na nani atapanda hizo Scania wakati Scania atamuacha mchina kwenye milima tu tambarare mchina nae anamwaga moto kama laana?
Bonge la point abiria wanaangalia basi lipi ni pamba nyepesi linalovutia

Wakati unakomaa Polo irudishe ile 800mln mwenzako kashavuta Mchina mpya new model lazima old bus yako Polo waikache
 
Ulichosema hapa kina ukweli,nilikuwa na debate na jamaa mmoja kuhusu Dar Express na Scania zake kuwekwa bench na kunyang'anywa ufalme wa Kaskazini na akina Esther na Tilisho wanaomiliki michina yeye akawa anang'ang'ana Dar Express ananunua bus moja mill 800 akitaka kununua mchina anapata ngapi?

Nikamwambia issue siyo anapata Yutong ngapi the issue is hiyo Scania old model ya mil 800 kibiashara ikikutana na mchina mpya aliyeingia leo na ziko nne barabarani nani nani atapata faida na nani atapanda hizo Scania wakati Scania atamuacha mchina kwenye milima tu tambarare mchina nae anamwaga moto kama laana?
Sasa m 800 siti 60 nauli mfano elf 40 utaingiza milioni 2.4.
M 800 kwa Mchina mikocheni unapata tatu kwa dhamana ya 3 unapewa 2 za mkopo.
Achilia mkopo hizo 3 tu ni sawa na siti 180 zidisha kwa elf 40 unaingiza milioni 7.2 Mara tatu ya scania.ndani ya mwaka milioni 800 imerudi wakat scania atahitaji miaka 6 ndo arejeshe hio m 800.
Kwa kudumu ni scania miaka 15 kwa comfortability,Raha mustarehe,ushindani wa abiria chukua Mchina baada ya miaka 5 unazikata screpa unaingiza zingine 10.

Biashara ya mabus inaendana na matoleo ya fasheni
 
Vipi bado kipo kweli?
1688613014470.png
 
Ukitaka kujua mchina ni hatari......angalia technology ya betri za magari ya umeme....
Kuna hiyo inaitwa kilin inauwezo wa kuendesha gari 1000km sio poa aisee
Mchina yuko na advanced technogy kwenye betri za magari ya umeme Mjapani, Mjerumani na Mmarekani wakasome

So far kampuni ya China ya BYD ndiye supplier mkubwa wa betri za Tesla

Na Mchina kadominate kwenye soko la betri za magari ya umeme na magari yenyewe ya umeme duniani
 
The unique bus was produced in China. Bye the largest railway manufacturer in China, CSR Corp Ltd,
launched tests of its first train, which is capable of moving at a speed of 500 km per hour,
a In the car company from China Zhejiang Youngman presented the longest and largest bus in the world with a length of 25 meters.
The longest bus in the world is capable of carrying up to 300 passengers at a time.
The model of this bus is called JNP6250G and has a top speed of 80 km / h.
According to the plan, the longest bus in the world will be used in Beijing and Hangzhou.

"The world's largest." So the Chinese authorities announced the launch of the JNP6250G Youngman, a 25-meter bus (13 longer than normal buses), five doors and 300 passengers to be used for passengers in Beijing and Hangzhou.

740603_original.jpg

The JNP6250G is capable of making turns with a radius equal to that of a conventional bus. In China, where there are many large cities with a population of several million, the authorities are concerned about the increase in cars and the extreme congestion of the road network.

740657_original.jpg

The Youngman JNP6250G features two ribbed accordions which oddly give Megabus the flexibility and bend around corners. Inside, the transport is quite comfortable, and also has an increased number of seats for disabled people.


Next to these caterpillars for the transportation of passengers, the Ikarus-accordion 16.5 meters long seems to be just a crumb. Sluggish, hefty cars can hardly fit on narrow streets, but they have no price on wide avenues and boulevards of cities with modern infrastructure, as well as on suburban routes.

The longest buses in the world are made of two or three parts, articulated with accordions. The maximum speed of such machines is up to 90 km / h, which are achieved with the help of powerful diesel engines. And they can transport up to 350 people at a time.

It is convenient to ride on these buses in urban conditions, and for tourist trips such a bus is more suitable, which is in the photo above.
10. Neoplan Jumbocruiser (1972-1992) - 18 meters

1479042019_1.jpg

The last copy of the Neoplan Jumbocruiser in Dover Harbor.

1479041998_1-2.jpg

Jumbocruiser in the German city of Dresden.
It is the only double-decker bus ever made in Germany. It has 103 passenger seats and holds the Guinness Book of Records.

9.Ikarus 286 (1980-1988) - 18.3 meters

1479042012_2.jpeg

Such tinted "Ikarus" traveled all over America.
Ikarus 286 - A special version of the famous Hungarian bus, which was assembled in the USA. It is 2 meters longer than our usual "accordion", and has a chrome "American" bumper.

8. MAZ-215.069 (2011) - 18.75 meters

1479042051_3.jpeg

This modern bus is a product of the Minsk Automobile Plant.

The bus of Minsk specialists is designed for 176 passengers who enter and leave through five doors. The use of foreign components ensures high reliability and quality of the car: a 326 hp Mercedes-Benz OM926 diesel engine, a ZF 6-speed automatic transmission, a ZF power steering gear, Knorr-Bremse brakes. The applied technologies ensure the environmental friendliness of the car at the Euro-5 + level.
7. Mercedes-Benz Citaro "CapaCity L" (2014) - 21 meters

1479042012_4.jpeg

World debut of the longest Mercedes-Benz bus.

This model, like other Mercedes-Benz buses, carries passengers in many countries around the world. Along with diesel and gas engines, there are eco-friendly hybrid versions available: with hydrogen fuel cells, as well as a bus with an electric motor, battery, and energy recovery during braking.

6.Ikarus 293 (1988) - 22.7 meters

1479042005_5.jpg

"Ikarus", which did not get on our roads.
1479042051_5-1.jpg

Scale model Ikarus 293.

The Hungarian three-link machine, after an unsuccessful trial operation, was not put into series. Small consignments were delivered to Tehran and Cuba. The bus weighing 33 tons accelerated to 70 km / h, and its capacity was 229 people.

5. Van Hool AGG 300 - 24.8 meters

1479042033_6.jpg

Van Hool newAGG300 on the streets of the Dutch city of Utrecht.

200-seater Van Hool buses carry passengers across Holland, Belgium and even distant Angola.

4. Youngman Bus JNP6250G - 25 meters
1479042052_7.jpg

Three-link bus from the Middle Kingdom.
This Chinese bus has 290 seats, of which 40 are seated. Fleets of such cars carry passengers in the metropolitan areas of Beijing and Hangzhou.

3. Neobus Mega BRT (2011) - 28 meters

1479042028_8.jpeg

The streamlined body of the 28-meter Neobus Mega BRT.

The Brazilian city of Curitiba is the earliest successful example of a “high speed bus” transport system. High-capacity vehicles such as the Neobus Mega BRT run along dedicated lanes on the wide avenues of this South American city.

1479042097_8-1.jpg

The blue giant of Curitiba is the Neobus Mega BRT Volvo B12M.
The Neobus models have been developed with the support of the Swedish bus specialists Scania and Volvo. The bus runs on environmentally friendly 100% biofuel. Train-like doors allow large numbers of passengers to move quickly.


2.Göppel AutoTram Extra Grand (2012) - 30.73 meters

1479042093_9.jpeg

30-meter German "sausage" on the streets of Dresden.

The bus project was developed within the walls of the Fraunhofer Institute to solve the transport problem of European cities. It runs on fuel-efficient hybrid electric motors - like a mini-sub on city streets. A special computer system helps the driver to operate the three-link bus like a small bus.

1479042080_9-1.jpg

Smiling design of the Goeppel AutoTram Extra Grand.
the metropolitan areas of Beijing and Hangzhou.

Neobus Mega BRT (2011) - 28 meters

0_848fd8_841757f9_XL_1144.jpg
The Brazilian city of Curitiba is the earliest successful example of a “high speed bus” transport system. High-capacity vehicles such as the Neobus Mega BRT run along dedicated lanes on the wide avenues of this South American city.
The Neobus models have been developed with the support of the Swedish bus specialists Scania and Volvo. The bus runs on environmentally friendly 100% biofuel. Train-like doors allow large numbers of passengers to move quickly.
Goppel AutoTram Extra Grand (2012) - 30.73 meters


0_848fd9_afbc1e13_XL_1146.jpg

The bus project was developed within the walls of the Fraunhofer Institute to solve the transport problem of European cities. It runs on fuel-efficient hybrid electric motors - like a mini-sub on city streets. A special computer system helps the driver to operate the three-link bus like a small bus.
The Goppel AutoTram Extra Grand has successfully debuted on the streets of Dresden, Germany, where it carries 258 passengers. Beijing and Shanghai have already ordered such machines.
DAF SuperCityTrain - 32.2 meters

0_848fda_cf20d5ea_XL_1148.jpg
The record-breaking giant of the Dutch company DAF is cruising the African Democratic Republic of the Congo. It weighs 28 tons, and carries up to 350 people in one trip - almost like the largest planes flying in our time.





DID YOU LIKE THE ARTICLE? SHARE IT



Print article


ALL CATEGORIES
Select a category --------------- Communal Logging Dump truck Cultivator Warehouse Bulldozer Tractor Mower Excavator Specialist. destination Motoblock Tractor Potato planter


Special vehicles. Information site





24px.svg

Maandishi halisi

Kadiria tafsiri hii
Maoni yako yatatumika kusaidia kuboresha huduma ya Tafsiri ya Google
 

Attachments

  • 1688567170461.png
    1688567170461.png
    2.8 KB · Views: 7
Baada ya kuwekeza sana kwenye R&D tangu miaka ya 2000 mwanzoni utaona sana msemo wa China's first......

It means teknolojia ya ndani imehusika kwenye production ya kicho kitu kinachozungumziwa hapo baada ya R&D

Kampuni kubwa za kichina, mfano Wachina wa Huawei, huwekeza walau 50% au zaidi ya faida yao kwa mwaka kwenye R&D. Jamaa wana R&D centres katika nchi tofauti tofauti kwenye kila bara...

Ona sasa wanavyokimbiza hadi mmarekani kawawekea zengwe baada ya kuwaona walivyo tishio...
 
china mpaka aje kutengeneza vyuma kama airbus 350 au airbus 380 za mfaransa ni safari ndefu kidogo , bado hajagusa vyuma vinavyofyatuliwa pale everett boeing factory . kumbuka hiyo c19 ni kama copy ya airbus220 ambazo ni za safari za masafa mafupi na kati . na kingine hiyo ndege ya mchina bado haijawa na approved certificate of airworthness bado ipo kwenye test
Sidhani kama mchina ana innovation yake, karibu 90% ya product zake copy from western.
 
China ndilo taifa pekee duniani lenye viwanda 16 vikubwa vya kutengeneza mabasi; Yutong, Higer, Zhongtong, Kinglong, JMC, Foton, BYD, Golden Dragon, Asia Star, Ankai, Changan, Dongfeng, Nanjing Iveco, Briliance Renault, Sunwin na Sunlong.

Na hizi basi zinazoletwa Bongo bado ni standard ya kawaida mno...

China wana mabasi mazuri na makali yale yanayosafiri kati ya jimbo hadi jimbo...

Mfano, kuna mabasi ambayo ndani ni vitanda tu, hayana siti zaidi ya dereva na utingo...
 
Sidhani kama mchina ana innovation yake, karibu 90% ya product zake copy from western.
Iko hivi mkuu kuna

●INVENTION (product or a way of doing something which has never been made or never existed before)

●INNOVATION (make changes in something established, especially by introducing new methods, ideas, or products)

Hata huko Western kuna ambaye alianza na uvumbuzi (invention)na kuna waliokuja kuuadvance uvumbuzi huo (innovation)

Dunia iko hivyo tuko kipindi cha INNOVATION kwa sasa ndio maana R&D muhimu sana ili kuhimili ushindani katika soko la dunia

Unaona hata haya makampuni makubwa duniani huwa yanafanya joint venture lengo ni innovation
 
Na hizi basi zinazoletwa Bongo bado ni standard ya kawaida mno...

China wana mabasi mazuri na makali yale yanayosafiri kati ya jimbo hadi jimbo...

Mfano, kuna mabasi ambayo ndani ni vitanda tu, hayana siti zaidi ya ya dereva na utingo...
Yh sure hizi ni mahususi kwa hali ya barabara zetu na mazingira ya huku

Zile zingine ziko luxury sana na nyingi ni electric buses zinauzwa Ulaya, Marekani, Middle East na baadhi ya maeneo ya Latin America
 
Kuuza saaana kunatokana na sababu nyingi, wengi wanaenda China kutokana na bei.

Product za ulaya ni kitu kingine. Hasa hizo scania, volvo n.k uhakika wa kukaa na gari miaka 20 bila injini kushushwa ni 90%
Sure wanauza sana, wanapata pesa ila bidhaa zao hazina ubora wala hazidumu zikiwa field.
 
Back
Top Bottom